Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nabii akubaliki kwaoKuna kipindi zilivuma kwamba Amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa jopo la wachumi duniani na analipwa milioni mia kwa mwezi. Nadhani ilikuwa 2011.
Hiyo ya "hatokuja kutokea Kama yeye" , umeambiwa na nani?Prof. Lipumba ni moja ya vichwa hatari sana kwenye uchumi Tanzania hatokuja kutokea kama yeye
Lipumba ana jambo LAKE kwenye fani ya UCHUMI nchi hii...Wakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.
Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.
Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
Haya huyo hapo siti ya mbele na kishoka anatumia kodi zenuWakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.
Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.
Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
Ni lipropesa lipuuzi fulani hvProf. Lipumba ni moja ya vichwa hatari sana kwenye uchumi Tanzania hatokuja kutokea kama yeye
CCM haipokei ushauri kutoka kws wapinzani.
Ipo sahihi 100% kwa mujibu wa sera zake.
Kiazi mwingine huyu hapaCCM haipokei ushauri kutoka kws wapinzani.
Ipo sahihi 100% kwa mujibu wa sera zake.
Wakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.
Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.
Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
Hivi hii Prof. Ni ile ya kuingia kupata chuo yaan ni mwalimu/lecture wa Chuo au ni ya heshima km ilivyo kwa Prof. J?Prof. Lipumba
Alibebwa na ukubwa wa maalim, wanasiasa wa Tabora Wana historia ya usaliti, sijui waliipata wapi wakati Mkoa ulikuwa na watemi maarufu kama mirambo na isike, wote waliotaka kumpindua Nyerere, lazima walikuwa na mshirika kutoka TaboraWakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.
Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.
Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
Haina kubishana. Profesa Lipumba ni mchumi aliyebobea. Pia kusema chuo kikuu wanapeana udaktari kwa kulindana huku vichwani hakuna kitu ni kauli ya WIVU baada ya kuwa wewe ni kilaza. Elewa siasa ni jambo linaloweza fanywa na yeyote haina mipaka. Kwenye siasa hapa Afrika ndo kuna mteremko wa kupata maisha safi kirahisi sana. Huenda Prof kwa akili zake kubwa za kiuchumi aliona fursa kwenye siasa akaamua ajikite huko. Hata Mbowe ni DJ mkubwa duniani ila kaamua kujikita kwenye siasa kwa kurithi chama cha Baba mkwe wake.Wakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.
Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.
Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
hii nchi ina wendawazimu wengi sanaWenyewe wanamwambia Tz hii hakuna aliyevunja record ya Lipumba ya Matokeo yake kwny Somo la uchumi 'A level' tangu amalize shule Kule SHYCOM.
Tulidanganywa Sana,au nasema uongo ndg zanguuuuuu?
Kuna kipindi zilivuma kwamba Amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa jopo la wachumi duniani na analipwa milioni mia kwa mwezi. Nadhani ilikuwa 2011.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata Mbowe ni DJ mkubwa duniani ila kaamua kujikita kwenye siasa kwa kurithi chama cha Baba mkwe wake.