Erdogan asema Uturuki sasa kuingia Israel kuwasaidia Wapalestina

Erdogan asema Uturuki sasa kuingia Israel kuwasaidia Wapalestina

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Rais wa Uturuki ndugu Tayeb Erdogan amesema nchi yake inakusudia kuingia ndani ya Israel kuwasaidia wapalestina wanaouliwa na Israel.

Hayo aliyasema kwenye mji aliozaliwa wa Rize wakari akizungumza na wanachama wa chama chake cha AK chenye kufuata mrengo wa dini ya kiislamu.

Akifafanua kusudio hilo,Erdogan amesema hilo ni jambo jepesi kwa nchi yake yenye teknolojia kubwa za kivita kama ambavyo wamewahi kufanya huko Nagoro Karabakh na Libya ambapo matokeo yalionekana.

Serikali ya umoja wa kitaifa inayoongoza sasa nchini Libya na kutambuliwa na umoja wa mataifa imedumu madarakani baada ya Uturuki kuingilia kati na kuiunga mkono kwa kuilinda dhidi ya wapinzani wake.

Hatua hiyo ya Uturuki japo itakuja katika muda wa kuchelewa lakini ni yenye kuhitajika sana kutokana na dhulma kwa wapalestina na tishio dhidi ya msikiti wa Alaqsa.

Kwa upande mwengine Uturuki ina uwezo huo japo mara nyengine huwa inakuwa na kigeugeu kisichokuwa na sababu kwenye maamuzi yake.

Erdogan says Turkey might enter Israel to help Palestinians

1722230441214.png
 
Kesha jibiwa na kupuuzwa.. kuwa aulizie mtu aliitwa Sadam Hussein aliitishia Israel and aulize ilikuwaje and aliishia wapi huyo Sadam..

And Uholanzi wamesema Uturuki wafukuzwe NOTO ni fanatic Muslim.. Wannable Dictator.

Hill Zee limeanza kuwa na Akili za kizee likae Pembeni kama Biden..

And Ajue hapo alipo ni mali ya Italia.. mji wa Kwanza wa Wakristo.. anapaita Instabul
 
Kesha jibiwa na kupuuzwa.. kuwa aulizie mtu aliitwa Sadam Hussein aliitishia Israel and aulize ilikuwaje and aliishia wapi huyo Sadam..

And Uholanzi wamesema Uturuki wafukuzwe NOTO ni fanatic Muslim.. Wannable Dictator.

Hill Zee limeanza kuwa na Akili za kizee likae Pembeni kama Biden..

And Ajue hapo alipo ni mali ya Italia.. mji wa Kwanza wa Wakristo.. anapaita Instabul
We kila baada ya neno moja unaandika "and" hebu kajifunze lugha kwanza at least uwe unaandika maneno mengi kwa kiingereza
 
Raisi wa Uturuki ndugu Tayeb Erdogan amesema nchi yake inakusudia kuingia ndani ya Israel kuwasaidia wapalestina wanaouliwa na Israel.
Hayo aliyasema kwenye mji aliozaliwa wa Rize wakari akizungumza na wanachama wa chama chake cha AK chenye kufuata mrengo wa dini ya kiislamu.
Akifafanua kusudio hilo,Erdogan amesema hilo ni jambo jepesi kwa nchi yake yenye teknolojia kubwa za kivita kama ambavyo wamewahi kufanya huko Nagoro Karabakh na Libya ambapo matokeo yalionekana.
Serikali ya umoja wa kitaifa inayoongoza sasa nchini Libya na kutambuliwa na umoja wa mataifa imedumu madarakani baada ya Uturuki kuingilia kati na kuiunga mkono kwa kuilinda dhidi ya wapinzani wake.
Hatua hiyo ya Uturuki japo itakuja katika muda wa kuchelewa lakini ni yenye kuhitajika sana kutokana na dhulma kwa wapalestina na tishio dhidi ya msikiti wa Alaqsa.Kwa upande mwengine Uturuki ina uwezo huo japo mara nyengine huwa inakuwa na kigeugeu kisichokuwa na sababu kwenye maamuzi yake.

Erdogan says Turkey might enter Israel to help Palestinians

Unaelewa maana ya might? Matatizo ya kushinda madrasa kuanzia asbhi mpaka usiku.
 
Kesha jibiwa na kupuuzwa.. kuwa aulizie mtu aliitwa Sadam Hussein aliitishia Israel and aulize ilikuwaje and aliishia wapi huyo Sadam..

And Uholanzi wamesema Uturuki wafukuzwe NOTO ni fanatic Muslim.. Wannable Dictator.

Hill Zee limeanza kuwa na Akili za kizee likae Pembeni kama Biden..

And Ajue hapo alipo ni mali ya Italia.. mji wa Kwanza wa Wakristo.. anapaita Instabul
Asa awaulize akina Nani ..we ni mtoto au mtu mzima
 
Raisi wa Uturuki ndugu Tayeb Erdogan amesema nchi yake inakusudia kuingia ndani ya Israel kuwasaidia wapalestina wanaouliwa na Israel.
Hayo aliyasema kwenye mji aliozaliwa wa Rize wakari akizungumza na wanachama wa chama chake cha AK chenye kufuata mrengo wa dini ya kiislamu.
Akifafanua kusudio hilo,Erdogan amesema hilo ni jambo jepesi kwa nchi yake yenye teknolojia kubwa za kivita kama ambavyo wamewahi kufanya huko Nagoro Karabakh na Libya ambapo matokeo yalionekana.
Serikali ya umoja wa kitaifa inayoongoza sasa nchini Libya na kutambuliwa na umoja wa mataifa imedumu madarakani baada ya Uturuki kuingilia kati na kuiunga mkono kwa kuilinda dhidi ya wapinzani wake.
Hatua hiyo ya Uturuki japo itakuja katika muda wa kuchelewa lakini ni yenye kuhitajika sana kutokana na dhulma kwa wapalestina na tishio dhidi ya msikiti wa Alaqsa.Kwa upande mwengine Uturuki ina uwezo huo japo mara nyengine huwa inakuwa na kigeugeu kisichokuwa na sababu kwenye maamuzi yake.

Erdogan says Turkey might enter Israel to help Palestinians

Hawezi kuingia na Kuisaidia Palestina maana NATO haitamruhusu.
NATO ndio inamfunga Uturuki.
Ila Uturuki ni taifa lenye nguvu sana.
 
Raisi wa Uturuki ndugu Tayeb Erdogan amesema nchi yake inakusudia kuingia ndani ya Israel kuwasaidia wapalestina wanaouliwa na Israel.
Hayo aliyasema kwenye mji aliozaliwa wa Rize wakari akizungumza na wanachama wa chama chake cha AK chenye kufuata mrengo wa dini ya kiislamu.
Akifafanua kusudio hilo,Erdogan amesema hilo ni jambo jepesi kwa nchi yake yenye teknolojia kubwa za kivita kama ambavyo wamewahi kufanya huko Nagoro Karabakh na Libya ambapo matokeo yalionekana.
Serikali ya umoja wa kitaifa inayoongoza sasa nchini Libya na kutambuliwa na umoja wa mataifa imedumu madarakani baada ya Uturuki kuingilia kati na kuiunga mkono kwa kuilinda dhidi ya wapinzani wake.
Hatua hiyo ya Uturuki japo itakuja katika muda wa kuchelewa lakini ni yenye kuhitajika sana kutokana na dhulma kwa wapalestina na tishio dhidi ya msikiti wa Alaqsa.Kwa upande mwengine Uturuki ina uwezo huo japo mara nyengine huwa inakuwa na kigeugeu kisichokuwa na sababu kwenye maamuzi yake.

Erdogan says Turkey might enter Israel to help Palestinians

Waisraeli hawawezekani.
Najua anatia mkwara tu ila hawezi kutia maguu.
 
Hawezi kuingia na Kuisaidia Palestina maana NATO haitamruhusu.
NATO ndio inamfunga Uturuki.
Ila Uturuki ni taifa lenye nguvu sana.
Wamesahau hata sgra yetu ile standard uropean imejengww na uturuku.uturuki anazalisha silaha za maana za high tech na fighter jet ..kuilinganisha na sadam ni uenda wazimu
 
Halina Nguvu yoyote kama unavyotama kuaminisha watu.
Lina nguvu na hilo linajulikana au unataka nikupe ushahidi!??
1)Tokea ikiitwa Ottoman Empire 1917 haikuvunjwa Na taifa moja hata Western powers waliungana wengi pamoja na nchi za kiarabu kuvunja himaya ya Ottoman.
2)Vurugu za sasa za vikundi vya kikurdi Turkiye hutumia nguvu ndogo sana kuyakabili kwa idadi ndogo ya askari sio kama Israel anatumia maelfu ya askari na ndege vita kibao kudhibiti Hamas.
3)Vita ya Armenia na Azerbaijan pale Nagorno-Karabakh Armenia ilipewa usaidizi na Russia kwa kupewa 300+ soldiers na vifaa na Turkiye iliisaidia Azerbaijan kwa vifaa na wanajeshi 150+.
Matokeo yake wanajeshi wa Russia zaidi ya 200 walifariki na Armenia ikashindwa vita ya Nagorno Karabakh .
Fuatila matukio sisi hatuongei kwa kuropoka tu bali kwa ithibati.
 
Wamesahau hata sgra yetu ile standard uropean imejengww na uturuku.uturuki anazalisha silaha za maana za high tech na fighter jet ..kuilinganisha na sadam ni uenda wazimu
Hawa wanaichukulia Turkiye taifa poa sana.
Tena asili ya Uturuki wakisema tunaenda vitani basi hawatoki mpaka wahakikishe nini kinapiganiwa.
Reference nzuri ni hii vita ya mwaka jana kati ya Azer na Armenia ya kugombania jimbo la Nagorno.
Armenia ilikua na mkataba wa ushirikiano wa kijeshi na Russia miaka mingi tu,nilidhani Azer atashindwa ile vita baada ya Russia kupeleka jeshi Armenia,ila kilichotokea baad ya Uturuki kupeleka jeshi Azer,ni vifo vya wanajeshi wengi wa Urusi kiasi hadi kikosi kilichobaki kikarudi Moscow.
Wana ndege zao za kivita wanaziita RAAD kazifuatilie mkuu.
Yani kitendo cha Uturuki kuwa NATO ndio kimewafunga kitanzi.
 
Back
Top Bottom