Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Na vifuraha vyao vya kuokoteza huwa vinaishaga kijinga sana..!!! EMBU KUMBUKA NENO WA KIMATAIFA UTADHANI HAWAKUWAHI KULIFURAHIA..!! Limeyeyuka kama barafu kwapani..!!Ndo ushindi pekee kwa makolo kw msimu huu.
Afadhari mna vijifuraha vya kuokoteza hapa na pale bila hivyo mngelia na kusaga meno.
Hili likiisha tuendelee lile la world cup za vilabu.
Wapi Nzengeli mutu ya mupira!?Wale wanaocheza kule utopoloni,
Mzengeli, Moroko na Joyce kumbe ni waha wa kibondo bwana...[emoji23][emoji23]View attachment 2854882
Ameitwa kama mpenz mtazamaji...mzee wa benchiUkiachana na yote, jamaa wana players wengi ambao wapi kwenye ligi za ulaya.
Sasa kama hapo, Nzengeli ataingia kwa kipi, mbio zake? Lomalisa alivyo kichochoro namna ile atamtoa na ili akae yeye? Moroko nae alichonacho ni mbio zisizo na uelekeo kama kuku aliyekatwa kicha kisha akaachiwa.
Inonga ni beki haswa, kila mmoja analijua hilo unless mtu abishe kwa ujinga wake tu.
Inonga akipata nafasi ya kucheza afcon, hakika nyumbu watachukua eplSasa tukizungumza kispoti Max naye ni mchezaji wa kumhesabia?
Ana mbio gani kwanza, mbona hizo mbio unazozitja sijawahi kumuona nazo?
Lomalisa watasingizia majeruhi ila naye hawezi kupata nafasi kwenye national team ya Congo.
Ni mchezaji wa kawaida sema amekuwa na upepo tu wa hapa na pale.
Tanzania ujinga ni mkubwa VVD,Saliba ,Maquihnos mabeki bora kabisa hawapitwi ,hii elimu ya Tanzania ibadilishwe kabisa maana mnasomea ujinga kabisaInonga ni "beki haswa" aliyeshindwa kuzuia kono la nyani..!!! Huyo huyo Nzengeli aliwaweka cha pili na cha nne hadi mkatimua kocha..!! Na huyo huyo Nzengeli ndo alimtoka Inonga akaamua kumfyeka ikawa penalt.
Ni kweli TZ makolo kuna ujinga na umbumbumbu mkubwa sana kudhani kuwa Inonga ndiye bora kuliko wachezaji wa nje wote wachezao Tanzania..!!Tanzania ujinga ni mkubwa VVD,Saliba ,Maquihnos mabeki bora kabisa hawapitwi ,hii elimu ya Tanzania ibadilishwe kabisa maana mnasomea ujinga kabisa
Imekuuma.
Mpaka sasa bado ni Inonga pekee aliyeitwa timu ya taifa lao.??Wale wanaocheza kule utopoloni,
Mzengeli, Moroko na Joyce kumbe ni waha wa kibondo bwana...[emoji23][emoji23]View attachment 2854882
5-1Ukiachana na yote, jamaa wana players wengi ambao wapi kwenye ligi za ulaya.
Sasa kama hapo, Nzengeli ataingia kwa kipi, mbio zake? Lomalisa alivyo kichochoro namna ile atamtoa na ili akae yeye? Moroko nae alichonacho ni mbio zisizo na uelekeo kama kuku aliyekatwa kicha kisha akaachiwa.
Inonga ni beki haswa, kila mmoja analijua hilo unless mtu abishe kwa ujinga wake tu.
eh wanacheza GORMAHIABaleke na Ngoma ni Wakenya?
Toka Yanga hakuna bado?CHAMA CLOUTUS CHOTA