Enzi zile tulimtetemekea sana Lipumba eti ni mchumi

Enzi zile tulimtetemekea sana Lipumba eti ni mchumi

Prof. Lipumba ni moja ya vichwa hatari sana kwenye uchumi Tanzania hatokuja kutokea kama yeye
Hovyo kabisa hana lolote, nakumbuka na mimi nilikua mshabiki namba moja nikitetea hizo qualification zisizokuwa na mashiko, ambazo kwakweli na mimi nilikua nasikia tu kutoka kwa Kaka zangu kibaya zaidi tumetoka mkoa mmoja na vijiji vyetu vipo jirani yeye anatoka Lolangulu mimi natoka Tumbi, kwahiyo ulikua huniambii kitu kuhusu Lipumba [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nilichokuja kugundua ni boya mmoja mchumia tumbo hana anachokijua zaidi ya blabla tu na janjajanja yaani kwa kifupi yeye na Profesa Kabudi wamefanana kila kitu mpaka akili kasoro kutoa macho tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Maprofesa wa Bongo kwakweli ni mtihani sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Lipumba ni zero kwakweli ...
 
Kwa kile alichofanya CUF na kuibomoa nadhani inaweza kuwa kweli.
Hakuna cha TISS wala ushuzi wa TISS ni miongoni mwa maprofesa mazombi tu kama kina Kabudi

Kwangu Maprofesa watabaki kuwa ni Issa Shivji na Marehem Othman Haroub baaaasi

Hizi takataka zingine hamna kitu tupa kule
 
Wakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.

Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.

Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
Naomba urudi ukafanye research tena

Bahati nzuri Library nyingi za vyuo vikuu wapo online unaweza kwenda kutafuta kwa jina

Inawezekana asiwe mkali kama wanavyosema ila ni msomi mzuri sema tu mambo yake ya hovyo

Nimeingia kwenye Library za University chache za nje ambazo ni kubwa (Ivy league) nimekuta jina lake
 
Wakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.

Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.

Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
Ni msomi mzuri wa UC Stanford ya California USA. Ila siasa za bongo labda zimemharibia jina.
 
Sitasahau alivyoenda Rwanda kujifunza uchumi wao. Akakaa huko kama siku tano hivi. Lipumba ni kama tu watu wengine wa jalalani.
 
Tunaambiwa alikuwa mshauri wa Rais wa Uganda katika uchumi wakati karibu kila nchi duniani ina mshauri wa uchumi. Yuko vizuri lakini kuna chumvi za kutosha pia
Hii ya Uganda nilisikia pia
 
Uchumi wa makaratasi na magraph

Ova

Uchumi wa kutembea na Taulo na miswaki kwenye briefcase, na kulala kwenye godoro pale kwenye hoteli yake ya 5 star Buguruni 😛😛
 
Nasubiri siku Lissu nae akikubali kutumika na ccm sijui yapi watu wataongea ambayo walikuwa wakiyasikia kuhusu Lissu ila hawakuwa wakiyasema kama Lipumba.
 
Nakumbuka mwana mmoja wa mikocheni alinipiga kamba kua lipumba ndio anawashauri matajiri wote Afrika, na hata museven anamshauri hee baadae nimekuja kujua kumbe mzee ni kanjanja la mjini tu hana weledi wowote ni sawa na dokta mihogo
 
Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
Acha uchokozi aisee, heshimu taaluma za watu.
 
Back
Top Bottom