Erasto Mfugale: Kilichotokea kazini sisi hatujui

Death is just death,one way or the other all we gonner die one day,
Let's not make a big deal out of it,watu wanakula risasi moja wanakufa,Tundu lisu alikula 19,na Bado yupo ,kesho unaweza kusikia amekufa usingizini.
 
Mungu kazi yake ni kufanya wengine vichekesho na kutoa adhabu tu? Hapo hapo mnasema Mungu ni mwenye huruma na mwenye nguvu zote. Kazi sana kumuelewa Mungu wenu.

Ukifikiria zaidi ni kama vile ni kazi kubwa zaidi kumwelewa Binaadam mwenyewe na concept yake nzima kuhusu Mungu, pengine hata huyu “Mungu” hausiki kabisa?!?
 
Mungu kazi yake ni kufanya wengine vichekesho na kutoa adhabu tu? Hapo hapo mnasema Mungu ni mwenye huruma na mwenye nguvu zote. Kazi sana kumuelewa Mungu wenu.

Mungu huwezi kumuelewa isipokuwa utumie kumuamini na kumuabudu kwa Roho na Kweli. Na ataendelea kufanya hivyo mpaka muelewe kuwa ile kauli yenu ya tunaenda na dunia ni ukengemfu mkubwa. Narudia, Kutoka kumtegemea Mungu wa Mbinguni mpaka kwenda na dunia inavyo enda ni ukengemfu mkubwa.
 
KIFO HAKIKOSI SABABU.


 
Waanze na mamako kwanza. Usilete utani kwenye uhai wa mtu mbwa wewe
Kwani wewe unamfahamu huyo aliyetajwa ni nani? Mbona umekuwa mkali?

NB. Uhai wa mtu ni kitu cha thamani sana, sifurahii mtu kutolewa uhai wake kwa na namna yoyote ile.
 
Je, ajenda za kikao zaweza sababisha? Tuanzie hapo, pia tuangalie na ripoti ya kamati ya bot, kwa kuwa zimekaribiana na kuwasilishwa kwake na dokezo la tanroad na TPA kuwa na ukakasi, tusiende mbali tuanzie hapo!
 
Sina mengi ya kueleza ila kwa ufupi nazungumzia kifo cha kimiujiza cha bwana Mfugale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…