ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Soma vizuri comment yangu uielewa. Hakuna sehemu nimesema Hush alikuwa muuza dawaHush Puppy hakua muuza Madawa ila alikua kijana mmoja masikini limbukeni wa kinaijeria Tapeli wa kimtandao aliekubuhu aliewaumiza wengi kwa muda mrefu kwa kuwaibia mabilioni ya dollars na kujionyesha mitandaoni,