Enock Inonga Baka ni Mkongomani pekee anayecheza Tanzania aliyeitwa kwenda AFCON

Enock Inonga Baka ni Mkongomani pekee anayecheza Tanzania aliyeitwa kwenda AFCON

Ndo ushindi pekee kwa makolo kw msimu huu.

Afadhari mna vijifuraha vya kuokoteza hapa na pale bila hivyo mngelia na kusaga meno.
Hili likiisha tuendelee lile la world cup za vilabu.
Na vifuraha vyao vya kuokoteza huwa vinaishaga kijinga sana..!!! EMBU KUMBUKA NENO WA KIMATAIFA UTADHANI HAWAKUWAHI KULIFURAHIA..!! Limeyeyuka kama barafu kwapani..!!
 
Ukiachana na yote, jamaa wana players wengi ambao wapi kwenye ligi za ulaya.

Sasa kama hapo, Nzengeli ataingia kwa kipi, mbio zake? Lomalisa alivyo kichochoro namna ile atamtoa na ili akae yeye? Moroko nae alichonacho ni mbio zisizo na uelekeo kama kuku aliyekatwa kicha kisha akaachiwa.

Inonga ni beki haswa, kila mmoja analijua hilo unless mtu abishe kwa ujinga wake tu.
Ameitwa kama mpenz mtazamaji...mzee wa benchi


Ila hongera kwake
 
Sasa tukizungumza kispoti Max naye ni mchezaji wa kumhesabia?

Ana mbio gani kwanza, mbona hizo mbio unazozitja sijawahi kumuona nazo?

Lomalisa watasingizia majeruhi ila naye hawezi kupata nafasi kwenye national team ya Congo.

Ni mchezaji wa kawaida sema amekuwa na upepo tu wa hapa na pale.
Inonga akipata nafasi ya kucheza afcon, hakika nyumbu watachukua epl
 
Inonga ni "beki haswa" aliyeshindwa kuzuia kono la nyani..!!! Huyo huyo Nzengeli aliwaweka cha pili na cha nne hadi mkatimua kocha..!! Na huyo huyo Nzengeli ndo alimtoka Inonga akaamua kumfyeka ikawa penalt.
Tanzania ujinga ni mkubwa VVD,Saliba ,Maquihnos mabeki bora kabisa hawapitwi ,hii elimu ya Tanzania ibadilishwe kabisa maana mnasomea ujinga kabisa
 
Tanzania ujinga ni mkubwa VVD,Saliba ,Maquihnos mabeki bora kabisa hawapitwi ,hii elimu ya Tanzania ibadilishwe kabisa maana mnasomea ujinga kabisa
Kumwelimisha shabiki wa utopolo ni kazi mkuu,tuliatahili malipo
 
Kwa wasiomjua lomalisa ni legend kule DR Congo , alichezea timu iliyopata mafanikio .
Tumpe heshima yake anayostahiki .
 

Attachments

  • 0C27FD4D-1C54-4FD1-AA9E-71E8D08B65B6.jpeg
    0C27FD4D-1C54-4FD1-AA9E-71E8D08B65B6.jpeg
    118.6 KB · Views: 1
Tanzania ujinga ni mkubwa VVD,Saliba ,Maquihnos mabeki bora kabisa hawapitwi ,hii elimu ya Tanzania ibadilishwe kabisa maana mnasomea ujinga kabisa
Ni kweli TZ makolo kuna ujinga na umbumbumbu mkubwa sana kudhani kuwa Inonga ndiye bora kuliko wachezaji wa nje wote wachezao Tanzania..!!
 
Ukiachana na yote, jamaa wana players wengi ambao wapi kwenye ligi za ulaya.

Sasa kama hapo, Nzengeli ataingia kwa kipi, mbio zake? Lomalisa alivyo kichochoro namna ile atamtoa na ili akae yeye? Moroko nae alichonacho ni mbio zisizo na uelekeo kama kuku aliyekatwa kicha kisha akaachiwa.

Inonga ni beki haswa, kila mmoja analijua hilo unless mtu abishe kwa ujinga wake tu.
5-1

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom