Basi sawa nimeamini wafuasi ni tatizo ila uislamu uko vizuri.Hapo unakosea sana mkuu, unapaswa ujue kwamba kuna Dini ya uisilamu na Wafuasi wa dini ya Uisilamu, unatakiwa uuhukumu dini yenyewe na sio kuhukumu dini kupitia matendo ya Wafuasi wake, mfano Wapo Wakristo wengi mashoga je ni sawa tukihukumu Ukristo kwa hao wafuasi wake kuwa mashoga??! nadhani sio sawa.
Sasa kabla ya kuhukumu dini yoyote inakupasa uchunguze mafundisho yake yanasemaje, kwa suala hili yakupasa uuchunguze Uisilamu kupitia Qur'an tukufu na uone Uisilamu unasemaje juu ya dini zingine, nakupa hiyo Home work.
Yaani huwa wanaona mfungo wao ni wa thamani sana kuliko kwaresma sisi wengine tunaonekana hatuna dini
JUzi na mimi nikakuta ice cream parlor yao wamefunga..nilichokaMuslim bwana, nlikutana na mmama muislam anamfokea mlevi, eti unalewaje alafu unajichanganya na sisi. Harufu yako ya pombe inatukera. Mjiangalie jamani to be honest. Mbona kuleta Sheria hivyo?
maandaliz sio lzm ufungueMaandalizi ya jioni hayafanyiki jioni.
U KNOW.
Ulimkuta na swaum zake,😂😂Ndugu zangu, juzi nikiwa katika pita zangu mitaa ya Kariakoo, baada ya mizunguko kadhaa nikaona ngoja niingie moja ya maduka makubwa ya Bakhresa yanayouza vinywaji baridi ili nipoze koo kidogo.
Baada ya kuingia katika duka lile nilimkuta muhudumu mmoja hivyo nikamuomba anipatie kinywaji.
Ajabu akaniambia hatuuuzi vinywaji muda huu nikamjibu kwa nini? Akanijibu mwezi wa Ramadhani hatuuzi vinywaji mchana mpaka saa moja usiku.
Nikamuuliza sasa kama hamuuzi mmefungua kwa nini? Jamaa akaendelea kunijibu kwa ukali nimesema hatuuzi chochote muda huu.
Ndugu zangu Waislamu kama mnajua hamtoi huduma kwa kuwa mpo kwenye funga ni bora mkafunga kabisa ili tujue moja.
Angalia ikilia adhana, utadhani ni zile dakika tatu za nyongeza uwanja wa Taifa mageti yanafungiliwa watu waingie
Najua hujafunga ata moja ndo mna maneno mengiKwaresma sio matangazo kwaresma kwetu ni ibada ya kitubio Baina yangu na Mungu wangu na Wala sio Baina yangu majirani media na Mungu!
Upungufu wako wa Akili usifanye watu wote wakawa sawa na wwUsiwatetee
Kwani ni dhambi???acheni utahira wa fikra,,, huwezi mpa mtu maji ya kunywa kama anahitaji kisa wewe umefunga??Dini zimetufanya asilimia kubwa ya waafrika tumekuwa mafala sana!!!tubadilike
USTAARABU NI KUFUNGA MLANGO TU !!!!!!!!!!!!!!Kwani maduka ni yako?
Unampangia mtu na biashara yake,umechangia kitu kwenye kwenye hilo duka lake?
Tuache ulalamishi wa kindezi.
Maduka yapo mengi nenda kanunue duka lingine na maisha yaendelee yanini ulete nongwa kwenye biashara ya mtu binafsi?
Kwa hiyo chakula anachopika hakitamani, Ila mtu akinunua na kula anatamani? Kazi ipoNILIKUWA ILALA MTAA WA ARUSHA , UKIINGIA TU KAM UNATOKA BOMA KUNA KANISA KUSHOTO HAPO HAPO KUNA VIUJANA WA KIPEMBA WANAUZA CHIPS, WENYEWE KAZI INAENDELEA LAKINI HAUTAKIWI KULLIA AU KUNYWA HAPO, TAKE AWAY TU. AT LEAST SIYO MBAYA KIDOGO.
Funga yao ni ya kinafik tu, wao ni kulakula tu. Alafu wanataka kila mtu afate yao.Ndugu zangu, juzi nikiwa katika pita zangu mitaa ya Kariakoo, baada ya mizunguko kadhaa nikaona ngoja niingie moja ya maduka makubwa ya Bakhresa yanayouza vinywaji baridi ili nipoze koo kidogo.
Baada ya kuingia katika duka lile nilimkuta muhudumu mmoja hivyo nikamuomba anipatie kinywaji.
Ajabu akaniambia hatuuuzi vinywaji muda huu nikamjibu kwa nini? Akanijibu mwezi wa Ramadhani hatuuzi vinywaji mchana mpaka saa moja usiku.
Nikamuuliza sasa kama hamuuzi mmefungua kwa nini? Jamaa akaendelea kunijibu kwa ukali nimesema hatuuzi chochote muda huu.
Ndugu zangu Waislamu kama mnajua hamtoi huduma kwa kuwa mpo kwenye funga ni bora mkafunga kabisa ili tujue moja.
Ni Usumbufu huwenda nimetoka mbali kufuata huduma kwako baada ya kujua ofisi yako iko wazi lakini kuniambia huuzi bidhaa mchana ni bora kufunga kuondoa usumbufu unaowaleta watuKama maduka ya Bakhresa hayatoi huduma mchana, nenda maduka mengine mbona ni simple sana, hapo Kariakoo kuna maduka mangapi unapata vinywaji baridi?
JitambueKwani maduka ni yako?
Unampangia mtu na biashara yake,umechangia kitu kwenye kwenye hilo duka lake?
Tuache ulalamishi wa kindezi.
Maduka yapo mengi nenda kanunue duka lingine na maisha yaendelee yanini ulete nongwa kwenye biashara ya mtu binafsi?
Wengi maigizo tu, tabia zao ziko hivyo hivyo roho ile......Wanaboa wengi wao wanashinda njaa tu..