Erdogan asema Uturuki sasa kuingia Israel kuwasaidia Wapalestina

Erdogan asema Uturuki sasa kuingia Israel kuwasaidia Wapalestina

Ujinga ujinga move za akina Arnold schwarzeneger zimeharibu ubongo wako. Nikuuulize kitu? Ivi unajua ukitoka kwenye move katika hali halisi ya vita ukipigwa risasi unakufa. Tofauti na kwenye move kama ukiwa Stelling hata ukipigwa risasi haufi unalijua ilo.
Kama unalijua punguza movies
Mbona unachozungumza hakiendani na maelezo yangu!?
Punguza wenge na usome kwa makini mkuu.
 
WEWE UNA AKILI. HAWA JAMAA WENGINE HAWAJIELEWI. UWEZO MDOGO WA KUFIKIRI.
Vita inahitaji uchumi,Iran pia haina adui mmoja.
Sio kama Iran haina nguvu ila kwasasa haipo katika wakati sahihi wa kuanzisha vita.
Ijenge tu uchumi na kujitahidi kumaliza vikwazo vya uchumi vya kimataifa.
 
Back
Top Bottom