Eric Mandala akamatwa na kilo 200 za Cocaine

Eric Mandala akamatwa na kilo 200 za Cocaine

DRC ndo makao makuu ya machawa na praise singers. Mcongo kumsifia mtu ili apate chochote ni kama kunywa juice ya baridi saa 8 mchana pale mtaa wa Congo, Kkoo. Wasanii wa DRC waache ujinga wa kutunga nyimbo za kusifu watu kama miungu. Koffi Olomide ana wimbo unaitwa Mike Mosisi ambaye ni kiongozi wa serikali huko Eastern DRC. The late Franco naye ana wimbo wa kumsifu Dikteta Mobutu... wimbo mrefu ila huchoki kusikiliza... ni hit song iliyojaa propaganda.
Hata kipindi kile yanga wanakibunda cha upunda pepe kale aliwaimbiaga
 
Kama hamtojali nigusieni kidogo tafasiri ya maria ya fali ipupa nami nielewe
Tafasiri:

Sasa ni gari
Eric Mandala 'Doktari wa Wajinga' na Maria Piron
Wo-wo-wo-wo......
Maria Piron, mama na Erika, Alvina na Nazeria Mandala
Polisi wa Sirène wakiwa gerezani
Baba mkwe wa Corbillard Epargner, yaani, kwa mfano.
Sitaki kupoteza uzito
Siku ya Larmes
Mapigano ya Beton
Sitaki kupoteza uzito

Marianne ni mtu pekee ambaye ana mzio wa lasser. Huzuni, bahati mbaya (Wanajua kwa urahisi ruhusu kupita) Nitaendesha gari Marianne Mandala ndiye pekee (isipokuwa Kuruhusu kwenda) Huzuni, bahati mbaya (Wanajua kwa urahisi ruhusu kupita) Nitaendesha gari

Dunia ni ya pembetatu. Gari kubwa zaidi duniani
Hata hivyo, ni kutengeneza utatu. Adamu na Hawa. Umuhimu wa uzuri ya Baba wa nyoka
 
FB_IMG_17379758883596767.jpg
 
Kuna sehemu umeona nimeandika euro laki moja?
Chukua Euro million 1.85 fika BOT waambie nataka mawe yale ya dhahabu tupu ambayo haijachakachuliwa kwa pesa hii navuna mawe mangapi? Wakikupa jibu njoo nalo hapa maana wanakuaga na Calculator kabisa pale
 
Chukua Euro million 1.85 fika BOT waambie nataka mawe yale ya dhahabu tupu ambayo haijachakachuliwa kwa pesa hii navuna mawe mangapi? Wakikupa jibu njoo nalo hapa maana wanakuaga na Calculator kabisa pale
OK. Naona haujataka kuelewa nilichomaanisha. Rejea post # 125.
 
Dili la kilo 200 za cocaine ukifuata toka America kusini mpaka USA au nchi zingine zilizoendelea faida yake ni kubwa mno.

Hapo jamaa angefanikisha faida ingekuwa zaidi ya 10 Billion ukitoa expenses nzote.
 
Back
Top Bottom