Kuwakamata haina shida....
Kuviita vyombo vya habari na kutoa statement kuwa wamewakamata haina shida...
Kuonekana kwenye viunga vya mahakama wakiwa na nyuso za huzuni haina shida pia.....
kusema wamenyimwa dhamana nako hakuna shida.......
Kunza kesi na kusomewa mashataka hakuna shida........
Kikwete kupongezwa na watu wasiofikiri mbali nalo halina shida.....
Jumuiya za kimataifa kumsifia Kikwete kuwa anafanya kazi vizuri hakuna shida pia,,,,,,,
Luwa watahukumiwa kwenda jela, ilo nalo halina shida....
kuwa wataenda jele gani, watakaa vipi , hili nalo lina shida na maswali yake!
Tatizo ni pale wanaposhindwa kujibu maswali yetu.
1. Kuwa kulikuwa na wahusika wangapi katika wizi huu?
2. Wahusika hao ni akina nani?
3.Kwa nini majina yao yalifichwa?
4.Kuwa CCM na serikali yake kwanini wamechukua muda mrefu kulishugulikia swala hili:
5.Kuwa wezi hao wana nguvu kuliko serikali kama alivyokwisha wahi kusema Pinda?
6.kuwa watu wanaoichangia CCM , CCM inawajua au mtu yeyote yule hata kama anauza ngozi za watu? wanachukua tu pesa?
siamini bado swala zima hili, mpaka hap nitakapomwona jeetu patel, kwe
waberoya