Eric Mandala akamatwa na kilo 200 za Cocaine

Eric Mandala akamatwa na kilo 200 za Cocaine

DRC ndo makao makuu ya machawa na praise singers. Mcongo kumsifia mtu ili apate chochote ni kama kunywa juice ya baridi saa 8 mchana pale mtaa wa Congo, Kkoo. Wasanii wa DRC waache ujinga wa kutunga nyimbo za kusifu watu kama miungu. Koffi Olomide ana wimbo unaitwa Mike Mosisi ambaye ni kiongozi wa serikali huko Eastern DRC. The late Franco naye ana wimbo wa kumsifu Dikteta Mobutu... wimbo mrefu ila huchoki kusikiliza... ni hit song iliyojaa propaganda.
mkuu unaenda mbali papaa msofe ameimbwa sana mbaka spika zinapasuka utafikiri ana mchngo wowote hapa bongo
 
DRC ndo makao makuu ya machawa na praise singers. Mcongo kumsifia mtu ili apate chochote ni kama kunywa juice ya baridi saa 8 mchana pale mtaa wa Congo, Kkoo. Wasanii wa DRC waache ujinga wa kutunga nyimbo za kusifu watu kama miungu. Koffi Olomide ana wimbo unaitwa Mike Mosisi ambaye ni kiongozi wa serikali huko Eastern DRC. The late Franco naye ana wimbo wa kumsifu Dikteta Mobutu... wimbo mrefu ila huchoki kusikiliza... ni hit song iliyojaa propaganda.
Ni vile Lucas Mwashambwa hana kipaji cha kuimba.

Angekuwa anaporomosha nyimbo za kumsifu Samia kila siku, kama anavyo shusha nyuzi za kumsifu.
 
Biashara ya madawa kuna yafuatayo,,,
1 mchimba kisima kuingia mwenyewe, yani
We wauzie wenzio lkn one day na we utayabwia,
2 usipoyavuta wewe basi mmoja kati ya kizazi cha hata mwanao ,dada yako nk nao watayabwia..
3 yote yakikukosa basi jela inakuhusu tena mvua nyingi tu.
4 kuuwawa na wafanyabiashara wenzio, serikali nk.
NB, hapa naamanisha wafanyabiashara wakubwa wa ngada sio kama wale wauza vipinchi soko la zamani ukwamani au wale wa kule manzese shidele
KARMA IS BITCH
 
Kwa wanaouliza wasanii wa Muziki wanakuwaje Matajiri lakini Utajiri wao haundelei kwa vizazi, njia hii na Kutakatisha fedha ndio huwapa pesa zao, wote unaowaona wanapesa nyingi, how they do it.

Muziki ni kazi ambayo mapato yake hulipwa kwa "Cash money", unga na madawa ya Kulevya huuzwa kwa "Cash Money" lakini ukiwa huna kipato/biashara ya Kueleweka huwezi kuelezea pesa umepata wapi.

So Wafanya biashara wa Madawa ya Kulevya, humfata msanii (Mfano Almasi) na kumwambi kwenye shoo yako umepata viingilio vya 1M TZS mimi nina 100M TZS ndani hivi hela nataka kuziweka Bank, Tunafanyaje? Hapo ndio msanii ataomba kwenye deal apewe 20M wakikamilisha, zile 101M TSZ zinapelekwa bank kama hela zilizopatikana Kwenye show and vijana wetu wanakuwa wameathirika na madawa, pia njia ya kuzitakatisha hivi fedha ni kununua high value properties kama Magari na mikufu ya Thamani na vitu vingine ambavyo huficha footprints za vyanvo vya mapato.

Tanzania tukiwa serious na financial crimes watu wengi wataenda jela, kwanza kabisa Uchunguzi wa kina ungefanya na uanzishwaji wa Vituo vya mafuta ambavyo vitakufa in next 5 years, Nyumba ambazo huuzwa ghali kuliko thamani yake, na hata vyombo vya Radio vinavyoanzishwa na wasanii wa Muziki au watu wenye ukaribu na wanasiasa, wasanii wote wanaoalikwa na CCM

Ni mtu asiye utulivu wa akili ndio anayeweza kuamini Chadema wanazidiwa uwezo/nia ya Kuanzisha chombo cha habari na Wasanii wa muziki(Hivi vyombo vya Habari vya Wasanii siku vifanyiwe uchunguzi wa Kina).
Umechimba kinani kabisa
 
Anve

Kamatwa Congo ingekua rahis kuzima bati kakamatiwa mbele, japo sio mbele kivilee!
Unadhani nyumbani alikuwa hajasomwa biashara yake? Huku ukiwa na hizi ishu changia kampeni,kuwa kada usilete pigo za kipinzani mambo yataenda mpaka atakapo kuja mwenzako atakaofa deal kubwa zaidi yako. Ni ngumu kupiga hizi mitikasi wasikujue nyumbani
 
Kwa wanaouliza wasanii wa Muziki wanakuwaje Matajiri lakini Utajiri wao haundelei kwa vizazi, njia hii na Kutakatisha fedha ndio huwapa pesa zao, wote unaowaona wanapesa nyingi, how they do it.

Muziki ni kazi ambayo mapato yake hulipwa kwa "Cash money", unga na madawa ya Kulevya huuzwa kwa "Cash Money" lakini ukiwa huna kipato/biashara ya Kueleweka huwezi kuelezea pesa umepata wapi.

So Wafanya biashara wa Madawa ya Kulevya, humfata msanii (Mfano Almasi) na kumwambi kwenye shoo yako umepata viingilio vya 1M TZS mimi nina 100M TZS ndani hivi hela nataka kuziweka Bank, Tunafanyaje? Hapo ndio msanii ataomba kwenye deal apewe 20M wakikamilisha, zile 101M TSZ zinapelekwa bank kama hela zilizopatikana Kwenye show and vijana wetu wanakuwa wameathirika na madawa, pia njia ya kuzitakatisha hivi fedha ni kununua high value properties kama Magari na mikufu ya Thamani na vitu vingine ambavyo huficha footprints za vyanvo vya mapato.

Tanzania tukiwa serious na financial crimes watu wengi wataenda jela, kwanza kabisa Uchunguzi wa kina ungefanya na uanzishwaji wa Vituo vya mafuta ambavyo vitakufa in next 5 years, Nyumba ambazo huuzwa ghali kuliko thamani yake, na hata vyombo vya Radio vinavyoanzishwa na wasanii wa Muziki au watu wenye ukaribu na wanasiasa, wasanii wote wanaoalikwa na CCM

Ni mtu asiye utulivu wa akili ndio anayeweza kuamini Chadema wanazidiwa uwezo/nia ya Kuanzisha chombo cha habari na Wasanii wa muziki(Hivi vyombo vya Habari vya Wasanii siku vifanyiwe uchunguzi wa Kina).
Umemaliza kila kitu.
 
Back
Top Bottom