Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Nawaasa washabiki na wanachama wa Simba, suala la usajili limekwisha na sasa tuunge mkono chama letu.
Simba itakaa sawa baada ya mechi tano au sita, huyo Mukwala mnayedhani sio striker atawanyamazisha muda c mrefu.
Kama wewe umekuja kwenye football kama Baba levo au Mwijaku tafadhali jitoe mapema tuachie wenye Simba yetu.
Jumapili tunaanza rasmi ligi na kusaka mafanikio ya timu, Simba nguvu moja ndio inatakiwa itamalaki jumapili.
Siku hiyo hasira zetu tutaanzia kwa Tabora United, golini Camara, kulia Kijiri, kushoto Zimbwe, nne Hamza au Chamou, dala Che Malone, Six Yussuph Kagoma au Okajepha winga Mutale, winga Balua, Nane Debora, Tisa Mukwala kumi Awesu Awesu.
Burudani itakuwa ya kutosha sana jumapili.
Tuiunge mkono timu yetu, tuachen upuuzi wa kuwafuatisha hao mwiko nyuma.Dawa yao inachemka.
Simba itakaa sawa baada ya mechi tano au sita, huyo Mukwala mnayedhani sio striker atawanyamazisha muda c mrefu.
Kama wewe umekuja kwenye football kama Baba levo au Mwijaku tafadhali jitoe mapema tuachie wenye Simba yetu.
Jumapili tunaanza rasmi ligi na kusaka mafanikio ya timu, Simba nguvu moja ndio inatakiwa itamalaki jumapili.
Siku hiyo hasira zetu tutaanzia kwa Tabora United, golini Camara, kulia Kijiri, kushoto Zimbwe, nne Hamza au Chamou, dala Che Malone, Six Yussuph Kagoma au Okajepha winga Mutale, winga Balua, Nane Debora, Tisa Mukwala kumi Awesu Awesu.
Burudani itakuwa ya kutosha sana jumapili.
Tuiunge mkono timu yetu, tuachen upuuzi wa kuwafuatisha hao mwiko nyuma.Dawa yao inachemka.