Salaam, Shalom!!
Kumekuwa na picha zinazotembea mitandaoni Hasa mtandao wa FB ikimuonyesha mtu mwenye mapembe mwenye mkia ana six parks, ambaye ni Rahisi kumhusisha na shetani, pia mwingine anaonekana akiwa amevaa vazi jeupe naye Kwa mara kadhaa amechorwa Kwa mwonekano kama mtu mwana mazoezi, mikono yake Ina matundu na miguu Ina alama za misumari,mwili umejengeka vizuri. Na mtu huyo ni Rahisi kumhusisha na YESU aliyekufa na kufufuka siku ya tatu.
Makufuru yanakuja pale watu Hawa wawili wanapowekwa pamoja wakishindana nguvu wakiwa wameshikana mikono. Kwa kutojua , wengi wamekuwa wakipiga LIKE kwenye picha hizo wakidhani ni sahihi kufanya hivyo.
Yesu ni Mungu, na Mungu tangu kuumbwa Kwa Ulimwengu huu, hakuwahi Kupambana na shetani katika vita.
Hata ulipotokea uasi Mbinguni, Yesu/ Mungu hakupambana na shetani Bali alimtuma Malaika Mkuu Mikael apambane naye Kwa kuwa Shetani Si level ya Mungu.
Shetani ni Malaika muasi, level yake Kupambana naye ni Malaika mwenzie Si MUNGU/ Yesu.
Tangu Leo usomapo onyo hili, usiweke Like yoyote kwenye picha za namna hiyo ,maana aliyezitengeza picha hizo ni shetani kupitia agents wake, Nia ni kuwakosanisha Wana wa Mungu na Mungu wao.
Mungu ni Mungu, kamwe hawezi shindana na shetani Kwa kupimana nguvu!!
Mungu awabariki.
Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
Ikiwa hujampa Yesu maisha Yako fuatisha Sala hii;
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN
Mbarikiwe nyote 🙏
Kumekuwa na picha zinazotembea mitandaoni Hasa mtandao wa FB ikimuonyesha mtu mwenye mapembe mwenye mkia ana six parks, ambaye ni Rahisi kumhusisha na shetani, pia mwingine anaonekana akiwa amevaa vazi jeupe naye Kwa mara kadhaa amechorwa Kwa mwonekano kama mtu mwana mazoezi, mikono yake Ina matundu na miguu Ina alama za misumari,mwili umejengeka vizuri. Na mtu huyo ni Rahisi kumhusisha na YESU aliyekufa na kufufuka siku ya tatu.
Makufuru yanakuja pale watu Hawa wawili wanapowekwa pamoja wakishindana nguvu wakiwa wameshikana mikono. Kwa kutojua , wengi wamekuwa wakipiga LIKE kwenye picha hizo wakidhani ni sahihi kufanya hivyo.
Yesu ni Mungu, na Mungu tangu kuumbwa Kwa Ulimwengu huu, hakuwahi Kupambana na shetani katika vita.
Hata ulipotokea uasi Mbinguni, Yesu/ Mungu hakupambana na shetani Bali alimtuma Malaika Mkuu Mikael apambane naye Kwa kuwa Shetani Si level ya Mungu.
Shetani ni Malaika muasi, level yake Kupambana naye ni Malaika mwenzie Si MUNGU/ Yesu.
Tangu Leo usomapo onyo hili, usiweke Like yoyote kwenye picha za namna hiyo ,maana aliyezitengeza picha hizo ni shetani kupitia agents wake, Nia ni kuwakosanisha Wana wa Mungu na Mungu wao.
Mungu ni Mungu, kamwe hawezi shindana na shetani Kwa kupimana nguvu!!
Mungu awabariki.
Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
Ikiwa hujampa Yesu maisha Yako fuatisha Sala hii;
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN
Mbarikiwe nyote 🙏