Enzi zile tulimtetemekea sana Lipumba eti ni mchumi

Enzi zile tulimtetemekea sana Lipumba eti ni mchumi

Hata mie Nina A ya Economics na wengi tuu wanazo..

Acheni fix ,A ya advance ni meangless kwenye economics.

Kama wewe ni distinguished economist,Tunga theory Yako tuitumie kama rejea vinginevyo ni stori tuu..
By the way mie Huwa napenda kumtumia Prof.Beni Benanke kwenye rejea za Uchumi.
Best student faculty yake udsm
 
Wakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.

Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.

Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
Duh! mkuu naona unapiga ikulu sasa.....
 
Ukitaka kujua wasomi walipo nenda Jesuit fathers. Hawa wengine ni mbwembwe tu. Jesuits are most brilliant in the world ila hawajisemi tu
Alikua mshauri wa uchumi Uganda na Tanzania ya mwinyi,u haguzi 2000 CCM wakipiga kijembe kwamba lipumba kafukuzwa ushauri Uganda kwa kuwa alishauri hovyo,2000 ulikua na umri gani!?..ulikua bado unalamba kamasi!?
 
Miaka ile akitamba technology bongo ilikuwa nyuma ndiyo maana ulikuwa mtu ukipigwa kamba kwamba mtu fulani siyo wa kawaida kwenye jambo fulani unajaa mazima kutokana na huna pakupata na wewe taarifa zake labda uwe mjanja sana.

Leo vitu vipo mitandaoni ukigusa kila kitu kinashuka ndiyo maana hata umaarufu wake umepotea kizazi hiki hata hakimjui ni nani.
Nenda kamtafute kamusi elezo ujue yeye ni nani,halafu tafuta mchumi mtanzania aliyefanya hayo
 
Hahahah
Acha hizo bana.

Mimi ni CCM tena mwanachama hai lakini nasimama na Tanzania.

Tunahitaji fikra mbadala kuongoza nchi kwa sasa.
Kwani huko kwenu fikra zimeisha na mmefila ukomo wa mawazo
 
Kwani huko kwenu fikra zimeisha na mmefila ukomo wa mawazo
Fikra zipo sana ila zinazotawala ni fikra zenye unyama unyama ndani yake.

Wapinzani ni Watanzania na wsnastahili kusikilizwa na kuchaguliwa kama sisi tunavyolazimisha kuchaguliwa
 
Wakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.

Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.

Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
MSHAURI
.the world bank
. UNDP
.global coalition of Africa
.comesa
.swedish international dev agency
. NORAD
.danida
. Finland
.bot
. Uganda 1992
. IMF 1994
Ecosoc 1998
. Namibia 1998
. Swaziland 1998
.mefmi 1998
TAFITI
.stabilization policies in Tanzania (udsm 1984)
.African unity ,some practical guidelines(1983 Stanford)
.problems and prospects of African economic integration (1982)
Nimeacha vingi ikiwemo kuishauri bunge la marekani
 
MSHAURI
.the world bank
. UNDP
.global coalition of Africa
.comesa
.swedish international dev agency
. NORAD
.danida
. Finland
.bot
. Uganda 1992
. IMF 1994
Ecosoc 1998
. Namibia 1998
. Swaziland 1998
.mefmi 1998
TAFITI
.stabilization policies in Tanzania (udsm 1984)
.African unity ,some practical guidelines(1983 Stanford)
.problems and prospects of African economic integration (1982)
Nimeacha vingi ikiwemo kuishauri bunge la marekani
Mbona Sasa Yuko vile. Halafu kumbuka cv nyingi huwa ni chumvi
 
Sio sababu anatumika na CCM.

Kila uwongo unaishi kwa muda fulani tu(tena huu umekaa muda wa kutosha), alafu unabumburuka.

Yawezekana wakati umefika, kwa uwongo mwingi uliojengwa juu ya wanasiasa na siasa za bongo kubumburuka.
Ni kawaida tu humu kwa wanasiasa wenye kuhamia ccm kutoka upinzani au wenye kutumika na ccm huanza kushushwa thamani na kuonekana si lolote si chochote, na ndio kinachoendelea hapa kwa Lipumba.
 
Ingekuwa ni kweli hangehangaika na siasa akijua siasa ni mchezo mchafu. Taaluma yake ingemtosha kuzunguka duniani na kula pesa kilaini. Sijui kama ni kweli kama alishakuwa mshauri wa uchumi wa Museveni.
 
Lipumba alikua mshauri wa uchumi kwa mzee mwinyi,amefanya taasisi nzito za kiuchumi marekani,kafundisha uchumi vyuoni marekani,mwaka wake udsm alikua best student,Kuna initiative ya uchumi ilimtumia 2010s,huwezi beza taaluma ya uchumi ya lipumba utakua mpumbavu tu,maana hata babu yako Nyerere alisema ni msomi mzuri Ila hajaoa hivyo hagai kuwa rais


Best student!!, what is it good to be a best student ??, tunataka asaidie nchi hii iliyomsomesha kwa pesa yetu ili ikue kiuchumi ama sivyo ubora wake academically hauna faida yoyote zaidi ya majigambo matupu ya kwenye makaratasi, "Fulbright professor" hata kutunga kitabu kinachoweza kuwasaidia wanafunzi wa higher institutions katika economics hana!!, nikisema alikuwa anakariri masomo yake nitakosea??.

Umeelewa wewe mpumbavu??!
 
MSHAURI
.the world bank
. UNDP
.global coalition of Africa
.comesa
.swedish international dev agency
. NORAD
.danida
. Finland
.bot
. Uganda 1992
. IMF 1994
Ecosoc 1998
. Namibia 1998
. Swaziland 1998
.mefmi 1998
TAFITI
.stabilization policies in Tanzania (udsm 1984)
.African unity ,some practical guidelines(1983 Stanford)
.problems and prospects of African economic integration (1982)
Nimeacha vingi ikiwemo kuishauri bunge la marekani

Eti mshauri wa Bunge la marekani?? Hizo zilikuwa fix.
 
Best student!!, what is it good to be a best student ??, tunataka asaidie nchi hii iliyomsomesha kwa pesa yetu ili ikue kiuchumi ama sivyo ubora wake academically hauna faida yoyote zaidi ya majigambo matupu ya kwenye makaratasi, "Fulbright professor" hata kutunga kitabu kinachoweza kuwasaidia wanafunzi wa higher institutions katika economics hana!!, nikisema alikuwa anakariri masomo yake nitakosea??.

Umeelewa wewe mpumbavu??!
Si u-google tu kamusi elezo yake uone kafanyaje
 
Ni kawaida tu humu kwa wanasiasa wenye kuhamia ccm kutoka upinzani au wenye kutumika na ccm huanza kushushwa thamani na kuonekana si lolote si chochote, na ndio kinachoendelea hapa kwa Lipumba.

..Dr.Nguyuru Ibrahim Lipumba amesoma vizuri na ktk vyuo vikubwa.

..kilichomponza ni kujiunga na chama cha upinzani Cuf.

..asingeingia upinzani, au angebaki Ccm, huenda angeshika nafasi kubwa serikalini.

..Dr.Lipumba aliachishwa kazi akiwa mhadhiri idara ya uchumi Udsm wakati Mkapa alipokuwa Raisi.

..kuwa kiongozi au mwanachama wa chama cha upinzani hapa Tanzania kuna changamoto nyingi sana.
 
Kafanyeje??, tunataka tuone anafanya nini kusaidia taifa kiuchumi leo hii.--- nani anahitaji CV na theses hapa!!
Kwani vyuo vyote tz havijazalisha wachumi wengine!?..yeye alishashauri kipindi Cha mwinyi
 
Back
Top Bottom