Enzi zile tulimtetemekea sana Lipumba eti ni mchumi

Enzi zile tulimtetemekea sana Lipumba eti ni mchumi

Katika ma CEO wa private banks kubwa duniani zinazoshika nafasi ishirini in terms of assets ownership; wangapi wameandika vitabu au kuja na theory zinazo fundishwa. Na ufikii hizo nafasi without performance track record ya kutengeneza faida.

Katika ma-governor wa central bank kwenye G7 wangapi wana hizo criteria za mleta na upewi tu hizo nafasi kama zawadi, kama ilivyo Tanzania.

Katika makatibu wakuu wizara ya fedha nchi za G7 nako ni wangapi wanavitabu na hawa watu ni vipanga kweli kweli nchi za wenzetu ambao wengi from top universities.

Asilimia ngapi ya Phd ambao ni lectures wa uchumi wana vitabu duniani au lini mara ya mwisho since Maynard Keynes mtu kaja na theory mpya ya uchumi ambayo lazima kuijua.

In other words hivyo vigezo ulivyotumia sio metric measure ya kuwa top economist.

Wachumi wanasoma how to maximise resources usage given their limited supply (scarcity).

Uwezi kusema Professor Lipumba ni wa ovyo wakati ajawahi kupewa kazi katika taasisi yeyote kuisimamia Tanzania wala kuwa mshauri wa ndani ya serikali au sehemu ya mipango ya kukuza uchumi.

Anyway kwa Tanzania binafsi toka nipate akili zangu kwa niliowasikia na unaona ubunifu wao in applying theories to Tanzania context kukuza microeconomic au macro ni; Dr Kimei (akiongelea banking), Marehemu Prof Ndullu na marehemu Dr Mgimwa; kati yao Dr Mgimwa I rank him to be the top economists.

Inawezekana wapo wengine kwenye private sector au bank kuu ila hawana public exposure, ila serikalini kuanzia na waziri wa fedha wa sasa na tunaowasikia kila siku hamna kitu.
 
Imenibidi nicheke.

Kiukweli tulipigwa sana fix eti lipumba mchumi namba moja nchini.

Aisee nikikumbuka najiona mjinga sana.

Lipumba huyu ambae hata Dokta Msukuma anamzidi hoja.

Hii nchi laana yake imeanza miaka mingi sana.
 
Lipumba yuko sawa kabisa Siasa imempa hela nyingi sana na umaarufu ambao wengi ndio Wana utaka,chini ya lipumba na wazanzibar wake Cuf ilikuwa Chama kikuu Cha upinzani na kupokea fedha na misaada mingi kutoka serikalini na nje ya nchi
 
Wakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.

Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.

Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
Uko sahihi, Lipumba ni kilaza tu
 
Nimeingia Google wanasema kuna kipindi alikuwa mshauri wa masuala ya uchumi kwa serikali ya Uganda early 80/90s.

Ila alipoingia kwenye siasa akili zote zikahama na ni kawaida angalia kina Kitila Mkumbo na Bashiru utaona wanavyokuwa weupe vichwani wakianza kupokea ruzuku.
Mbona Lissu yupo kwenye siasa na bado anasifiwa sana humu na taaluma yake au hadi siku akianza kutumika au kuhamia ccm ndio nae watu wataanza kumchambua kama Lipumba sasa?
 
Mbona Lissu yupo kwenye siasa na bado anasifiwa sana humu na taaluma yake au hadi siku akianza kutumika au kuhamia ccm ndio nae watu wataanza kumchambua kama Lipumba sasa?
Sasa utamfananisha lisu na Lipumba. Lisu kwanza amesomea ilborou shule ya vipaji maalumu na form four ana A zote madomo kumi na mbili
 
Sasa utamfananisha lisu na Lipumba. Lisu kwanza amesomea ilborou shule ya vipaji maalumu na form four ana A zote madomo kumi na mbili
Sijamfananisha, Lipumba alikuwa anasifiwa sana tu ila toka aonekane anatumika na ccm ndio watu sasa wanasema tulikuwa tunadanganywa hivi mara vile kuhusu kuhusu Lipumba kitu ambacho hapo kabla hawakuwa wakisema na ndio maana nikasema hata Lissu nae siku ya kukubali kutumika na ccm tutasikia watu wakiyasema ambayo sasa hawayasemi kuhusu Lissu.
 
Wakati umekalia tumbo lako kupata posho za kupost urojo mitandaoni. Nenda Uganda kaangalie impact ya ishauri wake wa Uchumi kwa Museven.

Tatizo la Tanzania ni roho mbaya na laana ya CCM ambapo inahakikisha kama kuna Mtanzania anayeonekana ni kichwa huko duniani wanamrudisha nyumbani ili wambomoe na kumaliza labisa career yake.
Tibaijuka
Muhongo
Balali
Kabudi
Sarungi
Mavere Tukai (under progress...) na wengineo wengi....

Tunachojua sisi ni kuroga, kuuana, kusujudia mamlaka, kudanganya na kudanga kisiasa.


Ni vyema ungefanya tafiti kabla haujaweka huu urojo hapa
Ebu tuelekeze mkuu,lipumba alishauri nini Uganda na uganda ikamove kutoka hatua gani kwenda hatua gani(yani level ya uchumi kabla ya ushauri na baada ya ushauri,)

Pia unaweza tuambia ni mwaka gani
 
Ilifikia hatua Marekani na China waliingia kwenye mgogoro mkubwa wakimgombania Lipumba.

Ili kuepusha vita ilipigwa kura na China akashinda na kumchukua Lipumba ili amsaidie kwenye mambo ya uchumi.

Ndani ya wiki mbili tu Lipumba alifanikiwa kukuza uchima wa China kama mnavyouona sasa.

Baada ya Germany kuona hivyo,alimpigia magoti Lipumba ili awasaidie kukuza uchumi wa nchi yao. Lipumba alikataa, Germany waliumia sana.
 
Lissu kazi zake na weledi wake kisheria vimeshaonekana sana tu mahakamani, bungeni na kwenye maandiko yake.
Huna pointi.
Sijamfananisha, Lipumba alikuwa anasifiwa sana tu ila toka aonekane anatumika na ccm ndio watu sasa wanasema tulikuwa tunadanganywa hivi mara vile kuhusu kuhusu Lipumba kitu ambacho hapo kabla hawakuwa wakisema na ndio maana nikasema hata Lissu nae siku ya kukubali kutumika na ccm tutasikia watu wakiyasema ambayo sasa hawayasemi kuhusu Lissu.
 
Prof wa heshima huyo ana certificate ya Economic and statistics sasa sijui watu mlikuwa mnakwama wapi kuyajua yote haya.?
 
Back
Top Bottom