Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Hatukubaliani naye kama alilala basi aamke peke yake
Nalog off
Nalog off
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawadanganye malofa wenzio.Mleta mada hata hicho kipaji cha ualimu huna na hujui chochote kuhusu vita za kiuchumi pamoja na uaskari wako.
Congo na Marekani hazifanani lakini kuna vita za kiuchumi za kuga mtu.
Libya au Iraq hazifanani kiuchumi na marekani hata robo lakini kuna vita za kiuchumi za kufa mtu zilizosababisha Gadaffi na Saddam Hussen kupinduliwa.
Vita ya kiuchumi yaweza lenga kushika soko la nchi hudsika au kukamata raslimali za nchi husika mfano waweza taka kuweka kibaraka wao Lisu mbelgiji ili wapore raslimali zetu.
Ilitakiwa wateseke sanaNnKwamba hata askari wameanza kutwambia walioshinda ubunge kwa kimjini mjini? Anyway, kunakaribia kukucha
Lengo la vita ya kiuchumi sio kukaa peak pekee mkuu. Hivi unajua hata biblia imeandika "Na Yule Asiyekuwa Nacho Hata Hicho Kidogo Alichonacho Atanyanganywa". Hivi unajua ya kuwa Nairobi ndio makao makuu ya ngome za mabeberu kwa Afrika ya Mashariki? Unafikiri Mabeberu hawawezi kuisaidia Kenya katika vita ya kiuchumi dhidi ya Tanzania?Sasa je, ni nchi gani ya kibeberu inafight na Tanzania kukaa peak?
Proffesionally; askari yeyote ni mlinzi.Una akili timamu?
Unadhani unaweza kuajiriwa kama mlinzi kwenye taasisi imara kama hujawa Askari.
Kwa tafsiri yako Askari ni nani?
Na ni nini majukumu yake?
Yeye alipodhulumiwa hela za sare na kofia alizosambaza ccm mwaka 2015 hadi akamwaga chozi hadharani alikuwa na vita ya uchumi na nani ?Babati nzuri nina kipaji cha ualimu ingawa mimi ni Askari kwa fani.
Vita ya kiuchumi maana yake ni mgongano wa kiuchumi unaotokea baina ya mataifa mawili. Wakati mwingine msuguano huu unaweza kutokea baina ya mataifa mengi lakini yenye pande mbili zilizoungana direct or inderect zenye nguvu sawia kiuchumi au zenye nguvu zinazokaribiana.
Pande hizi huungana ili kuunganisha nguvu kwa lengo la kuangusha upande mmoja.
Lengo la vita hii ni kundi moja au kila kundi kutaka kukaa peak(kileleni).
China and US ukisema zina vita ya kiuchumi sawa. Tanzania na Zimbabwe ukisema zina vita ya kiuchumi huenda ukawa sawa maana tunakaribiana kiuchumi.
Sasa je, ni nchi gani ya kibeberu inafight na Tanzania kukaa peak? Na inapigana vita ya kiuchumi na Tanzania kwa manufaa yapi?
Tukisema labda Kenya ndio wanaopigana nasi na si mabeberu. Je, Tunagombea soko lipi, na hii vita imeanza lini, je, kwanini iibuke kipindi cha Magufuli?.
Mabeberu na Tanzania wanapigania
Soko la dhahabu, mahindi, korosho au?
Kama ulipata Ubunge kwa njia za haramu ni heri utulie ule pesa taratibu na si kuendelea kujipendekeza.
View attachment 1725992
Wazee hawaongopi, mwanadamu anabadilika kulingana na hali ya mazingira Leo nimeaminiBabati nzuri nina kipaji cha ualimu ingawa mimi ni Askari kwa fani.
Vita ya kiuchumi maana yake ni mgongano wa kiuchumi unaotokea baina ya mataifa mawili. Wakati mwingine msuguano huu unaweza kutokea baina ya mataifa mengi lakini yenye pande mbili zilizoungana direct or inderect zenye nguvu sawia kiuchumi au zenye nguvu zinazokaribiana.
Pande hizi huungana ili kuunganisha nguvu kwa lengo la kuangusha upande mmoja.
Lengo la vita hii ni kundi moja au kila kundi kutaka kukaa peak(kileleni).
China and US ukisema zina vita ya kiuchumi sawa. Tanzania na Zimbabwe ukisema zina vita ya kiuchumi huenda ukawa sawa maana tunakaribiana kiuchumi.
Sasa je, ni nchi gani ya kibeberu inafight na Tanzania kukaa peak? Na inapigana vita ya kiuchumi na Tanzania kwa manufaa yapi?
Tukisema labda Kenya ndio wanaopigana nasi na si mabeberu. Je, Tunagombea soko lipi, na hii vita imeanza lini, je, kwanini iibuke kipindi cha Magufuli?.
Mabeberu na Tanzania wanapigania
Soko la dhahabu, mahindi, korosho au?
Kama ulipata Ubunge kwa njia za haramu ni heri utulie ule pesa taratibu na si kuendelea kujipendekeza.
View attachment 1725992
Nilikua najua jamaa ni kichwa till nilposikia/ ona interview yake na VOA ndo nikagundua ni kilaza kupitiliza.
Vita ya kiuchumi ni pana kuliko maelezo yako uliyotoa.Babati nzuri nina kipaji cha ualimu ingawa mimi ni Askari kwa fani.
Vita ya kiuchumi maana yake ni mgongano wa kiuchumi unaotokea baina ya mataifa mawili. Wakati mwingine msuguano huu unaweza kutokea baina ya mataifa mengi lakini yenye pande mbili zilizoungana direct or inderect zenye nguvu sawia kiuchumi au zenye nguvu zinazokaribiana.
Pande hizi huungana ili kuunganisha nguvu kwa lengo la kuangusha upande mmoja.
Lengo la vita hii ni kundi moja au kila kundi kutaka kukaa peak(kileleni).
China and US ukisema zina vita ya kiuchumi sawa. Tanzania na Zimbabwe ukisema zina vita ya kiuchumi huenda ukawa sawa maana tunakaribiana kiuchumi.
Sasa je, ni nchi gani ya kibeberu inafight na Tanzania kukaa peak? Na inapigana vita ya kiuchumi na Tanzania kwa manufaa yapi?
Tukisema labda Kenya ndio wanaopigana nasi na si mabeberu. Je, Tunagombea soko lipi, na hii vita imeanza lini, je, kwanini iibuke kipindi cha Magufuli?.
Mabeberu na Tanzania wanapigania
Soko la dhahabu, mahindi, korosho au?
Kama ulipata Ubunge kwa njia za haramu ni heri utulie ule pesa taratibu na si kuendelea kujipendekeza.
View attachment 1725992
Punda wewe unajua nini?Mleta mada hata hicho kipaji cha ualimu huna na hujui chochote kuhusu vita za kiuchumi pamoja na uaskari wako.
Congo na Marekani hazifanani lakini kuna vita za kiuchumi za kuga mtu.
Libya au Iraq hazifanani kiuchumi na marekani hata robo lakini kuna vita za kiuchumi za kufa mtu zilizosababisha Gadaffi na Saddam Hussen kupinduliwa.
Vita ya kiuchumi yaweza lenga kushika soko la nchi hudsika au kukamata raslimali za nchi husika mfano waweza taka kuweka kibaraka wao Lisu mbelgiji ili wapore raslimali zetu.
Huyu ugoko nilikua namuheshim kumbe mburula kama wengine tu...kajidhalilisha mnoBabati nzuri nina kipaji cha ualimu ingawa mimi ni Askari kwa fani.
Vita ya kiuchumi maana yake ni mgongano wa kiuchumi unaotokea baina ya mataifa mawili. Wakati mwingine msuguano huu unaweza kutokea baina ya mataifa mengi lakini yenye pande mbili zilizoungana direct or inderect zenye nguvu sawia kiuchumi au zenye nguvu zinazokaribiana.
Pande hizi huungana ili kuunganisha nguvu kwa lengo la kuangusha upande mmoja.
Lengo la vita hii ni kundi moja au kila kundi kutaka kukaa peak(kileleni).
China and US ukisema zina vita ya kiuchumi sawa. Tanzania na Zimbabwe ukisema zina vita ya kiuchumi huenda ukawa sawa maana tunakaribiana kiuchumi.
Sasa je, ni nchi gani ya kibeberu inafight na Tanzania kukaa peak? Na inapigana vita ya kiuchumi na Tanzania kwa manufaa yapi?
Tukisema labda Kenya ndio wanaopigana nasi na si mabeberu. Je, Tunagombea soko lipi, na hii vita imeanza lini, je, kwanini iibuke kipindi cha Magufuli?.
Mabeberu na Tanzania wanapigania
Soko la dhahabu, mahindi, korosho au?
Kama ulipata Ubunge kwa njia za haramu ni heri utulie ule pesa taratibu na si kuendelea kujipendekeza.
View attachment 1725992
Tatizo anajitekenya ili jiwe akiinuka ampe uwaziri nadhani.Huyu ugoko nilikua namuheshim kumbe mburula kama wengine tu...kajidhalilisha mno