ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Wenye hela hawatmbi hovyo. TuulizeniKabisa 200 kg za coca angepata hiyo hela angenuka mbususu.😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye hela hawatmbi hovyo. TuulizeniKabisa 200 kg za coca angepata hiyo hela angenuka mbususu.😊
😂🤣 the one and onlyBoss, Eric Mandala🕺🏿
View attachment 3214543
Mkuu tupia huo wa Franco nami nipate kuikumbuka zamani yangu.DRC ndo makao makuu ya machawa na praise singers. Mcongo kumsifia mtu ili apate chochote ni kama kunywa juice ya baridi saa 8 mchana pale mtaa wa Congo, Kkoo. Wasanii wa DRC waache ujinga wa kutunga nyimbo za kusifu watu kama miungu. Koffi Olomide ana wimbo unaitwa Mike Mosisi ambaye ni kiongozi wa serikali huko Eastern DRC. The late Franco naye ana wimbo wa kumsifu Dikteta Mobutu... wimbo mrefu ila huchoki kusikiliza... ni hit song iliyojaa propaganda.
kwani Euro milioni 1.85 ni nyingi kiasi gani hadi watu washangae na kubaki vinywa wazi?Zaidi ya hayo, mwaka 2020, Eric Mandala alijivunia kununua nyumba ya kifahari katika jengo refu zaidi duniani, Burj Khalifa, jijini Dubai, kwa kiasi cha Euro milioni 1.85 cash, jambo ambalo lilishangaza wengi na kuacha vinywa wazi.
Aah wee bado hata robo yake wale sio watu ni mizimu ile .. el chapo, patron pablo na n.kKilo mia mbili kaogopa kuamini mtu, huyo hajafikia levo za kina el chapo
Mambo vipi Best, ngoja kwanza tuone,hii ingekua Kinshasa ningesema kituSasa itakuwaje jamani na ninavyoupenda wimbo wa Maria PM? Ila anampenda mkewe namuonea hurumaaaa!
Tresor Mandala huyu sio ndugu yako? Poleni ba mutu ya fasi ya Kongo.
Tuambie mnachomokaje kwenye huu msala…