Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
hahahaaa...!!!. jamaa karudi tena?!. ngoja niangalie hii vita lazima mtu apigwe ban.
cc. stata mzuka, Mndengereko, miss strong, Mrembo by Nature. bila shaka Nyani Ngabu ana share clouds media na atakua yupo nyuma ya tanzania fleva unit ambayo katibu wake ni kalla pina. mia
anashindwa kujua kwamba kipindi hicho hawa jamaa walikua watoa burdan kwenye kumbi za starehe hadi walipo pata mdhamini. Hata hivyo kuwa kwenye game muda mwingi sio sababu ya kutokua mnyonyaji wa wasanii. Clouds media ndio wanyonyaji na wafitinishaji wa kwanza wa wasanii wa Bongo na huu ndo ukweli ambao Nyani Ngabu hataki kuusikia. mia
Tanzania nzima hakuna redio kama Clouds. Na hata kama mkipinga kimoyomoyo nahisi mnaikubali.
Na ndiyo maana hakuna kabisa redio zingine zinazosikika zaidi ya Clouds.
Clouds wanatisha. Clouds wanakimbiza. Clouds wako juu.
Ati umesema Mawingu nini?
Clouds wamemnyonya nani? Lady Jay Dee? Na kama wamemnyonya, wamemnyonya nini - chuchu zake au?
mawingu studio kwani vipi ujaelewa nini ahaa au we kilaza kama mulugo make pale clouds meunga unga sana elimu mara form 4 anasoma digrii tumaini kurasini alaa.
we kweli unakameruniwa rugay matusi ya nini sasa
hahahaaa...!!!. jamaa karudi tena?!. ngoja niangalie hii vita lazima mtu apigwe ban.
cc. stata mzuka, Mndengereko, miss strong, Mrembo by Nature. bila shaka Nyani Ngabu ana share clouds media na atakua yupo nyuma ya tanzania fleva unit ambayo katibu wake ni kalla pina. mia
Wewe lazima utakuwa umenyonywa na Clouds wewe, si bure!
Wewe lazima utakuwa umenyonywa na Clouds wewe, si bure!
mi sijanyonywa wala ila lazima tujue madhara ya clouds katika ukuaji wa muziki tanzania kwaiyo hatuwezi kukaa kimya.
Wewe lazima utakuwa umenyonywa na Clouds wewe, si bure!
Unavyolia lia ni kama umeshawahi kunyonywa wewe. Sipati picha walikunyonya nini na walikunyonyaje. Ndo maana una gubu:heh:
mkuu naona ban kwako ni kama sikukuu
Wewe unaropoka,,hip hop anayofanya majani ni hatari ka dre,,cheki ngoma ya stamina,wazo la leo,,,,,ukitoa majani na duke touches hakuna hip hop producer bongo
Hujanyonywa leo wewe eeeh? Hebu nenda kwa Ruge akakunyonye basi.
dah kweli umezoea kuliwa unadhani na mie akha mi sipo kabisa mkuu
Hivi wewe ni wa kiume kweli wewe?
mi mwanaume halisi nimetimia uliza lingine!