Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Duh.. Kuuumbeee....🥺🙌🏿Boss, Eric Mandala🕺🏿
View attachment 3214543
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh.. Kuuumbeee....🥺🙌🏿Boss, Eric Mandala🕺🏿
View attachment 3214543
Wanasema we are businessman who try to care our family and do it legit.Haa Haa Drugs Dealer
Wao Wanaona Wanatafuta PesA Kwa Jasho Kumbe Wanawauwa Vijana Kuwauzia Dawa
Ma,~Punda Yanakuwa Na Maisha Fake
Kumbe inacompete na goldSawa mkuu
Ahaaa. Boss kashushwa cheo sasaBoss, Eric Mandala🕺🏿
View attachment 3214543
Hata kipindi kile yanga wanakibunda cha upunda pepe kale aliwaimbiagaDRC ndo makao makuu ya machawa na praise singers. Mcongo kumsifia mtu ili apate chochote ni kama kunywa juice ya baridi saa 8 mchana pale mtaa wa Congo, Kkoo. Wasanii wa DRC waache ujinga wa kutunga nyimbo za kusifu watu kama miungu. Koffi Olomide ana wimbo unaitwa Mike Mosisi ambaye ni kiongozi wa serikali huko Eastern DRC. The late Franco naye ana wimbo wa kumsifu Dikteta Mobutu... wimbo mrefu ila huchoki kusikiliza... ni hit song iliyojaa propaganda.
China ni kiamaNdio hivyo mkuu huyo jamaa anatoka watamtoa mapapa wanaosimamia mchezo ila angedakwa China ndio ingekua kwakheri ya kuonana, Colombia rushwa inatembea km Banana Republic
Soma tena ulichoandika sio laki moja euro ,zingatia milion eurokwani Euro milioni 1.85 ni nyingi kiasi gani hadi watu washangae na kubaki vinywa wazi?
Kama hamtojali nigusieni kidogo tafasiri ya maria ya fali ipupa nami nieleweMimi ndio wimbo wangu bora kwa Fally Ipupa, naupenda mno!
Jefe Erik mandalaEric mamandala
Tafasiri:Kama hamtojali nigusieni kidogo tafasiri ya maria ya fali ipupa nami nielewe
Wa upgrade hicho kitabu Eric Mandala the destroyer
Kuna sehemu umeona nimeandika euro laki moja?Soma tena ulichoandika sio laki moja euro ,zingatia milion euro
0-10Nenda pale BOT waulize kwa pesa hio wanakupa mawe mangapi ya dhahabu tupu, wakikupa jibu njoo hapa utuletee mrejesho
Is Equal to?0-10
Ila mbona zari tajiri 😁Hela halali ni ngumu kutajirika jamani
Chukua Euro million 1.85 fika BOT waambie nataka mawe yale ya dhahabu tupu ambayo haijachakachuliwa kwa pesa hii navuna mawe mangapi? Wakikupa jibu njoo nalo hapa maana wanakuaga na Calculator kabisa paleKuna sehemu umeona nimeandika euro laki moja?
Hakuna tajiri mwenye mali za halali bila kubinya waliopo chini yake kuna mahala anabinya ili yeye aingize zaidi, utakua bado hujafika levels hizoIla mbona zari tajiri 😁
OK. Naona haujataka kuelewa nilichomaanisha. Rejea post # 125.Chukua Euro million 1.85 fika BOT waambie nataka mawe yale ya dhahabu tupu ambayo haijachakachuliwa kwa pesa hii navuna mawe mangapi? Wakikupa jibu njoo nalo hapa maana wanakuaga na Calculator kabisa pale