Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Wamejifunza kutokana na vita za nyuma huko ulaya!!!Mimi nakaa na wazungu najua umoja wao na najua wanavyopenda kuilinda race yao!!!!Usitegemee wazungu wa ulaya wakawapa favour waturuki kuliko wazungu wenzao!!!Kaishi na wazungu popote pale ndio utaelewa hiki nachokisemaWazungu hawana kujuana kuna maslahi , kasome waswedish waliwafanyia nini Wadenmark na wa Norway wakati wa vita vya 2 vya dunia , sio siri hiyo
Mimi naona wote mnajibizana wakati hamjawahi kukaa uturuki au swedeni na issue ya uturuki ni wale wakurdi wa chama cha PKKK waliokimbilia swedeni!!!Na swedeni haiwezi kuwarudisha uturuki maana watauawa!!!!!!Mimi naona mnabishana na jamaa kaingiza udini tenaMbona umenijia mimi hukumwona yule aliyeandika ?? mimi si nimejibu tu ??
Upo sahii uturuki inaweza kujiunga NATO ila EU inakua ngumu kwa sababu ya udini!!!!EU msingi yake ipo katika ukristo kisiasa na kitamaduni japo hawaliweki wazi jambo hilo kakaTurkey Iko easy mkuu, Edorgan anajua hilo na hapo kwake hapaamini sana. Marufuku Turkey kujiunga EU
Sasa kwenye maelezo yangu kuna sehemu nimesema Uturuki wanavaa kobanzi.Uturuki ni nchi ya pili kwa kuchangia wanajeshi NATO baada ya marekani!!!Afu mbona uturuki hakuna mambo ya kuvaa kobazi!!!!!Ni nchi poa sana kila kitu unapata mpaka ganja na kuna club's,kuna brothel,s and business connection,s zipo sana Antiokia city na kuna unique bata za kufa mtu kuliko hata Dubai!!!!Na mademu wa kituruki waelewa sana ukikutana nao!!!Sema Uturuki imeshindwa kujiunga na umoja wa ulaya kwa sababu moja tu nayo ni dini!!!!!Majority ya waturuki ni waislamu na umoja wa ulaya japo hawasemi wazi ila dini ni kigezo kikuu kujiunga!!!!Pamoja na yote Swedeni itajiunga na NATO sababu wazungu wa ulaya waga wanajuana it's matter of time!!!!
Sasa mbona wanauwana huko Ukraine?Wamejifunza kutokana na vita za nyuma huko ulaya!!!Mimi nakaa na wazungu najua umoja wao na najua wanavyopenda kuilinda race yao!!!!Usitegemee wazungu wa ulaya wakawapa favour waturuki kuliko wazungu wenzao!!!Kaishi na wazungu popote pale ndio utaelewa hiki nachokisema
Ndio ujue siasa mchezo mchafu!!!!!Sasa mbona wanauwana huko Ukraine?
Au Urusi na Ukraine sio wazungu?
Sio wewe kaka kuna mdau alikua anaeleweshwa kwa kuwaita waturruki wavaa kobazi!!!!!Wewe kaka upo sahii kabisaSasa kwenye maelezo yangu kuna sehemu nimesema Uturuki wanavaa kobanzi.
Dini zimewatoa akili mpaka mmekuwa wapumbavu hamuwezi kuongea kitu bila kuuhusisha uislam.
Kwa sasa Ulaya hakuna ukristo wa aina yeyote labda ulaya ya kwenye vijiwe vya kahawa.Upo sahii uturuki inaweza kujiunga NATO ila EU inakua ngumu kwa sababu ya udini!!!!EU msingi yake ipo katika ukristo kisiasa na kitamaduni japo hawaliweki wazi jambo hilo kaka
Kaka umekaa ulaya nchi gani twende taratibu???????Na nchi uliyokaa umekaa na wazungu au wahamiaji????Tuulize sisi ambao mpaka tmeoa kwenye familia za kizungu na tumechanganya undugu na wazungu!!!!Au wewe unaisemea ulaya ya Bosnia???????Kwa sasa Ulaya hakuna ukristo wa aina yeyote labda ulaya ya kwenye vijiwe vya kahawa.
Siasa za kimagharibi kwa sasa zimejikita zaidi kueneza sera za kipagani na kuahakikisha dini zina kosa nguvu au ikiwezekana kufa kabisa na ndio maana mambo mengi yaliyo haramishwa na dini wao ndo wanao wanayo yaidhinisha na kutumia nguvu kubwa kuyalinda mfano mmoja wapo unaona ni jinsi gani wanavyo tumia nguvu kuutangaza ushoga ili kionekane ni kitu cha kawaida.
Umoja wa Ulaya una sababu nyingine kabisa kuikataa Uturuki nje ya dini kwa sababu nchi Kama Albania na Kosovo asilimia kubwa ya raia wake ni waislam lakini zimesha piga hatua kubwa sana kuelekea kujiunga na umoja wa Ulaya na uanachama wao unaweza kuidhinishwa miaka 2ijayo.
Sasa Albania na kosovo si waturuki wale kwa asilimia kubwa kaka??????Au hujui historia ya ottoman empire na Balkans states for more than 500yrs!!!!Karibia asilimia 40 ya wakazi wa Albania,kosovo,bosinia &herzogvina wana asili ya uturuki na ni waislamu au hujui kaka????Kwa sasa Ulaya hakuna ukristo wa aina yeyote labda ulaya ya kwenye vijiwe vya kahawa.
Siasa za kimagharibi kwa sasa zimejikita zaidi kueneza sera za kipagani na kuahakikisha dini zina kosa nguvu au ikiwezekana kufa kabisa na ndio maana mambo mengi yaliyo haramishwa na dini wao ndo wanao wanayo yaidhinisha na kutumia nguvu kubwa kuyalinda mfano mmoja wapo unaona ni jinsi gani wanavyo tumia nguvu kuutangaza ushoga ili kionekane ni kitu cha kawaida.
Umoja wa Ulaya una sababu nyingine kabisa kuikataa Uturuki nje ya dini kwa sababu nchi Kama Albania na Kosovo asilimia kubwa ya raia wake ni waislam lakini zimesha piga hatua kubwa sana kuelekea kujiunga na umoja wa Ulaya na uanachama wao unaweza kuidhinishwa miaka 2ijayo.
Watajiunga tu na NATO!!!Kaka sio nisome siasa za swedeni bali nimeishi huko kaka!!!Wanaochoma Quran ni wanasiasa wenye mrengo wa kulia wanaopinga wahamiaji!!!Hakuna tofauti na kesi ya Indonesia pale serikali ya jimbo moja ilipoamua kuchoma dozeni za biblia!!!!Ni masuala ya siasa za ndan alikuambia
Nani alikuambia Mimi sijakaa huko ?Mimi naona wote mnajibizana wakati hamjawahi kukaa uturuki au swedeni na issue ya uturuki ni wale wakurdi wa chama cha PKKK waliokimbilia swedeni!!!Na swedeni haiwezi kuwarudisha uturuki maana watauawa!!!!!!Mimi naona mnabishana na jamaa kaingiza udini tena
Mimi nimekaa na wazungu miaka 35 na nimesoma nchi Za Ulaya na kufanya kazi nao naelewa kiasi Pia nchi Za mashariki nimekaa miaka mingi tu.Wamejifunza kutokana na vita za nyuma huko ulaya!!!Mimi nakaa na wazungu najua umoja wao na najua wanavyopenda kuilinda race yao!!!!Usitegemee wazungu wa ulaya wakawapa favour waturuki kuliko wazungu wenzao!!!Kaishi na wazungu popote pale ndio utaelewa hiki nachokisema
Kaka ebu kakae nchi yoyote ya ulaya ndio utajua!!!!!!Nchi za balkani area(Bosinia,Herzgovina,Serbia,Coratia,Albania,Kosovo,Macedonia) zina asilimia kubwa ya wazungu waadhehebu ya orthodox na katoliki na waislamu wapo ila wengi ni mabaki ya Ottoman empire era!!Ni tofauti kabisa na Uturuki ambayo asilimia 99%ni waislamu!!!Kwa sasa Ulaya hakuna ukristo wa aina yeyote labda ulaya ya kwenye vijiwe vya kahawa.
Siasa za kimagharibi kwa sasa zimejikita zaidi kueneza sera za kipagani na kuahakikisha dini zina kosa nguvu au ikiwezekana kufa kabisa na ndio maana mambo mengi yaliyo haramishwa na dini wao ndo wanao wanayo yaidhinisha na kutumia nguvu kubwa kuyalinda mfano mmoja wapo unaona ni jinsi gani wanavyo tumia nguvu kuutangaza ushoga ili kionekane ni kitu cha kawaida.
Umoja wa Ulaya una sababu nyingine kabisa kuikataa Uturuki nje ya dini kwa sababu nchi Kama Albania na Kosovo asilimia kubwa ya raia wake ni waislam lakini zimesha piga hatua kubwa sana kuelekea kujiunga na umoja wa Ulaya na uanachama wao unaweza kuidhinishwa miaka 2ijayo.
Of course ni tofauti , na kila siku wanabadilika, mbona hata Hao nimekaa nao na kufanya kazi nao ?Kaka ebu kakae nchi yoyote ya ulaya ndio utajua!!!!!!Nchi za balkani area(Bosinia,Herzgovina,Serbia,Coratia,Albania,Kosovo,Macedonia) zina asilimia kubwa ya wazungu waadhehebu ya orthodox na katoliki na waislamu wapo ila wengi ni mabaki ya Ottoman empire era!!Ni tofauti kabisa na Uturuki ambayo asilimia 99%ni waislamu!!!
Upo sahii hao wabaguzi hawapendi wakurudi ila sidhani kama suala la kuwarudisha uturuki ni sahii pia!!!Au wewe unaona ni sahii warudishwe Ankara wakafungwe kama Abdalah Ocalan??????Mimi nimekaa na wazungu miaka 35 na nimesoma nchi Za Ulaya na kufanya kazi nao naelewa kiasi Pia nchi Za mashariki nimekaa miaka mingi tu.
Mimi sizungumzii favor wapewe waturuki , nazungumzia maslahi. Hata Hao wakurdi Unafikiri Hao wabaguzi wanawapenda ?
Kuwa Sweden itajiunga karibuniKasoro ipi kaka???
Hapo nakuelewa kaka unajua kutoa maoni kisomi na una uelewa pamoja sanaOf course ni tofauti , na kila siku wanabadilika, mbona hata Hao nimekaa nao na kufanya kazi nao ?
Yeah akiingia raisi mwingine uturuki ataondoa pingamizi sababu tatizo sio swedeni bali tatizo ni wakimbizi wa kikurdi na wanachama wa chama cha PKKK waliokimbilia ukimbizini swedeni KakaKuwa Sweden itajiunga karibuni
Mimi nafikiri inabidi Sweden wakubaliane na uturuki iundwe Tume huru iwachunguze Hao jamaa ikiwa wana makosa walifanya wapelekwe mahakamaniUpo sahii hao wabaguzi hawapendi wakurudi ila sidhani kama suala la kuwarudisha uturuki ni sahii pia!!!Au wewe unaona ni sahii warudishwe Ankara wakafungwe kama Abdalah Ocalan??????
Kaka Mimi huko Ulaya nina watotoHapo nakuelewa kaka unajua kutoa maoni kisomi na una uelewa pamoja sana