PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
AiseeWamarekani wamesababisha tetemeko ili Erdogan atoke na wameshindwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeWamarekani wamesababisha tetemeko ili Erdogan atoke na wameshindwa
Google...Weather tempering technology...Aisee
Naifahamu vizuri sana Geoengineering, ninachojiuliza ni kama inatumika kutengeneza matetemeko ya ardhiGoogle...Weather tempering technology...
Most likelyNaifahamu vizuri sana Geoengineering, ninachojiuliza ni kama inatumika kutengeneza matetemeko ya ardhi
Wakati mwengine unaweza ukaona ushenzi unaofanyiwa na mashemegi na majirani lakini kama ukiwa mwanamume wa kisawasawa basi humuachi mkeo na kuingia gharama za kutafuta mwengine ukaongeza uwezekano wa kupata ugonjwa wa moyo.Unachofanya unadowea umtie mkononi mmoja halafu umtie adabu tosha bila kupeleka kesi polisi.Unafanya hivyo hivyo mpaka habari zako zinawafikia wote na mkeo anajuwa.Edorgan anaangalia maslahi ya Taifa lake! Yuko pande zote hata Russia inajua.
Muda wote amekuwa na uhusiano na Russia huku akiisaidia Ukraine ili kukwepa vikwazo vya uchumi kutoka kwa US na washirika wake!
So huwezi kujua wamempa onyo gani! Lakini hata Edorgan akiiunga mkono Ukraine juu ya NATO membership haiwezi kuizuia Russia kujilinda kijeshi.
Vipi akiwa ni Myahudi?Hiyo ndiyo inayoitwa diplomasia ya uchumi. Unaangalia maslahi ya nchi KWANZA. Sisi huku tunaangalia mwekezaji ni muarabu,myahudi au mzungu....
Akiwa Mwarabu Wakristo watapinga!
Vipi akiwa ni Myahudi?
[emoji28]Hawa ni wagalatia (Ottoman) hata kwenye bibilia walikuwa vigeu geu mpaka leo
Vipi akiwa ni Myahudi?
Jibu hiloTutaambiwa katoka taifa teule [emoji3][emoji3]..
Hata hivo waislam hawana hizo tabia za kuleta udini kwenye mambo ya kitaifa tofauti na wenzetu,,
Duh!.... kweli Marekani wana uwezo mkubwa kiasi hicho ?....Uturuki anacheza both sides Kwa maslahi yake...wala sio unafiki....
Hao NATO waliizuia Uturuki kuingia European Union kisa ni dini tu...
Wakati wako nao NATO...
Wamarekani wamesababisha tetemeko ili Erdogan atoke na wameshindwa
CIA walikiri kwenye Congress Wana weather tampering technology... nahisi hata wachina wanayo...Duh!.... kweli Marekani wana uwezo mkubwa kiasi hicho ?....
Ndiyo hatuwataki kabisa EU.Waislam halafu wanazaana kama popo.Halafu wote watahamia Ujerumani na in 50 yrs Ulaya itakuwa waislamu tupu.Uturuki anacheza both sides Kwa maslahi yake...wala sio unafiki....
Hao NATO waliizuia Uturuki kuingia European Union kisa ni dini tu...
Wakati wako nao NATO...
Wamarekani wamesababisha tetemeko ili Erdogan atoke na wameshindwa
Sababu kumuacha Turkey aki hang ni hasara kwa NATO na USA maana ndio atakuwa mshirika kinda kinda wa Russia, so ni Mara mia a practice undimilakuwili wake akiwa ndani ya NATO kuliko akiwa upande wa Russia mazima.Sasa kwa nini NATO wameipa uanachama Uturuki kama tatizo ni dini?