Erdogan asema Uturuki inaweza kuzuia ombi la Uswidi la uanachama wa NATO

Erdogan asema Uturuki inaweza kuzuia ombi la Uswidi la uanachama wa NATO

Nani alikuambia Mimi sijakaa huko ?
Ndugu si kila kitu kinaandikwa magazetini, Hao wakurdi unaosema wengi wamejiigiza kwenye vyama vya Sweden na wengine wana vyeo. Pia chama cha mrengo wa kushoto wamesema wao wanataka ipigwe kura ya maoni , watu wachangie kujiunga au la. Hawa wabaguzi waliochoma Qurani ni watu wasio na mwelekeo hawako clear ndio ukaona wmowamo tu . Na wengine ndio Hao wanaochoma Quran.

Tatizo kubwa la Sweden ni kuwa bado wananunua mafuta na gesi pamoja na baadhi ya madini kutoka Urusi. Kuwacha mara moja na huku kuna watu wanafaidika ni kuwatia yonge kinywani. Hili ni tatizo kubwa sana.
Sasa hapo kuna urahisi wa kuingia Nato?
Sio kwamba hawana muelekea bali ni watu wenye kuchukia dini za kigeni especially uislamu kaka!!!!Wanapatikana nchi zote duniani kaka!!!!Au umesahau yule mchezaji aliyejichora tattoo ya yesu yalitomkuta wakati anachezea ligi kuu ya saudi arabia????
 
Kasome tena siasa za Sweden , Kuingia Nato si rahisi kwani upinzani mkubwa uko ndani wa kujiunga na Nato na ndio wakaja hao wanaliochoma Quran kuongeza petroli kwenye moto

mbona rahisi tu, hawa wenzetu wana demokrasia na raia ndio huamua.
ingekuwa raia hawataki kujiunga na nato hiyo serikali isingejaribu kutuma maombi kwani ingeondolewa madarakani. Hata huyo anayechoma quran amesema atachoma kila ijumaa saa nane mchana mbele ya msikiti wao mpaka uturuki iidhinishe sweden kujiunga nato.
 
Kaka umekaa ulaya nchi gani twende taratibu???????Na nchi uliyokaa umekaa na wazungu au wahamiaji????Tuulize sisi ambao mpaka tmeoa kwenye familia za kizungu na tumechanganya undugu na wazungu!!!!Au wewe unaisemea ulaya ya Bosnia???????
Narudia tena kuunganisha siasa na sera za kimagharibi na Ukristo ni kuukosea heshima maana sera zao zote kwa sasa zinapingana kabisa na sheria za ukristo mwenyewe.

Haaa we jamaa kumbe ni bonge la mshamba kwahiyo ww suala la ww kumuoa mzungu ndo linakupa ticket ya kuijua Ulaya kiundani sio?
 
mbona rahisi tu, hawa wenzetu wana demokrasia na raia ndio huamua.
ingekuwa raia hawataki kujiunga na nato hiyo serikali isingejaribu kutuma maombi kwani ingeondolewa madarakani. Hata huyo anayechoma quran amesema atachoma kila ijumaa saa nane mchana mbele ya msikiti wao mpaka uturuki iidhinishe sweden kujiunga nato.
Hapa kuna mambo ya chini kwa chini yanafanyika nyuma ya pazia ,tusubiri tuone ila tu uelewe Kama Triump alivyosema Maslahi kwanza . Mzungu kumtoa tonge kinywani hakubali hata siku moja
 
Sasa Albania na kosovo si waturuki wale kwa asilimia kubwa kaka??????Au hujui historia ya ottoman empire na Balkans states for more than 500yrs!!!!Karibia asilimia 40 ya wakazi wa Albania,kosovo,bosinia &herzogvina wana asili ya uturuki na ni waislamu au hujui kaka????
Sasa unacho pinga ni kipi na unacho kubali ni kipi mkuu?
Ww umesema kuwa Uturuki haiwezi kukubaliwa kujiunga na umoja wa Ulaya kwa sababu ya uislam, na mm nimekupinga kuwa sababu ya Uturuki kukataliwa sio dini na kama ingelikuwa ni dini basi Bosinia, Kosovo,Albania wasingikubaliwa kujiunga na umoja wa Ulaya maana na wao ni waislam.

Alafu kingine raia wa Bosinia , Kosovo,na Albania ni walitawaliwa na Ottoman lakini kiasili ni wazungu na sio waturuki.
 
Narudia tena kuunganisha siasa na sera za kimagharibi na Ukristo ni kuukosea heshima maana sera zao zote kwa sasa zinapingana kabisa na sheria za ukristo mwenyewe.

Haaa we jamaa kumbe ni bonge la mshamba kwahiyo ww suala la ww kumuoa mzungu ndo linakupa ticket ya kuijua Ulaya kiundani sio?
Kaka huwezi kuutenganisha ukristo na siasa za magharibi kama ambavyo huwezi kuutenganisha uislamu na siasa za mashariki ya kati na afrika kaskazini!!Afu ukristo hauna sheria bali una utaratibu na kuna tofauti kubwa kati ya sheria na utaratibu!!!Pia nalijua bara ulaya kiundani sababu nimeoa mzawa wa huko na nimeishi kaka!!!!
 
Narudia tena kuunganisha siasa na sera za kimagharibi na Ukristo ni kuukosea heshima maana sera zao zote kwa sasa zinapingana kabisa na sheria za ukristo mwenyewe.

Haaa we jamaa kumbe ni bonge la mshamba kwahiyo ww suala la ww kumuoa mzungu ndo linakupa ticket ya kuijua Ulaya kiundani sio?

majority ya nchi za magharibi ni wakristo. Ukristo hauna msimamo mkali kama uislam. Mbele ya wengi uislam umecholwa kama dini yenye msimamo mkali,Ikihusishwa na mambo ya kigaidi, ukanda mizaji wa haki za wanawake, n.k kitu ambacho west hawataki. Ukristo licha ya kuharamisha mambo mengi kama uislam lakini kuna uhuru wa mtu kufanya apendavyo bila kuwa "treated harshly". Nchi za magharibi hazipiganii ukristo lakini zinasimamia uhuru wa watu kitu kinachoenda sambamba na ukristo.
 
Kaka huwezi kuutenganisha ukristo na siasa za magharibi kama ambavyo huwezi kuutenganisha uislamu na siasa za mashariki ya kati na afrika kaskazini!!Afu ukristo hauna sheria bali una utaratibu na kuna tofauti kubwa kati ya sheria na utaratibu!!!Pia nalijua bara ulaya kiundani sababu nimeoa mzawa wa huko na nimeishi kaka!!!!
Kwa hiyo siku hizi sheria kumi za mungu zime futwa?
 
Sasa unacho pinga ni kipi na unacho kubali ni kipi mkuu?
Ww umesema kuwa Uturuki haiwezi kukubaliwa kujiunga na umoja wa Ulaya kwa sababu ya uislam, na mm nimekupinga kuwa sababu ya Uturuki kukataliwa sio dini na kama ingelikuwa ni dini basi Bosinia, Kosovo,Albania wasingikubaliwa kujiunga na umoja wa Ulaya maana na wao ni waislam.

Alafu kingine raia wa Bosinia , Kosovo,na Albania ni walitawaliwa na Ottoman lakini kiasili ni wazungu na sio waturuki.
Kaka usisahau sera ya Ottoman empire ya kuhamishia waturuki kwenye maeneo yote waliyokua wanateka bara ulaya!!!Mfano mdogo nikupe Unamkumbuka raisi wa kwanza wa bosinia huru na unamkumbuka kiongozi wa kwanza wa albania huru aliyejiuzuru kwa kashifa ya uhalifu wa kivita asili zao zilivyo???Angalia bosinia kosovo na albania kuna idadi ngapi ya waislamu na kuna idadi ngapi ya wakristo ndio utaelewa!!
 
Sasa unacho pinga ni kipi na unacho kubali ni kipi mkuu?
Ww umesema kuwa Uturuki haiwezi kukubaliwa kujiunga na umoja wa Ulaya kwa sababu ya uislam, na mm nimekupinga kuwa sababu ya Uturuki kukataliwa sio dini na kama ingelikuwa ni dini basi Bosinia, Kosovo,Albania wasingikubaliwa kujiunga na umoja wa Ulaya maana na wao ni waislam.

Alafu kingine raia wa Bosinia , Kosovo,na Albania ni walitawaliwa na Ottoman lakini kiasili ni wazungu na sio waturuki.
Nchi za bosnia serbia coratia albania kosovo na herzigovina kiasili ni nchi za wazungu kabla majeshi ya ottoman empire hayajateka hayo maeneo na kuyamiliki miaka zaidi ya 500!!!Na maelfu ya waturuki chini ya ottoman empire kuhamia huko kwa mamia ya miaka mfano mzuri Bosnia hasa mji mkuu sarajevo!!!!Nchi zote hizo karibia asilimia 40 ya wakazi wake ni asili ya uturuki na ni waislamu!!!!Lakini pia kuna jamii chache za wazungu ambao pia waliadapt islamu religion during ottoman empire rule!!!
 
majority ya nchi za magharibi ni wakristo. Ukristo hauna msimamo mkali kama uislam. Mbele ya wengi uislam umecholwa kama dini yenye msimamo mkali,Ikihusishwa na mambo ya kigaidi, ukanda mizaji wa haki za wanawake, n.k kitu ambacho west hawataki. Ukristo licha ya kuharamisha mambo mengi kama uislam lakini kuna uhuru wa mtu kufanya apendavyo bila kuwa "treated harshly". Nchi za magharibi hazipiganii ukristo lakini zinasimamia uhuru wa watu kitu kinachoenda sambamba na ukristo.
Na watunga sera wengi wa magharibi ni wakrsto!!!Kama ilivyo watunga sera wengi wa mashariki ya kati ni waislamu
 
Kaka usisahau sera ya Ottoman empire ya kuhamishia waturuki kwenye maeneo yote waliyokua wanateka bara ulaya!!!Mfano mdogo nikupe Unamkumbuka raisi wa kwanza wa bosinia huru na unamkumbuka kiongozi wa kwanza wa albania huru aliyejiuzuru kwa kashifa ya uhalifu wa kivita asili zao zilivyo???Angalia bosinia kosovo na albania kuna idadi ngapi ya waislamu na kuna idadi ngapi ya wakristo ndio utaelewa!!
Una jifanya unaijua Ulaya lakini ona ulivyo mweupe kichwani, kwenye nchi hizo 3 ulizo zitaja watu wenye asili ya kituruki hawazidi hata aslimia 1 ya raia wote wa nchi hizo asilimia kubwa ya raia wa nchi hizo ni wazungu kutoka maeneo mbali mbali kutoka Ulaya mashariki sema wao ni waislam kwa sababu ya kutawaliwa na Ottoman.

Kuhusu dini nchi zote tatu ulizo zitaja zina asilimia kubwa ya waislam kuliko dini yeyote kuanzia Albania asilimia 59 ya raia wake ni waislam wakati wakristo wakiwa ni asilimia 17 tu ,Kosovo aslimia 95 ya raia wake ni waislam wakati wakristo ni asilimia 1 tu, labda kwa bosinia ndo kuna uwiano kidogo maana waislam ni aslimia 51wakati wakristo ni aslimia 47.

Mkuu kubali tu kuwa hoja yako ya dini imekosa mashiko.

Ngoja nikuwekee na data kabisa ili uibishie na Wikipedia.
Screenshot_20230131-101923.jpg
Screenshot_20230131-101839.jpg
Screenshot_20230131-101713.jpg
 
Back
Top Bottom