Erdogan anaongoza kwa kuwa Rais Ndumilakuwili duniani

Umekasirika kweli... wachezaji Saba Tu wamekuuma...hebu nenda katoe pongezi kule Kwa Kardinali mpya...ukimaliza uanzishe thread ya kumtukana Samia 🤣
Utapata nafuu I am sure
Hehehe,unaota shekhe.Samia nimtukane wa nini sasa?Mimi ninaongea mara moja then ninaendelea na mishe zangu za kujenga Taifa Tanganyika. Huyo nitamsema akibugi tena.
 
Yaani lijinga hili.NATO na EU wapi na wapi?Kwenye NATO kuna US,Canada ambao hata hawapo bara la Ulaya. Mzee hajui NATO kwa nini ilianzishwa,na nini?Hivi atajua USSR kweli?Halafu ana udini jamaa.
Ana udini kuliko wewe?.
 
Kwa dunia ya leo nadhani wako sahihi, wanaweka mbele maslahi ya taifa lao✌🏿 Hilo ni jambo zuri na muhimu zaidi.
 
Uturuki anacheza both sides Kwa maslahi yake...wala sio unafiki....

Hao NATO waliizuia Uturuki kuingia European Union kisa ni dini tu...
Wakati wako nao NATO...

Wamarekani wamesababisha tetemeko ili Erdogan atoke na wameshindwa
Marekani wamesababisha tetemeko?

Wabongo bana.
 
Uturuki anacheza both sides Kwa maslahi yake...wala sio unafiki....

Hao NATO waliizuia Uturuki kuingia European Union kisa ni dini tu...
Wakati wako nao NATO...

Wamarekani wamesababisha tetemeko ili Erdogan atoke na wameshindwa
We jamaa kumbe akili huna
Achana na udini
 


Huwa kuna watu wakiongea tunaamua tu kuwasikiliza wakijiona ni wenye maarifa.
Haina tofauti na obama akihojiwa kwenye na ellen degeneres pamoja na matty presidential expert huyu mtoto akaulizwa kuhusu kuwepo kwa alien akasema wapo na tunafanya nao KAZI.
Hizo ni conspiracy theory ambazo hazina ushahidi wowote wajinga kama hao ndo huja kudanganya watu.
 
Hiyo ndio hofu yenu, Ila Uturuki ina maendeleo makubwa sana kuliko baadhi ya EU members, sasa uoga wa nini ?

Tena inawasaidia kuzuia immigrants wasifike kwenu ila wao hamuwataki kabisa.
Watawakubali kwa shinikozo la US
 
Sisi hatuwezi kitu. Aje mwarabu, aje mhindi, aje muisraeli ni mikataba ya hovyo na kuibiwa tu.
Huwa tunasingizia wakija wataleta ajira wakati mkataba ukiwa mzuri hats wakihiajiri wenyewe bila wazawa bado gavoo itapata ela ndefu
 
Tupo 2023.Halafu source yako ni google. Mfyuuuu. KYLIAN NI MKRISTO. Halafu hao uliowataja ni kati ya wachezaji 25. Halafu France waislam wapo million 5 tu kati ya population ya watu million 67 France. Chefuuuuuu.
Huyu jamaa mdini sana hivyo jipange
 
Yaani lijinga hili.NATO na EU wapi na wapi?Kwenye NATO kuna US,Canada ambao hata hawapo bara la Ulaya. Mzee hajui NATO kwa nini ilianzishwa,na nini?Hivi atajua USSR kweli?Halafu ana udini jamaa.
Unabishana na wajinga wa madrasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…