Erdogan asema Uturuki sasa kuingia Israel kuwasaidia Wapalestina

Erdogan asema Uturuki sasa kuingia Israel kuwasaidia Wapalestina

Edogan mnafik kama wanafik wengine wa Mashariki ya kati, wakiwemo Egypt, Saudi Arabia, Jordan, UAE, Qatar, Kuwait, Bahrain na Oman.

Wote wanafik hao, usiwaamini kwa chochote wakachkisema dhidi ya mazayuni.

Mbona Wayemeni, Syria, Iraq na Lebanon hawasemi, wanafanya kweli.
Unaisema vibaya Saudi Arabia astaghafullullah
 
Mbona Wayemeni, Syria, Iraq na Lebanon hawasemi, wanafanya kweli.
Kwasababu ni washia wanafuata mafundisho adhim ya kipenzi chetu cha dhati Imaam.

Nikikumbuka kipenzi chetu cha dhati alivyo uwawa kikatili Karbala kuutetea, kuulinda na kuupigania uislamu ninalia Sana.

Kupitia yeye tumepewa Tawfiq/Tawfeek (the ability and opportunity to succeed) na tuna uhakika wa Jannah na Firdaus.

Allah azidi kumpa kheri za dunia na Akhera. Na pia aendelee kumfanyia wepes na kummiminia Qauli Thabeet za kutosha kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali A.S.
20240810_154442.jpg


adriz Jagina Malaria 2 Adiosamigo
 
Mkuu hizi ni normal confrontations tu ambazo zitalipwa kisasi na maisha kuendelea.
Tegemea majibu makali sana kuliko yale ya makombora 300+.
Hivyo Iran hana sababu ya kuanzisha vita ya moja kwa moja,muacheni jamaa wa watu ajenge uchumi wake uliodumaa.
Hizbollah watalipa kisasi na Hamas.
Maana aliyeuawa ni kiongozi wa Hamas na Hizbollah.
Ila kama wa kuanzisha vita ni Israel kwasababu matatizo ya kushambuliwa na makundi ya wanamgambo chanzo ni Iran.

Ila wacha tusubiri majibu kaka,japo vita sio kitu chepesi cha kukiamua mkuu maana kina gharama zake.
Vipi kulikoni mkuu. Mbona Ayatollah hafanyi maamuzi si ulisema Iran anaweza ingia frontline. Mbona hata makombora hatumi
 
Rais wa Uturuki ndugu Tayeb Erdogan amesema nchi yake inakusudia kuingia ndani ya Israel kuwasaidia wapalestina wanaouliwa na Israel.

Hayo aliyasema kwenye mji aliozaliwa wa Rize wakari akizungumza na wanachama wa chama chake cha AK chenye kufuata mrengo wa dini ya kiislamu.

Akifafanua kusudio hilo,Erdogan amesema hilo ni jambo jepesi kwa nchi yake yenye teknolojia kubwa za kivita kama ambavyo wamewahi kufanya huko Nagoro Karabakh na Libya ambapo matokeo yalionekana.

Serikali ya umoja wa kitaifa inayoongoza sasa nchini Libya na kutambuliwa na umoja wa mataifa imedumu madarakani baada ya Uturuki kuingilia kati na kuiunga mkono kwa kuilinda dhidi ya wapinzani wake.

Hatua hiyo ya Uturuki japo itakuja katika muda wa kuchelewa lakini ni yenye kuhitajika sana kutokana na dhulma kwa wapalestina na tishio dhidi ya msikiti wa Alaqsa.

Kwa upande mwengine Uturuki ina uwezo huo japo mara nyengine huwa inakuwa na kigeugeu kisichokuwa na sababu kwenye maamuzi yake.

Erdogan says Turkey might enter Israel to help Palestinians

Too little,too late.
 
Iran majenerali wake wanauwawa na Israel. Mbona haendi frontline? Kama uwezo anao ataenda lini sasa.
Kuhimili miaka 8 hata Iraq iliweza. Hapo Iran ilitumia US made weapons kama F-14 Tomcats na F-5 Phantom ingawa ilinyimwa spare parts ila ilifanya kuhamisha spares.

Suala la kusaidiwa ni silaha gani ya Marekani ilienda Iraq kama msaada? Haipo.
Wakati Iran wao walikuwa na nchi kama Chinaz Yugoslavia, Bulgaria, North Korea (ambako ndio walitoa missile technology) na wengine. Hata Iraq naye alikuwa na nchi za kumuunga mkono, mbona unaandika as if Iran ilikuwa peke yake.

Alafu kama ni suala la missile power mbona Israel ina nukes. Sasa maelfu ya makombora ya Iran yanamtisha nani wakati ukijifanya kuyatumia unajibiwa na nuclear strike moja utulie.

Kwahiyo Iran itapigana street battles na Israel alafu ishinde? Israel inashinda wars, sio battles. Hapo Gaza nani kamkimbia mwenzie. Nani amevuruga mji wa mwenzie na vita inapiganiwa wapi. Yani Israel wameamuru watu zaidi ya milioni wa Gaza wahame na wametii, wamelipua makazi, wameua zaidi ya watu 39,000 na hapo ni bila kukusudia kama ambavyo Hamas wanadhamiria kabisa kuua. Alafu unasema street battles Israel inakimbia. Kama ingekuwa inakimbia hizo streets zingekuwa hivi?

Unajua drone iliyoiona helicopter ya Raisi iliyodondoka milimani ni ya wapi na ilitumia muda gani. Baada ya Iran kutumia masaa mengi siku nzima bila mafanikio wakaomba msaada Uturuki, ikaja Akinci drone ikatumia 2 and ½ hours ikatumia sensors zake ikaona kwenye ukungu na gizani. Wairan wana drones hazina hata NV likiingia giza au ukungu hamna kitu.

Iran anaonekana sababu analazimisha aonekane, kwamba kisa hujawahi ona silaha za South Korea zinatumika basi hazina uwezo. Uturuki ina silaha bora maradufu kuliko za Iran ila tu haina fujo.

Tofautisha kuwa na fujo na kuwa na nguvu.

Nitajie air defense system yeyete duniani yenye effectiveness percentage kubwa kuliko Iron Dome. Itaje na useme success rate yake niko nasubiri.

Sijaona hata iwe Patriot, S-400, S-300 wala nani. Kama unaijua ilete nami nilete numbers za Iron Dome.

Askari 2,000 ni kitu gani kwenye vita ya taifa. Hiyo si ni infantry brigade moja ya Israel.
Hamas hupokea silaha vilevile, Israel silaha imenunua.

Hao wanajeshi laki tatu walikuwa mobilized in case Waarabu watajiunga iwe total war. Yalikuwa maandalizi maana Iran ilijifanya inataka kuwapanda kichwani. Brigades zinazotumika Gaza hata 10 hazifiki, hao wanajeshi 300,000 walikuwa vitani wapi.

Jinsi ambavyo Israel ilipigana na jeshi la Egypt na Syria yaliyokuwa na wanajeshi mara 2 zaidi ya Israel. Ndivyo ambavyo Iran itakuwa. Wanajeshi 600,000 wa Iran hawapakani na Israel, je:

Watakuja kwa ungo vitani?

Wataenda kwa airlifters, zipi? Kwanza wana paratroopers wangapi Iran na mazoezi hufanyia wapi maana zana hizo hawana.

Wataenda kwa magari, Israel ina air dominance si itawachoma moto kabla hata hawajakanyaga ardhi yake?

Watavuka ardhi wapitie Iraq, itawaruhusu? Ikiwarusu si inakuwa mshirika wa vita na ina haki ya kupigwa. Iraq ikubali kuua nchi yake kisa Iran.

Israel iliteka maeneo ya Lebanon tangu miaka ya 1980s mpaka mwaka 2000 baada ya Barak kushinda uchaguzi na aliahidi kuiondoa Israel Lebanon. Sijajua hiyo occupation ya 2006 ilikuwaje, hata hivyo kama Hezbollah wanajiweza uwanja upo wazi wajaribu. Maana kupigana kwao ni ushujaa na sifa.

India iliipiga Pakistan ikaitenga Bangladesh. Hakuna vita ambayo Pakistan iliishinda India, alafu mkuu hivi kwa akili yako kabisa unaiona India hii ni ya kushindwa na Pakistan???

Yaani ukitazama uchumi, ubora na idadi ya silaha, jeshi, population, budget, teknolojia, landmass. Unaona ni kipi Pakistan inaizidi India?

Taleban walikaliwa na Marekani kwa miaka 20 mpaka pale Trump alipoamua kuondosha majeshi yake. Taliban ilipigwa na coalition iliyokuwa na wanajeshi 5,000 wa Marekani.
Yaani Marekani ilitumia Brigade moja kuipiga Taleban kwa miezi miwili, sasa jeshi linalopigwa na brigade moja ya Marekani ni kitu gani mbele ya Israel?

Tangu mwaka 2001 Marekani wamekaa wee hapo Afghanistan mpaka wakasahau kwanini walienda, siasa zao zikaamua waondoke mwaka 2021.

Madhara gani yalitokea, silaha zipi ziliharibiwa, vifo vingapi mkuu. Israel iliua majenerali watatu, aya sasa Iran ili-achieve nini.

Yaliyopenya yalifanya nini. Hivi unajua F-35 Adir za Israel zina command link inayoweza elekeza SAM site ya ardhini ifanye lock-on kwenye aerial target na kufanya interception? Hiyo ni ndoto kwa Iran.

Israel inaweza shoot ballistic missile kwa kutumia AH-64 Apache na fighter jets. Iran inaweza?

Then baada ya hapo unajua Israel ilifyatua air launched ballistic missile na likapenya anga la Iran, na likaacha missile booster Iraq. Iran inaweza?
Makombora ya Iran yana uzito wa makumi ya tani na yanabebwa na launchers nzito kama semi trucks, sasa Israel ina kombora ambalo hata tani halifiki ila linarushwa na fighter jet linapita Iraq linaingia Iran. Na liko very resistant na jamming, ni dogo na precise. Huogopi?

Iraq kuna Washia na Wasuni almost nusu kwa nusu. Wasuni hawaitaki Iran na wakipata nafasi wataipinga.
Iran ina majimbo yanataka kujitenga, ni kuwapa silaha waanzishe proxy muda huohuo Iran iko busy na Israel.

Israel hawezi pigana miaka vita ya kufa na kupona, ni miezi kadhaa ikizidi. Achana na operation ya Gaza.

Unaisema Israel ambayo inafanya airstrikes nyingi Syria na wana air defense systems wamenunua Russia ila kila muda huwa hawajui nini kimetokea angani kwao. Wairan wenyewe wahanga huwa wanapigwa sana Syria wakiwa wanapeleka shehena ya silaha kwa makundi.

Kwani mkuu Israel haina makombora? Jericho I, Jericho II, Jericho III zote hizo ni ICBM. Nitajie ICBM hata moja ya Iran nasubiri hapa.

Israel ina nuclear warheads, ina submarines na zinaweza kufyatua makombora. Iran haina vyote hivyo.

Iran ina ballistic missiles nyingi ambazo ikifyatua kama mvua inajibiwa na nuke strike. Mjanja nani hapo.

Haphapo kwa Uturuki, kwa kuwa PKK haijaisha basi Uturuki ina jeshi bovu si ndio unamaanisha ambavyo Hamas haijaisha basi Israel mbovu?

Sasa Wakurdi wako Syria, walimsaidia Assad kupigana na ISIS. Alipowalipa fadhira akawafuga na PKK wakaishambulia Uturuki. Basi Uturuki ikaja Kaskazini mwa Syria ikampiga vibaya na silaha zake za Urusi na Wakurdi wake. Si ndipo Urusi ikafanya mkataba na Uturuki kufanya ukaguzi wa pamoja na mapigano yakaisha. Bila hivyo Syria ingepigwa vibaya.
Sasa huoni PKK wakiwa Uturuki wanavaa kiraia, wakija Syria bwana wao anapigwa sembuse wao.

Chukua Hamas wavalishe sare, wape kambi za jeshi watoke kwenye makazi na mahospitalini. Wape mwezi uone kama watakaa frontline. We unadhani kwanini siku zote hudai Israel inauwa wanawake na watoto. Wao Hamas huwa wanakuwa wapi.

Iran ikipigana na Israel hakuna kukaa mafichoni, hakuna kuvaa kanzu ukaficha grenade mfukoni ukategeshea troops wa Israel wakitazama nyuma wakidhani wewe ni raia mwema ndio uwalipue. Unavaa gwanda uonekane ni IRGC au regular forces utuambie jinsi Israel ilivyo mbovu.
mkuu unajua sana mpk gaidi mkuu wa kike humu amestaajabu!
 
Vipi kulikoni mkuu. Mbona Ayatollah hafanyi maamuzi si ulisema Iran anaweza ingia frontline. Mbona hata makombora hatumi
Mkuu hili si tulishalizungumzia!?
Naona unaleta mjadala ambao tumeshaujadili mkuu ilhali majibu tulishapeana.
Kiusahihi ulitakiwa niuliza vipi mbona Iran hajafanya direct strike kuelekea Israel!?
Hapo ningekujibu.
 
Mkuu hili si tulishalizungumzia!?
Naona unaleta mjadala ambao tumeshaujadili mkuu ilhali majibu tulishapeana.
Kiusahihi ulitakiwa niuliza vipi mbona Iran hajafanya direct strike kuelekea Israel!?
Hapo ningekujibu.
Waziri wa Mambo ya Nje kajiuzuru. Anaona ni ujinga Iran kujifanya Wapalestina kuliko Wapalestina wenyewe. Kuna ubishi humo serikalini, wanaojua uhalisia wanajua Iran hana la kufanya lolote dhidi ya Israel. Akijaribu anapewa onyo kali
 
Waziri wa Mambo ya Nje kajiuzuru. Anaona ni ujinga Iran kujifanya Wapalestina kuliko Wapalestina wenyewe. Kuna ubishi humo serikalini, wanaojua uhalisia wanajua Iran hana la kufanya lolote dhidi ya Israel. Akijaribu anapewa onyo kali
Hili tulishalijadili mkuu unless unataka tuendelee kubishana.
Iran ina CRIPPLED ECONOMY hata rais wa sasa aliyeingia alisema Iran uchumi wake hauruhusu vita.
Ila haimaanishi kuwa Iran haiwezi kuifanya kitu Israel,bali inatizama outcomes zitakuwaje.
Kwani zile drone na makombora 300 yaliyorushwa kwenda Israel alirusha nani kama sio Iran!?
Wakati ule aliwezaje na wakati huu ashindwaje!?
Nani anayeifadhili Hizbollah kama sio Iran hao hao!?
Iran inachofanya iji hold back ni vitu viwili tu,kwanza uchumi wake hauruhusu vita kubwa,pili Iran ana maadui wengi sana sio tu huyo Israel hata USA na UK leo kesho wanamsubiri Iran akijichanganya wamchangie kama wanavyomchangia Putin kule Ukraine.
 
Edogan mnafik kama wanafik wengine wa Mashariki ya kati, wakiwemo Egypt, Saudi Arabia, Jordan, UAE, Qatar, Kuwait, Bahrain na Oman.

Wote wanafik hao, usiwaamini kwa chochote wakachkisema dhidi ya mazayuni.

Mbona Wayemeni, Syria, Iraq na Lebanon hawasemi, wanafanya kweli.
Ndio umejua Leo. Mama wa msikiti wa Al Aqsaa
 
Rais wa Uturuki ndugu Tayeb Erdogan amesema nchi yake inakusudia kuingia ndani ya Israel kuwasaidia wapalestina wanaouliwa na Israel.

Hayo aliyasema kwenye mji aliozaliwa wa Rize wakari akizungumza na wanachama wa chama chake cha AK chenye kufuata mrengo wa dini ya kiislamu.

Akifafanua kusudio hilo,Erdogan amesema hilo ni jambo jepesi kwa nchi yake yenye teknolojia kubwa za kivita kama ambavyo wamewahi kufanya huko Nagoro Karabakh na Libya ambapo matokeo yalionekana.

Serikali ya umoja wa kitaifa inayoongoza sasa nchini Libya na kutambuliwa na umoja wa mataifa imedumu madarakani baada ya Uturuki kuingilia kati na kuiunga mkono kwa kuilinda dhidi ya wapinzani wake.

Hatua hiyo ya Uturuki japo itakuja katika muda wa kuchelewa lakini ni yenye kuhitajika sana kutokana na dhulma kwa wapalestina na tishio dhidi ya msikiti wa Alaqsa.

Kwa upande mwengine Uturuki ina uwezo huo japo mara nyengine huwa inakuwa na kigeugeu kisichokuwa na sababu kwenye maamuzi yake.

Erdogan says Turkey might enter Israel to help Palestinians

IRANI WALIAMUAJE MAANA GHAFLA NAO WAMEKUWA KIMYA. NA WALISHAPANDISHA BENDERA NYEKUNDU.
 
Iran level za kwenda front na Israel anazo kwasababu mbili ama tatu;
-Ana medani nzuri kivita,kuhimili vita ya miaka nane na kushinda dhidi ya jeshi la Saddam Hussein linalosaidiwa Na USA sio jambo dogo.
-Iran ana missile power kubwa kushinda hata Israel.
Israel hana uwezo wa kumuondoa Assad pale hata akitaka hana uwezo.
Kama Hizbollah amemshindwa atamuweza Iran!?
Israel imekua ikipigwa katika street battles na Hamas video zimekua zikisambaa mkuu IDF wanakimbia street battle na Hamas.

Hapa katika silaha mkuu hapa patizame vizuri,umeteleza.
Silaha za Iran ziko more offensive,hivi unajua ile Drone ilopenya Tel Aviv pasi na kugunduliwa ni Iranian made!?
Silaha za Iran zimeonesha ubora sehemu nyingi hususan Lebanon,Yemeni na Syria na Russia pia.Iran ina silaha offensive kuliko Israel.Mbaya zaidi Israel airdefense system zake za iron dome zimeonesha udhaifu mkubwa sana mkuu.
Hakuna nchi inayopenda vita ila kama ukiigusa Iran huwezi ukasalimika lazima italipiza kisasi.
Israel unayojaribu kuizungumzia hapa mkuu uvamizi wa Hamas imetumia wanajeshi laki tatu na silaha nyingi kiasi cha kuomba misaada ya silaha USA na wote tunajua na ushahidi tunao kuwa USA ilituma meli vita ikiwa na askari 2000 na silaha za kutosha kwenda Israel.
Sasa tujiulize kama Israel imetumia nguvu hiyo kupigana na Hamas wenye wapiganaji elfu 30 je itatumia nguvu kiasi gani kupigana na jeshi lenye wanajeshi zaidi ya laki 6 kama Iran!?
2006 turejee vita ya Hizbollah na IDF,IDF ilitumia silaha nyingi na makamanda wengi ila wakashindwa kuipoteza bint jubeir mbele ya kundi dogo la Hizbollah.

-Border clash mkuu usizidharau,maana ile haikuwa vita ya mipakani tu bali ni vita ya kugombania eneo zima la KASHMIR mkuu.Ni sawa na vita ya Nagorno-Karabakh,vita ya kugombania eneo sio sawa na kugombania kilometa za mpaka.
-Afghanistan inaongozwa na Taliban mkuu,Taliban ndilo kundi lililovunja USSR mkuu,tena ni kundi ambalo ukilipia silaha lina ari kubwa ya vita kuliko idhaniavyo,mbaya zaidi huwezi kumaliza vita kwa fighter jets peke yake au missiles peke yake,askari wa ardhini lazima wahusike,katika hilo nadhani mkuu ushahidi upo kuwa Israel ground battle ni weupe.

Uliona lile shambulio la Iran dhidi ya Israel la kulipiza kisasi mkuu?
Iran alirusha kwanza drones zilizoihadaa air defense system ya Israel kesha akarusha ballistic missiles na yapo yaliyopenya licha ya kuwa USA na UK Walishiriki kuyadungua.
Sasa tujiulize kama wafadhili wakikaa pembeni hivi Israel atakuwa na uwezo wa kudungua missile power ya Iran!?
Iraq kuna vikundi vingi vya mujahiddin Israel hawezi kuteka eneo hata punje la Iraq.
Hata akiamua kuteka na kupenyeza askari kuja Iran kupigana vita ya ardhini Israel hana medani hiyo ya vita mbele ya Iran ambayo imehimili vita ya miaka nane ikichangiwa na Iraq na USA.
Israel bado sana kupimana ubavu na Iran mkuu.
Iran hii ambayo iliipa mafunzo Houthi kundi dogo lililosumbua Saudi Arabia na USA ndio Iran hii hii iliyoisaidia Hizbollah 2006 kumfukuza Israel pale bint jubeir kwa mapigano sio kwa mkataba au makubaliano.
Na vita ya makombora ni hatari zaidi ya vita vya ndege,na hata vyombo vya usalama vya kimataifa vimethibitisha kuwa silaha za Iran zina uwezo na athari kubwa maana zimetumika sehemu mbali mbali na zimeonesha matokeo chanya.

Kuhusu silaha za UTURUKI sina ujuzi sana kaka,labda niende nikachunguze ndio nitarudi hapa kuelezea.Ila PKK kila leo wanapigwa na kukamatwa hawaisumbui Uturuki kihivyo.
Ujinga ujinga move za akina Arnold schwarzeneger zimeharibu ubongo wako. Nikuuulize kitu? Ivi unajua ukitoka kwenye move katika hali halisi ya vita ukipigwa risasi unakufa. Tofauti na kwenye move kama ukiwa Stelling hata ukipigwa risasi haufi unalijua ilo.
Kama unalijua punguza movies
 
Kiislaam hatuna utumwa wa "shikamoo" tunasema Asalaam Alaikum.

Haina mkubwa kwa mdogo wala mdogo kwa mkubwa, heshima kwa wote.

Kumbuka hilo.
Kwa Mara ya Pili nasema """Shikamoo""""
 
Back
Top Bottom