Enzi zetu: Mpenzi wangu nikupendaye kwa dhati

[emoji1] [emoji1] [emoji1] niliwahi kuandika barua kama hii, tofaut ni mwandiko na jina la mhusika.
Hata hivyo iliishia mikononi mwa ticha mkuu, yaliyonikuta hadi vitukuu watajua
Mkuu usinikumbushe enzi za kuweka barua kwenye daftari la mlengwa afu inaishia kwenye mikono ua mwalimu hahahaha siwez sahau iko kichapo duuu[emoji23] [emoji23]
 
Barua yangu ilishawahi kufikia mikononi mwa mama mkwe, demu kaisoma kisha kaificha kwenye daftari, kufika home mama kamwambia lete daftati nikague, mbaya zaidi mama ananifahamu na kwenye barua nimeandika jina langu, kilichofuata demu alikula bakora za kutosha kisha akaletwa home na kidhibiti mkononi, sitaisahau siku hiyo, ila baada ya siku2 demu kaja mwenyewe geto kumaliza hasira za kupigwa huku akisema"nifanye unavyotaka ili nimalize machungu ya kupigwa".
 
duuuh bt happy ending atleast
 
Uuuziumenikumbushambali
 

hahahahhahaha ila hapo mwisho umeongezea chumvi bana... kwa kipigo lazma alikukwepa sana shule ... !!!
 
Hahahaaaa,kwa hiyo mama alikusaidia bila yeye kujua
 
Mkuu usinikumbushe enzi za kuweka barua kwenye daftari la mlengwa afu inaishia kwenye mikono ua mwalimu hahahaha siwez sahau iko kichapo duuu[emoji23] [emoji23]
Dah! Kweli a see, hiyo yote uoga wa kuji-state.
 
He he! Chura kapigwa teke ilikuwa
 
Mkuu usinikumbushe enzi za kuweka barua kwenye daftari la mlengwa afu inaishia kwenye mikono ua mwalimu hahahaha siwez sahau iko kichapo duuu[emoji23] [emoji23]
ndo nilifanya hivyo mkuu, kumbe nawe chama moja [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole sana aisee[emoji30] [emoji30]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…