HONGERA SANA MR. II aka SUGU, kweli mi nimekubali we suguuuuuuuuuuu.Wakati huohuo poleni Kilaus (Clouds) hasa Kimlima (Kibonde) unajifanyaga unajua bro.....lakini hujui unavyoboa watanzania siku hizi hasa baada ya kuji associate na CHAMA CHA MADUMBUZI (CCM). Mshahara wa Sugu sasa hv kwa mwezi ni sawa na ujira wako wa U-MC kwa miaka 6. Hata kama ni shabiki wa CCM bro usionyeshe kwenye chombo cha habari, kama ndo ivyo CLOUDS iungane na TBC tujue kabisaaaa, na mkiendelea hivyo mwisho wenu soon, so far umaarufu wenu ushapungua, watu wengi wameanza kuwajua kuwa ni walewale. BRO SUBIRI VITI MAALUM KAMA NA WEWE NI MWANAMKE