Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekaaa hapo unalama tamako ya wanaume wenzako utajua nini? Kwa hio Wotrld Bank walivyo kuwa wanamtuma wao ni wajinga na wewe mkamba tamako ndio mjanjaWakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.
Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.
Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
Mkuu huo ndio ukweli shida nchi ina Watalwa wana tawala watu wajinga mno,Prof. Lipumba ni moja ya vichwa hatari sana kwenye uchumi Tanzania hatokuja kutokea kama yeye
Sasa A ya Economic nayo ni ya kujitapia huyo Mzee alikuwa overated lakini kiuhalisia ni mtu wa hovyo sana.Ni kweli..Mimi nilisia alipata A Kali Sana ya Economics pale Pugu kuliko mtu yeyote Toka uhuru [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uchumi wa makaratasi na magraphProf. Lipumba ni moja ya vichwa hatari sana kwenye uchumi Tanzania hatokuja kutokea kama yeye
Nilisikia alikuwa mshauri wa uchumi nchini UgandaNilikuja sikia eti alinusuru uchumi wa china[emoji23][emoji23][emoji23]vigenge vya kahawa hatar sana
Huyo Mzee alitamba kipindi wazee wanatudanganya et darasa lao la nane ni sawa na Form VI ya leo. Wazee wamejaa kamba wale, Cha ajabu Sasa mambo yote ya leo yanawachanganya hata kutumia Smart phone hawawezi.Halafu kasoma combination. Nyepesi sana. Angesoma pcm au hge
Na majengo ndo hayo kaporwa na waliojiteka, kazi anayo mwaka huu...Alipenda tu kufanya siasa na MACCM ndio mwanzo wa Tatizo
HGE ni ngumu?Halafu kasoma combination. Nyepesi sana. Angesoma pcm au hge
Wotrld bank nadhani hio itakua Ni bank ya wakina mama huko Kasulu,maana sijawahi kuisikia.Umekaaa hapo unalama tamako ya wanaume wenzako utajua nini? Kwa hio Wotrld Bank walivyo kuwa wanamtuma wao ni wajinga na wewe mkamba tamako ndio mjanja
Mm nikisikia eti ndiye aliyeipaisha South Africa kiuchumi kwa ushauri wake. Bongo nyoko aiseeNilikuja sikia eti alinusuru uchumi wa china😂😂😂vigenge vya kahawa hatar sana
Ndio kisa watu wanakimbilia siasa. Wanasiasa hupata sifa kubwa kuliko uwezo wao, ni sawa na watu flani unaweza sema wao ndio mawakili/wanasheria bora zaidi kutokea Tz, kumbe ni platform tu ya siasa ndio imewa elevate na kwa kuwa kesi zao huishia frontpage za magazeti mengi kwa sababu ya undertone ya kisiasaWakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.
Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.
Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
Kumbe alikuwa mzuri wa kukariri MADESA tu!!? Kwenye application akawa zero. Maana hatujaona hata kipeperushi kimoja kilichoandikwa na LipumbaBaadhi ni kweli kwamba alikua kichwa darasani na chuo
Hizo habari za kushauri China na Amerika, mlipigwa kamba kwakua nyie ni wavivu wa kufanya research.
Wakati umekalia tumbo lako kupata posho za kupost urojo mitandaoni. Nenda Uganda kaangalie impact ya ishauri wake wa Uchumi kwa Museven.Wakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.
Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.
Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.