Erdogan ahimiza umoja wa waislamu duniani kupambana na Israel.

Erdogan ahimiza umoja wa waislamu duniani kupambana na Israel.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kwa mara nyengine tena raisi wa Uturuki ,Tayyib Erdogan amekuja na pendekezo la kupambana na Israel ili kuwatetea wapalestina na kujikinga na hatari za kujitanua kwa Israel kwenye maeneo ya waislamu.
Pendekezo hilo amelitoa hapo juzi kwenye hafla ya shule moja ya kiislamu nje kidogo ya jiji la Ankara.
Ili kuonesha kwamba nchi yake iko mbele kwenye juhudi hizo,raisi huyo amesema hivi karibuni alimkaribisha raisi Elsisi wa Misri kwa madhumuni ya kuleta umoja baina ya nchi za kiislamu.Karibuni hivi atamkaribisha raisi Bashar Al Assad wa Syria ili kurudisha ushirikiano kati ya mataifa yao ambao ulidorora kimakosa miaka kadhaa iliyopita.
Mara baada ya tamko hilo waziri wa mambo ya nje wa Israel amekemea mpango huo na kusema watafanya uchunguzi juu ya raia wa Uturuki mwenye uraia pia wa kimarekani kuuliwa na askari wa Israel eneo la ukingo wa magharibi.
Syria ni moja ya mataifa yanayoizunguka Israel ambayo imekuwa ikidai maeneo yake yanayoshikiliwa na Israel.Vile vile nchi hiyo imekuwa ikipigwa na Israel kama inavyotaka kama sehemu ya kufanyia majaribio silaha zake na kwa ajili ya kuidhoofisha nchi hiyo kijeshi.
Kwa upande wa Uturuki ni moja ya mataifa yenye teknolojia kubwa za kijeshi duniani ambalo hapo zamani Uislamu uliwahi kuwa na makao yake makuu eneo hilo enzi za utawala wa Ottoman uliodumu karne kadhaa.

Turkey's Erdogan calls for Islamic alliance against Israel

 
Anatangaza aina gamize Israel halafu anaitangazia dunia! Kwa hiyo akipigwa ambaye siyo mwislamu kwake ni kawaida? Ilitakiwa aseme wapenda haki wote tuungane ili Palestinians ipate haki yake. Anaongea hayo kisiasa ili apendwe na wananchi
 
Kwa mara nyengine tena raisi wa Uturuki ,Tayyib Erdogan amekuja na pendekezo la kupambana na Israel ili kuwatetea wapalestina na kujikinga na hatari za kujitanua kwa Israel kwenye maeneo ya waislamu.
Pendekezo hilo amelitoa hapo juzi kwenye hafla ya shule moja ya kiislamu nje kidogo ya jiji la Ankara.
Ili kuonesha kwamba nchi yake iko mbele kwenye juhudi hizo,raisi huyo amesema hivi karibuni alimkaribisha raisi Elsisi wa Misri kwa madhumuni ya kuleta umoja baina ya nchi za kiislamu.Karibuni hivi atamkaribisha raisi Bashar Al Assad wa Syria ili kurudisha ushirikiano kati ya mataifa yao ambao ulidorora kimakosa miaka kadhaa iliyopita.
Mara baada ya tamko hilo waziri wa mambo ya nje wa Israel amekemea mpango huo na kusema watafanya uchunguzi juu ya raia wa Uturuki mwenye uraia pia wa kimarekani kuuliwa na askari wa Israel eneo la ukingo wa magharibi.
Syria ni moja ya mataifa yanayoizunguka Israel ambayo imekuwa ikidai maeneo yake yanayoshikiliwa na Israel.Vile vile nchi hiyo imekuwa ikipigwa na Israel kama inavyotaka kama sehemu ya kufanyia majaribio silaha zake na kwa ajili ya kuidhoofisha nchi hiyo kijeshi.
Kwa upande wa Uturuki ni moja ya mataifa yenye teknolojia kubwa za kijeshi duniani ambalo hapo zamani Uislamu uliwahi kuwa na makao yake makuu eneo hilo enzi za utawala wa Ottoman uliodumu karne kadhaa.

Turkey's Erdogan calls for Islamic alliance against Israel

If not keen, he's a liable target from now onwards
 
Akawapatanishe kwanza Sudan..
And aache kuua wakurdi

Hypocrisy of Muslims watakaa kimya bila kumlaani Erdoğan and siku atokee mtu aseme Christianity and Jews, Buddha,na non muslims wote waungane kuwamaliza waislam sababu Quran imeasema non muslims popote wauliwe au walipe kadi kwa waislam..

Am sure waislam wote watamlaani huyo mtu...

And Anayoongea Erdoğan ndio maneno yanayozungumzwa misikitini kila siku
 
Kwa mara nyengine tena raisi wa Uturuki ,Tayyib Erdogan amekuja na pendekezo la kupambana na Israel ili kuwatetea wapalestina na kujikinga na hatari za kujitanua kwa Israel kwenye maeneo ya waislamu.
Pendekezo hilo amelitoa hapo juzi kwenye hafla ya shule moja ya kiislamu nje kidogo ya jiji la Ankara.
Ili kuonesha kwamba nchi yake iko mbele kwenye juhudi hizo,raisi huyo amesema hivi karibuni alimkaribisha raisi Elsisi wa Misri kwa madhumuni ya kuleta umoja baina ya nchi za kiislamu.Karibuni hivi atamkaribisha raisi Bashar Al Assad wa Syria ili kurudisha ushirikiano kati ya mataifa yao ambao ulidorora kimakosa miaka kadhaa iliyopita.
Mara baada ya tamko hilo waziri wa mambo ya nje wa Israel amekemea mpango huo na kusema watafanya uchunguzi juu ya raia wa Uturuki mwenye uraia pia wa kimarekani kuuliwa na askari wa Israel eneo la ukingo wa magharibi.
Syria ni moja ya mataifa yanayoizunguka Israel ambayo imekuwa ikidai maeneo yake yanayoshikiliwa na Israel.Vile vile nchi hiyo imekuwa ikipigwa na Israel kama inavyotaka kama sehemu ya kufanyia majaribio silaha zake na kwa ajili ya kuidhoofisha nchi hiyo kijeshi.
Kwa upande wa Uturuki ni moja ya mataifa yenye teknolojia kubwa za kijeshi duniani ambalo hapo zamani Uislamu uliwahi kuwa na makao yake makuu eneo hilo enzi za utawala wa Ottoman uliodumu karne kadhaa.

Turkey's Erdogan calls for Islamic alliance against Israel

Huyu Erdogan hajulikani kama upepo mara unaenda kulia mara kushota mara juu mara chini.
 
Uturuki anaiuzia Silaha na Kuisaidia Ukraine dhidi ya Urusi.

Iran anaiuzia na Kuisaidia Urusi Silaha dhidi ya Ukraine.

Uturuki anasaidia makundi ya hasimu Libya.

🤣 Huo umoja utakuwaje
 
Uturuki anaiuzia Silaha na Kuisaidia Ukraine dhidi ya Urusi.

Iran anaiuzia na Kuisaidia Urusi Silaha dhidi ya Ukraine.

Uturuki anasaidia makundi ya hasimu Libya.

🤣 Huo umoja utakuwaje
Urusi na Ukraine hazihesabiwi kama nchi za kiislamu ijapokuwa kuna waislamu wengi.
Na Libya upande anaosaidia ni ule anaoona una vijana wanaounga mkono upande wenye maslahi na Uislamu.
 
Ukiona kwenye biblia imeandikwa, "Waraka wa Mtume Paulo kwa Wagalatia au Waefeso", ndiyo hawa watu wa Uturuki. Ndiyo hawa, mtume Paulo anawauliza, "ni nani amewaroga?"
Habari za kuandikwa kwenye biblia hazina athari sana na matukio yanayofuatia.
 
Back
Top Bottom