Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Za kutafsiriNi mtu ambaye huwa anaongelea sana issue za uchumi akiwa na ufahamu mdogo....ajikite tu kwenye hadithi
Uchaguzi haurudiwi mkuu, Katiba inampa mamraka ya moja kwa moja VP kuchukua nafasi mpaka kipindi kitakapoisha. Pia ana mamlaka ya kuvunja Baraza la mawaziri na kuteua lengineWaliopita bila kupingwa uchaguzi ukirudiwa hakuna atakaerudi,hawakutegemea mambo kugeuka hakika ni msiba mzito kwao.
2025 awatarudi thus wamekazania atawale milele hofu kufa njaa,amelaaniwa mtu yule amfanyae mwanadamu Kinga yake.Mipango ya Mungu siyo ya mwanadamu.Uchaguzi haurudiwi mkuu, Katiba inampa mamraka ya moja kwa moja VP kuchukua nafasi mpaka kipindi kitakapoisha. Pia ana mamlaka ya kuvunja Baraza la mawaziri na kuteua lengine
Mwenzako katoka hadharani,wewe unajibizana na upepo nyuma ya keyboard halafu unajiita AskariBabati nzuri nina kipaji cha ualimu ingawa mimi ni Askari kwa fani.
Wala hiyo sio fani yake,huyu ni nesiShigongo fani yake ni uandishi wa udaku,hivyo sitegemee anajua lingine lolote
Acha kupotosha ile ilikua vita ya ki mazingira, na haijaanza Leo. Toka enzi za Nyerere. Yaani mzungu anajali mazingira yako kuliko wewe mwenyewe ni aibu.Makampuni ya kimataifa .Vita ya kiuchumi huwa hasa kati ya makampuni ya kimataifa.Mfano ujenzi wa bwawa kubwa la umeme la Mwalimu nyerere tuiingia vita ya kiuchumi sababu mataidfa makubwa hayautaki huo mradi .Hawataki tujitosheleze kwa umeme kwa nini? tuendelee kununua umeme kwenye mitambi ya makampuni yao ya kimataifa iliyoko nchini!!!
Sababu tukijitosheleza kwa umeme wetu mitambo yao kazi haina na dola haziendi kwao tena!!
sina uhakika kama unayoyasema yana ukweli 100%. kwa sababu hawa jamaa wakitaka kukupiga hata huko kwenye umeme wetu watatupiga tu tena huko ndio hata usiseme.Makampuni ya kimataifa .Vita ya kiuchumi huwa hasa kati ya makampuni ya kimataifa.Mfano ujenzi wa bwawa kubwa la umeme la Mwalimu nyerere tuiingia vita ya kiuchumi sababu mataidfa makubwa hayautaki huo mradi...
Unasikia wewe jwao walikuwa na mbuga kibao wakaziua zote wakajenga viwanda sisi hatukukuwapinga sasa huku kwetu dAcha kupotosha ile ilikua vita ya ki mazingira, na haijaanza Leo. Toka enzi za Nyerere. Yaani mzungu anajali mazingira yako kuliko wewe mwenyewe ni aibu.
Kwa nini tusingeengeeleza umeme wa Gasi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jinga Sana wwShigongo fani yake ni uandishi wa udaku,hivyo sitegemee anajua lingine lolote