Enyi wanawake acheni ligi na wanaume mtaumia

Sawa alikosea, sema huko nyumbani mkeo si hua unamsusia hadi mdudu maan 😂😂😂
 
Kwa namna yoyote ile epuka ugomvi wa aina yoyote na jirani yako,, nyuma ya hizi biashara kuna mambo mengi mno ambayo najua yako juu ya uwezo wako... Hivo visasi sio vizuri katika maisha
Wanawake wote leo mpo nyuma ya mwenzenu.
Sisi Maustaz tunasema Al Qiswas Haq yaani kisasi ni haki yako. Japo kusamehe ni bora zaidi.
Mtoa mada shikilia hapo hapo, usilegeze.
 
Yaani Unamsichana Dukani aache mtu mgeni aingie dukani aanze kuchezea simu ya Bosi wake/ hadi kuondoka naye na yeye yupo?
Lakininpia, unamiliki simu ya Samsung Galaxy 23 - ambayo haina password? na maanisha kama ingekuwa na password angechukua ya nini?
Kuna maswali mengi tu kwa hii hadithi yako.....
 
Mkuu mademu wanaroho mbaya,ww mwenyewe ukasome.Kifupi tumia busara upate haki yako salama
 
Huwajuwi wanawake, usidhani umeshinda.

Anakuweka deka huyo.

Huwezi kushindana nan
kiumbe kilichokuweka tumboni miezi na miezi na kikakuchambisha kwa vidole.
Tuliza mishono wewee na kauli zennu za kujipa moyo eti miezi tisa sasa ulitaka nikae minne ama? Yeye Kwa mamaake alikaa mitano au? Kama anaweza hii ligi aendelee.
 
Na ole wako umsamehe sitakuelewa hata kidogo. Namaanisha sitakuelewa hata
 
Tuliza mishono wewee na kauli zennu za kujipa moyo eti miezi tisa sasa ulitaka nikae minne ama? Yeye Kwa mamaake alikaa mitano au? Kama anaweza hii ligi aendelee.
Miezi tisa ni kitu gani hizi pumbu zilizotoa mbegu tupo nazo maisha yote wewe unaongellea miezi tisa. Stupid kabisa
 
Huhitaji kumlipa mtu mjinga kwa ujinga wake chief. Ungemuonyesha wewe ni Smart Zaid yake kwa kumsamehe angejifunza kitu. Life is full of experience mkuu. Kila tunajifunza kitu.
Kwa mapepe na mdomo alionao sio mtu wa kujifunza Kwa makosa inabidi afundishwe kwa vitendo mujarab kama hivi
 
Nakupongeza mno kwa hili.

NONGWA na GUBU is inevitable when the situation is alarming.

Mimi mwenyewe huwa nikilianzisha varangati nahakikisha nakufanyia NONGWA na GUBU kweRi kweRi mpaka unaomba poo au unaomba KUJIUZULU bila mafao.

cc Lamomy Extrovert
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…