Soga za mzawa
Senior Member
- Oct 27, 2017
- 159
- 186
Acha nisindikize habari hii na goma la maria pm
MWISHO WA KUNUKUU!
MWISHO WA KUNUKUU!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama tsh ngapi vile?Aiseee! 200 kilos sii mchezo. Angepata mihela ni mwendo wakula wake za watu tuu.
Wacha vijana tujilipue.
Bilioni 16Kilo Moja ya Cocaine inafika milioni 80 mpaka 90 aiseee iplus mara mia mbili 😂😂 uone maajabu
Ame enjoy maisha mpaka jumba dubai kwenye tallest building.Bora alivyo ishi Kwa hapo alipo fika ametaste raha ya kuwa na nguvu.
Na ana mjengo pale dubai...ni mwendo wakuwaweka kwenye private jet warembo wanattua dubai...hapo tayari mlishapiga bonge la orgy nda i ya private jetKabisa 200 kg za coca angepata hiyo hela angenuka mbususu.😊
Hela ya kupiga orgy ndani ya private jet hiyo. Yaani nakodi private jet from dubai to cape town full kudinyana na waremboBilioni Kumi na sita
Bora Madilu yeye aliimba wimbo wa kuwataja, na kuwasifu wanamuziki wenzake wote wa Congo, kama vile Mr Misosi alivyoimba wimbo wa Mr Misosi nitoke vipi.DRC ndo makao makuu ya machawa na praise singers. Mcongo kumsifia mtu ili apate chochote ni kama kunywa juice ya baridi saa 8 mchana pale mtaa wa Congo, Kkoo. Wasanii wa DRC waache ujinga wa kutunga nyimbo za kusifu watu kama miungu. Koffi Olomide ana wimbo unaitwa Mike Mosisi ambaye ni kiongozi wa serikali huko Eastern DRC. The late Franco naye ana wimbo wa kumsifu Dikteta Mobutu... wimbo mrefu ila huchoki kusikiliza... ni hit song iliyojaa propaganda.
Unaujua huu tu?Boss, Eric Mandala🕺🏿
View attachment 3214543
Alisha jiaamini,baada ya kuwatia baadhi ya watumishi mfukoni! Kumbe wapiga kazi wapo wanamla lada!!Kwanini aendeshe mwenyewe gari na ni Don, angetuma vijana tu!!
Yes watakuambia kijana tafuta pesa, umesikia tafuta pesa broMarole model wa vijana wetu huko social networks.
Kilo mia mbili kaogopa kuamini mtu, huyo hajafikia levo za kina el chapoKwanini aendeshe mwenyewe gari na ni Don, angetuma vijana tu!!
Wanamuziki wa DRC wana upumbavu sana. Wale jamaa waliokuwa wanazuia matamasha yao Ulaya walikuwa na hoja.Bora Madilu yeye aliimba wimbo wa kuwataja, na kuwasifu wanamuziki wenzake wote wa Congo, kama vile Mr Misosi alivyoimba wimbo wa Mr Misosi nitoke vipi.
Huenda Fally na yeye anafungu lake kweny hiyo biashara, au alishikishwa amsifu mke wa mwanaume mwenzake.
Hilo wasema weweUnaujua huu tu?