Erdogan ahimiza umoja wa waislamu duniani kupambana na Israel.

The statement from the Turkish president has no any consequence.
 

View: https://x.com/EliAfriatISR/status/1833044447719788979
 
Anatangaza aina gamize Israel halafu anaitangazia dunia! Kwa hiyo akipigwa ambaye siyo mwislamu kwake ni kawaida? Ilitakiwa aseme wapenda haki wote tuungane ili Palestinians ipate haki yake. Anaongea hayo kisiasa ili apendwe na wananchi
Kwa kauli yake huko Sudan wauane tu kwa kuwa ni islam kwa islam siyo. Hivyo Edo
 
Mawazo ya kisslamu huwa yanashangaza sana. Dini yao imeleta upofu ktk kufikiri kwao.
 
Hiki kibabu kinafiki kimeua sana wakurdi sasahivi kinatafuta haki ya wapalestina
 
Ona hii picture iliyokutwa ktk mahandaki ya Mahamas huko Gaza ambapo watoto wao wamepiga picture na background ya majengo pacha yaliyopigwa na magaidi wa kiislam huko Marekani 9/11

View: https://x.com/yoavgallant/status/1833914229117657201
Achana na propaganda za kitoto za Israel.
Yaani uuwe watoto maelfu ambao ni asilimia 80 ya 41000 halafu uoneshe picha ya watu wanaopiga picha za tukio la kihistoria lenye utata.
Picha moja na matukio ya maangamizi havifanani kabisa.
 
Achana na propaganda za kitoto za Israel.
Yaani uuwe watoto maelfu ambao ni asilimia 80 ya 41000 halafu uoneshe picha ya watu wanaopiga picha za tukio la kihistoria lenye utata.
Picha moja na matukio ya maangamizi havifanani kabisa.
Sikushangai kwa sababu yule anayewapa maelekezo kwenye kitabu chenu, biblia inamtambua kama shetan
 
Sikushangai kwa sababu yule anayewapa maelekezo kwenye kitabu chenu, biblia inamtambua kama shetan
View attachment 3094541
Allah subhanahu wa taaka huwa hafanani na kiumbe chake chochote kile.
Hicho kinyago hata chenyewe hakijielewi nani aliyekichonga,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…