James Mhangwa
JF-Expert Member
- Feb 3, 2017
- 609
- 513
Enzi hizo walipewa mamlaka ya kutucharaza fimbo halafu mimi na fimbo ni maji & moto! hata nikiona anachapwa mwingine hasira zinanijaa kama koboko! Nikipiga kelele naandikwa ila nikigundua nitafanya kila njia Yale majina yasimfikie ticha, class kulikuwa uwanja wa vita[emoji61]Basi unaonyesha ulikuwa mtukutu