Eric Mandala akamatwa na kilo 200 za Cocaine

200 Kg!
 
Daktari wa wajinga Tena?
 
Sema kweli Marekani Gram 1 inafika mpaka usd 150
 
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa aisee usipewe utajiri utazikwa mapema sana
Ukiwa tajiri unazikwaje mapema mzeya? Kwanza unakula pisi classic havizna virusi taani full burudani tena wee ukitaka uwe safe kabisa unaenda chukua zile pisi kali zinazocheza porno maana wala wanapima frequently.

Ukiwa na hela unaongeza probability ya kuishi longer bro
 
[emoji23][emoji23] si mchezo
 
Ukiwa na hela sidhani kama kuna jambo haliwezekani hata kama ni kinyume na sheria.
Mkuu Huyo bilionea kashaachiwa ...mtu unaweza kununua jumba Dubai kwa bilioni 3 , unateseka na nini, polisi?
Simu Moja tu Inapigwa na anaachiwa. ..tena inaweza toka Moja kwa Moja kwenye jumba jeupe huko kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…