ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Muwe mnatumia akili kuokoteza vijipoint ambavyo avina maana, mnafurahia inonga kuitwa timu ya Kongo mbona yanga ndio timu iliyotoa wachezaji wengi timu za taifa na imetulia tu? Labda niwataje na wewe ututajie wachezaji wa Simba walioitwa nje;Wale wanaocheza kule utopoloni,
Mzengeli ,Moroko na joyce kumbe ni waha wa kibondo bwana...[emoji23][emoji23]View attachment 2854882
timu ndogo hua zinapenda mambo madogoMuwe mnatumia akili kuokoteza vijipoint ambavyo avina maana, mnafurahia inonga kuitwa timu ya Kongo mbona yanga ndio timu iliyotoa wachezaji wengi timu za taifa na imetulia tu? Labda niwataje na wewe ututajie wachezaji wa Simba walioitwa nje;
Diarra-Mali
Aucho-Uganda
Aziz ki-burkinafaso
Pacome-Ivory coast
Musonda-Zambia
Hapo atujaweka timu ya Taifa ya Tanzania, Sasa tutajie na wachezaji wa Simba walioitwa timu za taifa nje ya nchi!
Ila Simba mko desperate sana sasa hivi. Mko kama mtu ambaye anataka kuzama kwenye maji ya kina kirefu, huwa anashikilia chochote, hata udenda, ili asizame.Wale wanaocheza kule utopoloni,
Mzengeli ,Moroko na joyce kumbe ni waha wa kibondo bwana...[emoji23][emoji23]View attachment 2854882
Watayajulia wapi inawezekana kipindi hicho hata hawajui kona inatokana na nini!!Lomalisa alikuwa mchezaji wa kutegemewa DR Congo walipochukua kombe la Chan 2016.
Sina cha kuongeza, umemaliza kila kitu.Ukiachana na yote, jamaa wana players wengi ambao wapi kwenye ligi za ulaya.
Sasa kama hapo, Nzengeli ataingia kwa kipi, mbio zake? Lomalisa alivyo kichochoro namna ile atamtoa na ili akae yeye? Moroko nae alichonacho ni mbio zisizo na uelekeo kama kuku aliyekatwa kicha kisha akaachiwa.
Inonga ni beki haswa, kila mmoja analijua hilo unless mtu abishe kwa ujinga wake tu.
Mechi zote Inonga anakichafua 90mnskwan ndo mara ya kwnza anaitwa ?
shida kucheza uwanjan dakika ya 90 ndo wanamuweka
Tafuta HL za mechi za kufuzu uone alicheza au aliokota mipira? Inonga yuko First 11 muda mrefu.Inajulikana tu inonga ataenda kuwa muokotaji mipira......akiingia kucheza njoo geto unidai pesa
Kumbe unazungumzia CHAN!?Lomalisa alikuwa mchezaji wa kutegemewa DR Congo walipochukua kombe la Chan 2016.
Kwani Konikoni Ghana kaitwa?Ungetoa na Nchi zingine kubwa kisoka kama Ivory Coast na Ghana
When Lomalisa was Lomalisa.Lomalisa alikuwa mchezaji wa kutegemewa DR Congo walipochukua kombe la Chan 2016.
Ivory coast hawajatoa majina rasmi,hiyo takataka yako haiwezi pata namba paleMuwe mnatumia akili kuokoteza vijipoint ambavyo avina maana, mnafurahia inonga kuitwa timu ya Kongo mbona yanga ndio timu iliyotoa wachezaji wengi timu za taifa na imetulia tu? Labda niwataje na wewe ututajie wachezaji wa Simba walioitwa nje;
Diarra-Mali
Aucho-Uganda
Aziz ki-burkinafaso
Pacome-Ivory coast
Musonda-Zambia
Hapo atujaweka timu ya Taifa ya Tanzania, Sasa tutajie na wachezaji wa Simba walioitwa timu za taifa nje ya nchi!