Enzi zile tulimtetemekea sana Lipumba eti ni mchumi

Enzi zile tulimtetemekea sana Lipumba eti ni mchumi

Wakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.

Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.

Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
Rekodi ya Lipumba ni ya A-Level ambapo alifaulu vizuri uchumi. Watu tu wamekuza kudhani kwamba ni mkali wa uchumi hadi huko kwingine.

Kwa Tanzania mkali wa Uchumi ni Benno Ndulu (RIP) ndio ameshauri maeneo mengi makubwa
 
Nilichoka kabisa kusikia et lipumba ameinua uchumi wa marekani



Lisu kuwa wakili wa zuma south afr
Kwamba ni bonge la.msomi


Haya. Na mengine sitokuja sahau
 
Wakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.

Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.

Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
Kina nani hao walikuwa wanakudanganya?Wahuni siyo watu wazuri. 😂😂😂😂
 
Wakati umekalia tumbo lako kupata posho za kupost urojo mitandaoni. Nenda Uganda kaangalie impact ya ishauri wake wa Uchumi kwa Museven.

Tatizo la Tanzania ni roho mbaya na laana ya CCM ambapo inahakikisha kama kuna Mtanzania anayeonekana ni kichwa huko duniani wanamrudisha nyumbani ili wambomoe na kumaliza labisa career yake.
Tibaijuka
Muhongo
Balali
Kabudi
Sarungi
Mavere Tukai (under progress...) na wengineo wengi....

Tunachojua sisi ni kuroga, kuuana, kusujudia mamlaka, kudanganya na kudanga kisiasa.


Ni vyema ungefanya tafiti kabla haujaweka huu urojo hapa
Kweli wewe msanii

Msomi afu unawaza kurogwa
 
Lissu kazi zake na weledi wake kisheria vimeshaonekana sana tu mahakamani, bungeni na kwenye maandiko yake.
Huna pointi.
Point ninayo mkuu, Lissu huyo huyo siku ikatokea kukubali kutumika na ccm usitegemee kuendelea kusikia Lissu akisifiwa hivyo hivyo na bado akaoneka wa thamani.
 
Lipumba hana lolote zaid ya story za kusadikika kuhusu yeye na sijui ni nani aliyemfanyia hizo propaganda kuaminisha watanzania kuwa yeye ni mtu sana
 
Ndio kisa watu wanakimbilia siasa. Wanasiasa hupata sifa kubwa kuliko uwezo wao, ni sawa na watu flani unaweza sema wao ndio mawakili/wanasheria bora zaidi kutokea Tz, kumbe ni platform tu ya siasa ndio imewa elevate na kwa kuwa kesi zao huishia frontpage za magazeti mengi kwa sababu ya undertone ya kisiasa
Ukweli mtupu
 
Hapa ni 1982: Dr. Enguyuru Lipumba akihojiwa na Mwandishi wa Norwegian State Broadcasting Corp.

 
Tuliambiwa ni mshauri wa uchumi wa Rais wa Marekani na Rwanda tukawa tamaind balaa yan tunahisi maccm hayakutaka kumtumia ili tuwe matajiri kama Marekani! Mara tukaambiwa atatoa zawadi kwa atakayepata A ya uchumi Advance! Mambo yalikuwa mengi kwetu kutoka kwa the chawaz wa huyu mwaisa na walitupigq mandoinge mengi sana.
 
Kwanini ni sasa ndio tunaona Lipumba hana lolote na yote tuliyokuwa tunasikia sio kweli? Kama Lipumba asingetumika na ccm ina maana bado tungeendelea kusikia maneno ya uongo kuhusu yeye na tukaendelea kunyamaza?
 
Kwanini ni sasa ndio tunaona Lipumba hana lolote na yote tuliyokuwa tunasikia sio kweli? Kama Lipumba asingetumika na ccm ina maana bado tungeendelea kusikia maneno ya uongo kuhusu yeye na tukaendelea kunyamaza?

Sio sababu anatumika na CCM.

Kila uwongo unaishi kwa muda fulani tu(tena huu umekaa muda wa kutosha), alafu unabumburuka.

Yawezekana wakati umefika, kwa uwongo mwingi uliojengwa juu ya wanasiasa na siasa za bongo kubumburuka.
 
Best brain kafanya nini?? Anafanya nini sasa hivi kusaidia taifa kupanda kiuchumi??
Lipumba alikua mshauri wa uchumi kwa mzee mwinyi,amefanya taasisi nzito za kiuchumi marekani,kafundisha uchumi vyuoni marekani,mwaka wake udsm alikua best student,Kuna initiative ya uchumi ilimtumia 2010s,huwezi beza taaluma ya uchumi ya lipumba utakua mpumbavu tu,maana hata babu yako Nyerere alisema ni msomi mzuri Ila hajaoa hivyo hagai kuwa rais
 
Back
Top Bottom