Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Yaani ndugu yangu,huyo jamaa ni kilaza kweli.ACHA UONGO WEWE ALAAA!
ULAYA NZIMA UISLAM HAUZIDI 25% SASA HIYO 2050 HAO 75% AMBAO SIYO WAISLAM ITAWAWEKA WAPI??
HALAFU UNAJIITA DR??
HOVYOOOOOO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ndugu yangu,huyo jamaa ni kilaza kweli.ACHA UONGO WEWE ALAAA!
ULAYA NZIMA UISLAM HAUZIDI 25% SASA HIYO 2050 HAO 75% AMBAO SIYO WAISLAM ITAWAWEKA WAPI??
HALAFU UNAJIITA DR??
HOVYOOOOOO
Yaani ndugu yangu,huyo jamaa ni kilaza kweli.
Hehehe,unaota shekhe.Samia nimtukane wa nini sasa?Mimi ninaongea mara moja then ninaendelea na mishe zangu za kujenga Taifa Tanganyika. Huyo nitamsema akibugi tena.Umekasirika kweli... wachezaji Saba Tu wamekuuma...hebu nenda katoe pongezi kule Kwa Kardinali mpya...ukimaliza uanzishe thread ya kumtukana Samia 🤣
Utapata nafuu I am sure
Ana udini kuliko wewe?.Yaani lijinga hili.NATO na EU wapi na wapi?Kwenye NATO kuna US,Canada ambao hata hawapo bara la Ulaya. Mzee hajui NATO kwa nini ilianzishwa,na nini?Hivi atajua USSR kweli?Halafu ana udini jamaa.
Waarabu wa Pemba,tunajuana kwa Vilembaaaaaaa.Ana udini kuliko wewe?.
Mara Simiyu na MwanzaKanda ya ziwa gani hiyo mkuu ambayo ina wasabato wengi?
Kwa dunia ya leo nadhani wako sahihi, wanaweka mbele maslahi ya taifa lao✌🏿 Hilo ni jambo zuri na muhimu zaidi.Mimi naiheshimu sana nchi ya Uturuki ambako nimekaa kidogo na kuwa ni taifa lenye historia muhimu kwetu waislamu.Zaidi ya hivyo ni nchi yenye kujali sana kuwaendeleza watu wake.Hata ukisikia uchumi umeyumba usidhani ni kama kuyumba kwa uchumi wa nchi zetu za kiafrika. Ukisikia hivyo basi ukiwa Uturuki unaweza ukala na kushiba bure kila siku ikabaki kuoga na kulala tu.
Pamoja na hayo kuingia kwa raisi wa chama cha mrengo wa kiislamu Erdogan kumebadili sana sera zilizokuwa na uhasama mkubwa na imani halisi ya kihistoria ya watu wake ambayo ni uislamu,Lakini raisi huyu amekuwa ni mtu asiyetabirika kabisa hasa katika mahusiano yake na nchi za nje.
Wakati alipouliwa Jamal Kashogi aliyekuwa mchumba wa raia wake wa kituruki na Uturuki kuwa na video za mauwaaji hayo tulidhani Uturuki isingerudisha uhusiano na Saudi Arabia mpaka hukumu ya tukio hiyo itolewe.
Yako mengi lakini kubwa kwa sasa ni huu uhusiano na Urusi na Ukraine. Mara nyingi inaonekana kama kwamba Uturuki ipo karibu zaidi na Urusi katika vita vinavyoendelea baina yake na Ukraine.Wakati vita vinaendelea mara nyingi Erdogan amekuwa akimualika raisi Putin kwa mazungumzo.
Wakati akifanya hivyo Uturuki ndiyo nchi iliyoiuzia Ukraine droni hatari za Bayaktar na ndizo zilizochangia kuitia hasara kubwa urusi katika msafara wa vifaru vilivyokuwa vikielekea Kyiv mwanzoni huko kwa vita.
Mara ikatiliana saini na Urusi kujenga kitujo kikubwa cha kuuza mafuta ya Urusi ili kuisaidia kukwepa vikwazo vya nchi za magharibi katika biashara hiyo na baadae ikafuatia mkataba wa kuuza ngano za Ukraine ili kuisaidia kiuchumi baada ya bandari zake zote kushikiliwa na Urusi.
Baada ya jeshi la Ukraine kushindwa kwenye mapambano ya Azovstal kule Mariupol na vikosi vyoke kuzingirwa na jeshi la Urusi nchi ya Ukraine ilisalimu amri lakini kwa kutaka kuwaokoa makamanda wake na wanajeshi waliobaki hai wakiwa wamekondeana kwa njaa. Uturuki ilikubali kuwachukua makamanda wake kwa makubaliano na Urusi kwamba watabaki huko milele.
Inashangaza juzi raisi Zelensky amekwenda Uturuki ghafla kuonana na riaisi Erdogana.Tangazo la kigeugeuj lililotolewa wazi katika mkutano huo ni Uturuki kuiunga mkono Ukraine kujiunga na NATO juu ya kwamba hilo ni chanzo kikuu cha vita vinavyoendelea.Kumbe hilo lilikuwa ni dogo.
Kubwa ni kuwa kumbe raisi Zelensky amerudi na makamanda wote waliobaki hai na kupelekwa nchini humo kwa mkataba maalum na Urusi. Hilo limetangazwa wakati Zelensky akiwa amerudi Kyiv na makamanda hao wakiwa wamenenepa na huenda tayari kuongoza tena mapambano na Urusi.
Marekani wamesababisha tetemeko?Uturuki anacheza both sides Kwa maslahi yake...wala sio unafiki....
Hao NATO waliizuia Uturuki kuingia European Union kisa ni dini tu...
Wakati wako nao NATO...
Wamarekani wamesababisha tetemeko ili Erdogan atoke na wameshindwa
We jamaa kumbe akili hunaUturuki anacheza both sides Kwa maslahi yake...wala sio unafiki....
Hao NATO waliizuia Uturuki kuingia European Union kisa ni dini tu...
Wakati wako nao NATO...
Wamarekani wamesababisha tetemeko ili Erdogan atoke na wameshindwa
Huyo mfia dini hatakuelewa na hutamwelewaHata hueleweki unachosema, contradiction tupu
Uturuki ipo kwenye ukanda wa tetemeko na huwa inayapata mara kadhaa, hata Iran ndio iko eneo hatari zaidi kwenye weak joints za earth's crust. Na Japan nayo iko eneo hatari la tectonic plates za baharini. Hivyo Uturuki na Iran kupata matetemeko sio suala la ajabu wala Japan kupata tsunami halitafutiwi mchawi.
Hayo matukio yana mamilioni ya miaka yanatokea. Marekani yenyewe inakumbwa na dhoruba na tufani mara nyingi tu. Mambo ya kusingizia HAARP kwa matukio ya kijiografia ni conspiracy theories, no evidence at all.
Stay madNdiyo hatuwataki kabisa EU.Waislam halafu wanazaana kama popo.Halafu wote watahamia Ujerumani na in 50 yrs Ulaya itakuwa waislamu tupu.
....We jamaa kumbe akili huna
Achana na udini
Marekani wamesababisha tetemeko?
Wabongo bana.
Watawakubali kwa shinikozo la USHiyo ndio hofu yenu, Ila Uturuki ina maendeleo makubwa sana kuliko baadhi ya EU members, sasa uoga wa nini ?
Tena inawasaidia kuzuia immigrants wasifike kwenu ila wao hamuwataki kabisa.
Huwa tunasingizia wakija wataleta ajira wakati mkataba ukiwa mzuri hats wakihiajiri wenyewe bila wazawa bado gavoo itapata ela ndefuSisi hatuwezi kitu. Aje mwarabu, aje mhindi, aje muisraeli ni mikataba ya hovyo na kuibiwa tu.
Huyu jamaa mdini sana hivyo jipangeTupo 2023.Halafu source yako ni google. Mfyuuuu. KYLIAN NI MKRISTO. Halafu hao uliowataja ni kati ya wachezaji 25. Halafu France waislam wapo million 5 tu kati ya population ya watu million 67 France. Chefuuuuuu.
Marekani wamesababisha tetemeko?
Wabongo bana.
...Marekani wamesababisha tetemeko?
Wabongo bana.
Unabishana na wajinga wa madrasaYaani lijinga hili.NATO na EU wapi na wapi?Kwenye NATO kuna US,Canada ambao hata hawapo bara la Ulaya. Mzee hajui NATO kwa nini ilianzishwa,na nini?Hivi atajua USSR kweli?Halafu ana udini jamaa.