Episode ya Unga: Msanii Diamond apokonywa Passport, Masanja Mkandamizaji ndani

Wasanii wanaochunguzwa ni watatu + WEMA SEPETU ,dada ana kufuru secretary wake anatumia macntosh wakati ceo wa kampuni nayofanya kazi anatumia hp dv7.
Ha ha ha,funny afu heartbreaking!
Dunia ina mambo ndugu yangu.
 

Nasikia mkuu wa kaya anampenda mno Diamond................... kumbe!
 
Bila kumkamata Lukuvi na Kikwete wanacheza sindimba ya kimakonde..
 
Mchungaji masanja mkandamizaji? Kumbe anataka kuanzisha kanisa ili kufichia uovu wake kama mama Rwakatale.

Wamchunguze na huyu alieanzisha kanisa la utajilishaji Askofu Kilontsi Mporogomyi ambae alikuwa mbunge na tunajua kipato chake; lakini juzi katokea na kusema eti alitapeliwa shilingi bilioni moja , je huyu bwana hizo hela alizipata wapi na alitapeliwa vipi? Isije ikawa na yeye yumo kwenye MAPOUDER sasa anataka hilo kanisa iwe njia ya kupitishia!!!
 
Jitahidi kutafuta habari acha udebwedo wa kulishwa kila kitu.....nenda google ukapekue
 
Nasikia mkuu wa kaya anampenda mno Diamond................... kumbe!

Wanaofanya biashara ya madawa ya kulevya mara nyingi wanafanya urafiki na watawala ili wawalinde; siwezi kushangaa kama nikisikia kuwa jamaa wa CLOUDS wanaitwa MADON wamo kwenye hiyo biashara na ndio maana wanamuandalia Kikwete birthday parties ili wawe karibu nae ili awalinde!!!!
 
Masanja si ni mlokole/ameokoka...
sasa hapo ndiyo naanza kuamini hawa watu wanatafuta mara zote sehemu ya kujifichia , muovu yeyote baadaye kimbilio huwa kwa mungu lakini mali haziachi . sasa brake na gingi hachomoki mtu hapo na tetesi huwa kweli sema mahakama ndizo zinaamua
 
Mbona hujauliza kwamba Diamond si ni swalla 5? Usitake kuhalalisha kwa wengine na kuharamisha kwa imani nyingine!!

Duuu!!!.. Mkuu una akili fupi sana. Kwanza hizo habari za Diamond kuwa swala 5 sizijua, and sitaki uweke comment kwenye post yangu kwa kuzungumzia mambo ya dini... Sitaki na sipendi tabia za kipuuzii kama za kwako za kujadili mambo ya dini....
 
sasa hapo ndiyo naanza kuamini hawa watu wanatafuta mara zote sehemu ya kujifichia , muovu yeyote baadaye kimbilio huwa kwa mungu lakini mali haziachi . sasa brake na gingi hachomoki mtu hapo na tetesi huwa kweli sema mahakama ndizo zinaamua

Bado Gwajima...
 
Jf kwa Masanja mnatafuta balaa! Katawatoa kwenye The Comedy ya wiki hii?! Nachakachua, nachakachua, nakubwaga bwaaaaaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…