Epuka kuwa na circle kubwa ya wanawake

Hii ni kweli kabisa, jaribu kuangalia wanawake ambao walishakuomba pesa awe ni girlfriends or rafiki tu ni wengi kuliko ambao wewe ulishawaomba pesa. Mahusiano na mwanamke ni kupenda kupewa tu huwa hawajui wao kutoa, unaweza mpa pesa na asiseme asante.
Akisema nikopeshe kukulipa itakuwa issue tu, ukidai ndo mwanzo wa kuchukiana na kukasilikiana
 
We jamaa nimekuwa nakifuatilia Sana nyuzi zako unamadini Sana na Kuna watu unawapiga kwenye mshono ndio maana wanakupinga .hongera na usichoke kutusanua
 
Sawa, tengeneza circle kubwa ya wanawake
 
Huyu Mshangazi ndio ile mishangazi iliyochokaaaaaa imeungua na cream kwa kutumia mikorogo ya 500 ya manzese, ngozi rangi 2 kama tetracycline au amoxyline, yale yana pika chapat uswahili
Mkuu mimi na wewe tunaheshimiana sana nilitaka nikutukane kwa leo tu
Yaani hukuona vitu vingine vya kutaja mpaka ukataja chapati??
Ungetaja hata utumbo wa kuku ambao majority hatuli zaidi ya hao hao akina mwajuma ndala ndefu..
Chapati wahuni karibia wote tunazinunua sana kwaajili ya maharage na supu man umesababisha nikataka kutapika yaani ulivyoiasociate na hao watu.
 
Hii ni kweli Mungu anisaidie niondokane nayo
kwa nguvu zangu siwezi jaman shida mipododo na mimi ndo maradhi yangu
Na hiyo mipododo ina chemba maalum ambapo ukifichwa humo ukiulizwa kwenu wapi kama ni Makambako utajibu kibororoni
Endelea kufuatilia mipododo uone kama kuna jipya utavuna zadi ya kuwekewa mpira wa mikojo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…