Epuka kuvaa / kumvalisha mwanao nguo zenye rangi hizi unaweza kuta unasapoti ushoga bila wewe kujua

Epuka kuvaa / kumvalisha mwanao nguo zenye rangi hizi unaweza kuta unasapoti ushoga bila wewe kujua

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Mapema leo wachezaji wa Norwich city wakati wakicheza mchezo wao wa mwisho, england premier league dhidi ya totenham.

Wamevaa tishert zenye rangi za

instagram_1653242666386.jpg
instagram_1653242666317.jpg
kishoga wakimsapoti mchezaji wa Blackpool fc inayoshiriki ligi ya daraja la tatu huko wingereza aliyejitangaza kuwa ni shoga.

Wapo wengi tu wanavaa nguo zenye rangi hizi ila hawajui kuwa wanausapoti ushoga bila wao kujua.

Usikubali kuvaa huu ushetani hii ni laana.
 
Hapana mkuu ni elimu tu tunatoa, hata wewe unaweza kuvaa pasipo kujua watu wanaozijua hizi rangi wakikuona nazo wanakuchukulia na wewe ni mmoja wao.
Yaani wanakera balaaa Aya tumejua ananufaika na kipi sasa?
 
Mapema leo wachezaji wa Norwich city wakati wakicheza mchezo wao wa mwisho, england premier league dhidi ya totenham.

Wamevaa tishert zenye rangi zaView attachment 2234719View attachment 2234721 kishoga wakimsapoti mchezaji wa Blackpool fc inayoshiriki ligi ya daraja la tatu huko wingereza aliyejitangaza kuwa ni shoga.

Wapo wengi tu wanavaa nguo zenye rangi hizi ila hawajui kuwa wanausapoti ushoga bila wao kujua.

Usikubali kuvaa huu ushetani hii ni laana.
Ukivaa au kuvalisha pasipo kujua hilo sidhan ka ni kosa.!
 
Kimsingi watu wanaotuletea hizi habari mara za rangi sijui Mara nini inaonekana wameshatekwa kiakili na hao jamaa kiasi cha kufuatilia mambo yao yote.
Sasa mtu wa hivi iko siku atajiunga nao tu.
Wemgi wetu wananunua mitumba kwa kuwasitiri tu wala mambo ya rangi hawajui
 
Beberu wabaya Sana RAINBOW. Wanatega!

Light spectrum ROYBGIV hizo ndizo rangi zake.
Rangi nzuri kaamua kuharibu Tu utaratibu!
Waafrika wanavyopenda colorful clothes. Angalia Tu vitenge, sijui kama hatutachafuana!
 
Hapana mkuu ni elimu tu tunatoa, hata wewe unaweza kuvaa pasipo kujua watu wanaozijua hizi rangi wakikuona nazo wanakuchukulia na wewe ni mmoja wao.
Mpaka umejua rangi zao maana yake na wewe ni mdau mkubwa unayefuatilia hayo mambo usituzuge hapa.

Hizo rangi nikimpelekea babu au mdogo wangu kijijini haweI kuhisi chochote na hatojua kinachoendelea.

Sio kijijini tu hata hapa mjini kwa mtu ambaye hafuatilii hizo mambo haweI jua kinachoendelea.

Ila wewe unafuatilia ushoga ndio maana umejua mpaka rangi walizoamua kutumia mkuu.

Wewe kama soo mfuatiliaji wa hizo habari za ushoga usingejua hizo rangi ni akina nani wadau wakubwa.
 
Kimsingi watu wanaotuletea hizi habari mara za rangi sijui Mara nini inaonekana wameshatekwa kiakili na hao jamaa kiasi cha kufuatilia mambo yao yote.
Sasa mtu wa hivi iko siku atajiunga nao tu.
Wemgi wetu wananunua mitumba kwa kuwasitiri tu wala mambo ya rangi hawajui
Unajiungaje na mashoga wakati yale ni maumbile/hisia, shoga anazaliwa akiwa shoga labda unaweza kumbadiri kutoka huko kwa kumpa dawa, au aina flani ya malezi bila hivyo ataendelea kuwa shoga tu, je unaweza kumkataza mwanao asioe au asiolewe??
 
Mapema leo wachezaji wa Norwich city wakati wakicheza mchezo wao wa mwisho, england premier league dhidi ya totenham.

Wamevaa tishert zenye rangi zaView attachment 2234719View attachment 2234721 kishoga wakimsapoti mchezaji wa Blackpool fc inayoshiriki ligi ya daraja la tatu huko wingereza aliyejitangaza kuwa ni shoga.

Wapo wengi tu wanavaa nguo zenye rangi hizi ila hawajui kuwa wanausapoti ushoga bila wao kujua.

Usikubali kuvaa huu ushetani hii ni laana.
Bora yameshuka daraja mapumbavu haya
 
Ushoga ni agenda ya darksiders mpango wa shetani kupitia Black Pope lengo kumaliza kizazi cha wanadamu
 
Back
Top Bottom