Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heshimu wanataaluma mkuu.Kumbe miyeyusho tu, kama Kabudi tu.
Ficha ujinga...tuna jadili taaluma sio siasa.Ni kama chadema tu mnavyotupiga kamba sasa kwamba Dunia nzima hakuna mwenyekiti wa Chama bora kuwahi kutokea kama Mbowe.
Huko mbeleni mtakuja kujiona wajinga sana.
Hakuna kitu, just imagine Prof la sheria lilikuwa jalalaniHeshimu wanataaluma mkuu.
hivi vitoto havijui, vyenyewe vinajua kupinga kila kitu cha CCM ndiyo ujanja na una akili kubwa, vipumbavu sana, LIPUMBA is one the best brain kama nchi tumewahi kuitoaProf. Lipumba ni moja ya vichwa hatari sana kwenye uchumi Tanzania hatokuja kutokea kama yeye
hivi vitoto havijui, vyenyewe vinajua kupinga kila kitu cha CCM ndiyo ujanja na una akili kubwa, vipumbavu sana, LIPUMBA is one the best brain kama nchi tumewahi kuitoa
Wewe huwezi kujifananisha na Lipumba hata kidogo, vipumbavu kama wewe mnafanya mitandao ionekane ya wahuniBest brain kafanya nini?? Anafanya nini sasa hivi kusaidia taifa kupanda kiuchumi??
Hiii pia niliwahi isikiaTuliambiwa jamaa yupo kwenye cabinet ya wanauchumi wanaomshaur Raisi wa Marekani kuhusu uchumi
Wewe huwezi kujifananisha na Lipumba hata kidogo, vipumbavu kama wewe mnafanya mitandao ionekane ya wahuni
Ole wako Hamis Mjengwa asme uzi wako. Jamaa anavyomfagilia Lipumba.Wakati tunazaliwa tuliambiwa kwamba hakuna mchumi kama Lipumba na mpaka wakafikia kusema ni mchumi namba mbili tuniani.
Sasa nimesoma soma vitabu sijawahi ona hata quotation au mtu aliyemcite Lipumba na Wala sijawahi ona hata theory moja aliyodevelop au kukosoa za watu. Theories nyingi za akina Keynes, modigliian, etc lakini hapa tuliambiwa Lipumba ni balaa.
Aise wabongo Huwa tunapigwa fix sana na tunapenda sana kutetemekea titles za uptoffesor na udoctor wakati wengi ni vilaza tu. Madoctor wengi wanaofundisha vyuo vikuu Huwa wanapeana udoctor ili walindane kazini lakini kichwani hamna kitu.
Niyeye amekataa kuishauri serikali sababu ni mpinzani au CCM ndio imemuona uselessWakati umekalia tumbo lako kupata posho za kupost urojo mitandaoni. Nenda Uganda kaangalie impact ya ishauri wake wa Uchumi kwa Museven.
Tatizo la Tanzania ni roho mbaya na laana ya CCM ambapo inahakikisha kama kuna Mtanzania anayeonekana ni kichwa huko duniani wanamrudisha nyumbani ili wambomoe na kumaliza labisa career yake.
Tibaijuka
Muhongo
Balali
Kabudi
Sarungi
Mavere Tukai (under progress...) na wengineo wengi....
Tunachojua sisi ni kuroga, kuuana, kusujudia mamlaka, kudanganya na kudanga kisiasa.
Ni vyema ungefanya tafiti kabla haujaweka huu urojo hapa
Ndugu yangu unaumia sana unapoona wakina kibatala wanapowachachafya maccm ?Ndio kisa watu wanakimbilia siasa. Wanasiasa hupata sifa kubwa kuliko uwezo wao, ni sawa na watu flani unaweza sema wao ndio mawakili/wanasheria bora zaidi kutokea Tz, kumbe ni platform tu ya siasa ndio imewa elevate na kwa kuwa kesi zao huishia frontpage za magazeti mengi kwa sababu ya undertone ya kisiasa