Enyi ndugu Waislamu, funga yenu isifanye wasiofunga wateseke

Enyi ndugu Waislamu, funga yenu isifanye wasiofunga wateseke

Hapo unakosea sana mkuu, unapaswa ujue kwamba kuna Dini ya uisilamu na Wafuasi wa dini ya Uisilamu, unatakiwa uuhukumu dini yenyewe na sio kuhukumu dini kupitia matendo ya Wafuasi wake, mfano Wapo Wakristo wengi mashoga je ni sawa tukihukumu Ukristo kwa hao wafuasi wake kuwa mashoga??! nadhani sio sawa.

Sasa kabla ya kuhukumu dini yoyote inakupasa uchunguze mafundisho yake yanasemaje, kwa suala hili yakupasa uuchunguze Uisilamu kupitia Qur'an tukufu na uone Uisilamu unasemaje juu ya dini zingine, nakupa hiyo Home work.
Basi sawa nimeamini wafuasi ni tatizo ila uislamu uko vizuri.
 
Yaani huwa wanaona mfungo wao ni wa thamani sana kuliko kwaresma sisi wengine tunaonekana hatuna dini
Screenshot_20230405_105523_Instagram.jpg
 
Muslim bwana, nlikutana na mmama muislam anamfokea mlevi, eti unalewaje alafu unajichanganya na sisi. Harufu yako ya pombe inatukera. Mjiangalie jamani to be honest. Mbona kuleta Sheria hivyo?
JUzi na mimi nikakuta ice cream parlor yao wamefunga..nilichoka
 
Ndugu zangu, juzi nikiwa katika pita zangu mitaa ya Kariakoo, baada ya mizunguko kadhaa nikaona ngoja niingie moja ya maduka makubwa ya Bakhresa yanayouza vinywaji baridi ili nipoze koo kidogo.

Baada ya kuingia katika duka lile nilimkuta muhudumu mmoja hivyo nikamuomba anipatie kinywaji.

Ajabu akaniambia hatuuuzi vinywaji muda huu nikamjibu kwa nini? Akanijibu mwezi wa Ramadhani hatuuzi vinywaji mchana mpaka saa moja usiku.

Nikamuuliza sasa kama hamuuzi mmefungua kwa nini? Jamaa akaendelea kunijibu kwa ukali nimesema hatuuzi chochote muda huu.

Ndugu zangu Waislamu kama mnajua hamtoi huduma kwa kuwa mpo kwenye funga ni bora mkafunga kabisa ili tujue moja.
Ulimkuta na swaum zake,😂😂
 
Angalia ikilia adhana, utadhani ni zile dakika tatu za nyongeza uwanja wa Taifa mageti yanafungiliwa watu waingie


Ni agizo kutoka kwa mtukufu mtume Muhammad (saw) tusichelewe kufuturu (to break the fast) mara tu muda unapofika hata kwa kunywa funda moja la maji.--- hapo hakuna makosa.
 
Kwaresma sio matangazo kwaresma kwetu ni ibada ya kitubio Baina yangu na Mungu wangu na Wala sio Baina yangu majirani media na Mungu!
Najua hujafunga ata moja ndo mna maneno mengi
 
Usiwatetee

Kwani ni dhambi???acheni utahira wa fikra,,, huwezi mpa mtu maji ya kunywa kama anahitaji kisa wewe umefunga??Dini zimetufanya asilimia kubwa ya waafrika tumekuwa mafala sana!!!tubadilike
Upungufu wako wa Akili usifanye watu wote wakawa sawa na ww
 
Kipindi cha kwaresma mbona hatujasikia malalamiko yyte humu

Yni mnapenda tu kuudiss Uislamu everytime
 
Waarabu ni watu wajinga zaidi duniani walichojaaliwa ni mipua mikubwa
 
Kwani maduka ni yako?
Unampangia mtu na biashara yake,umechangia kitu kwenye kwenye hilo duka lake?
Tuache ulalamishi wa kindezi.
Maduka yapo mengi nenda kanunue duka lingine na maisha yaendelee yanini ulete nongwa kwenye biashara ya mtu binafsi?
USTAARABU NI KUFUNGA MLANGO TU !!!!!!!!!!!!!!
 
NILIKUWA ILALA MTAA WA ARUSHA , UKIINGIA TU KAM UNATOKA BOMA KUNA KANISA KUSHOTO HAPO HAPO KUNA VIUJANA WA KIPEMBA WANAUZA CHIPS, WENYEWE KAZI INAENDELEA LAKINI HAUTAKIWI KULLIA AU KUNYWA HAPO, TAKE AWAY TU. AT LEAST SIYO MBAYA KIDOGO.
 
Mbon kkoo watu kibao wanakula.pita hapa tra soda barabaran maj ya 500 lita moja na nusu yanauzwa vizur tu. Shida yako ilikua ule kwa baharesa?
 
NILIKUWA ILALA MTAA WA ARUSHA , UKIINGIA TU KAM UNATOKA BOMA KUNA KANISA KUSHOTO HAPO HAPO KUNA VIUJANA WA KIPEMBA WANAUZA CHIPS, WENYEWE KAZI INAENDELEA LAKINI HAUTAKIWI KULLIA AU KUNYWA HAPO, TAKE AWAY TU. AT LEAST SIYO MBAYA KIDOGO.
Kwa hiyo chakula anachopika hakitamani, Ila mtu akinunua na kula anatamani? Kazi ipo
 
Ndugu zangu, juzi nikiwa katika pita zangu mitaa ya Kariakoo, baada ya mizunguko kadhaa nikaona ngoja niingie moja ya maduka makubwa ya Bakhresa yanayouza vinywaji baridi ili nipoze koo kidogo.

Baada ya kuingia katika duka lile nilimkuta muhudumu mmoja hivyo nikamuomba anipatie kinywaji.

Ajabu akaniambia hatuuuzi vinywaji muda huu nikamjibu kwa nini? Akanijibu mwezi wa Ramadhani hatuuzi vinywaji mchana mpaka saa moja usiku.

Nikamuuliza sasa kama hamuuzi mmefungua kwa nini? Jamaa akaendelea kunijibu kwa ukali nimesema hatuuzi chochote muda huu.

Ndugu zangu Waislamu kama mnajua hamtoi huduma kwa kuwa mpo kwenye funga ni bora mkafunga kabisa ili tujue moja.
Funga yao ni ya kinafik tu, wao ni kulakula tu. Alafu wanataka kila mtu afate yao.
 
Kama maduka ya Bakhresa hayatoi huduma mchana, nenda maduka mengine mbona ni simple sana, hapo Kariakoo kuna maduka mangapi unapata vinywaji baridi?
Ni Usumbufu huwenda nimetoka mbali kufuata huduma kwako baada ya kujua ofisi yako iko wazi lakini kuniambia huuzi bidhaa mchana ni bora kufunga kuondoa usumbufu unaowaleta watu
Tumia akili
ni watu wangapi wanapitia kero na majibu mabaya ya hao wahudumu wanaojiiita wamefunga huku kutwa nzima wakiongeleana vibaya na wateja? kuwaudhi wengine wakati umefunga siyo dhambi?
Nafikiri ni busara zaidi kufunga ofisi

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kwani maduka ni yako?
Unampangia mtu na biashara yake,umechangia kitu kwenye kwenye hilo duka lake?
Tuache ulalamishi wa kindezi.
Maduka yapo mengi nenda kanunue duka lingine na maisha yaendelee yanini ulete nongwa kwenye biashara ya mtu binafsi?
Jitambue

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom