Enzi zile tulimtetemekea sana Lipumba eti ni mchumi

Enzi zile tulimtetemekea sana Lipumba eti ni mchumi

Wakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.

Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.

Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
Umekaaa hapo unalama tamako ya wanaume wenzako utajua nini? Kwa hio Wotrld Bank walivyo kuwa wanamtuma wao ni wajinga na wewe mkamba tamako ndio mjanja
 
Wakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.

Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.

Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
Ndio kisa watu wanakimbilia siasa. Wanasiasa hupata sifa kubwa kuliko uwezo wao, ni sawa na watu flani unaweza sema wao ndio mawakili/wanasheria bora zaidi kutokea Tz, kumbe ni platform tu ya siasa ndio imewa elevate na kwa kuwa kesi zao huishia frontpage za magazeti mengi kwa sababu ya undertone ya kisiasa
 
Baadhi ni kweli kwamba alikua kichwa darasani na chuo
Hizo habari za kushauri China na Amerika, mlipigwa kamba kwakua nyie ni wavivu wa kufanya research.
Kumbe alikuwa mzuri wa kukariri MADESA tu!!? Kwenye application akawa zero. Maana hatujaona hata kipeperushi kimoja kilichoandikwa na Lipumba
 
Wakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.

Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.

Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
Wakati umekalia tumbo lako kupata posho za kupost urojo mitandaoni. Nenda Uganda kaangalie impact ya ishauri wake wa Uchumi kwa Museven.

Tatizo la Tanzania ni roho mbaya na laana ya CCM ambapo inahakikisha kama kuna Mtanzania anayeonekana ni kichwa huko duniani wanamrudisha nyumbani ili wambomoe na kumaliza labisa career yake.
Tibaijuka
Muhongo
Balali
Kabudi
Sarungi
Mavere Tukai (under progress...) na wengineo wengi....

Tunachojua sisi ni kuroga, kuuana, kusujudia mamlaka, kudanganya na kudanga kisiasa.


Ni vyema ungefanya tafiti kabla haujaweka huu urojo hapa
 
Back
Top Bottom