Eric Shigongo, njoo hapa nikufundishe maana ya vita ya kiuchumi

Eric Shigongo, njoo hapa nikufundishe maana ya vita ya kiuchumi

Hatukubaliani naye kama alilala basi aamke peke yake
Nalog off
 
Mleta mada hata hicho kipaji cha ualimu huna na hujui chochote kuhusu vita za kiuchumi pamoja na uaskari wako.

Congo na Marekani hazifanani lakini kuna vita za kiuchumi za kuga mtu.

Libya au Iraq hazifanani kiuchumi na marekani hata robo lakini kuna vita za kiuchumi za kufa mtu zilizosababisha Gadaffi na Saddam Hussen kupinduliwa.

Vita ya kiuchumi yaweza lenga kushika soko la nchi hudsika au kukamata raslimali za nchi husika mfano waweza taka kuweka kibaraka wao Lisu mbelgiji ili wapore raslimali zetu.
Kawadanganye malofa wenzio.
 
Tafsiri ya neno Vita ni kupigania/kugombania.....hivyo tunaposema vita ya kiuchumi basi ni Mtu, Jamii au Kundi moja kupigana na jingine ili kupata manufaa ya kiuchumi.

Kwa hali halisi ilivyo sidhani kama "Mabeberu" wanaweza kuwa na vita ya kiuchumi na Nchi kama yetu....Kwamba Marekani au Uingereza wanapambana na sisi ili tusije kuwapiku kiuchumi?.
 
Sasa je, ni nchi gani ya kibeberu inafight na Tanzania kukaa peak?
Lengo la vita ya kiuchumi sio kukaa peak pekee mkuu. Hivi unajua hata biblia imeandika "Na Yule Asiyekuwa Nacho Hata Hicho Kidogo Alichonacho Atanyanganywa". Hivi unajua ya kuwa Nairobi ndio makao makuu ya ngome za mabeberu kwa Afrika ya Mashariki? Unafikiri Mabeberu hawawezi kuisaidia Kenya katika vita ya kiuchumi dhidi ya Tanzania?

Mkuu, hivi unajua wakati wa vita baridi kati ya USA na USSR nchi ndogo ndogo kama Cuba zilitumika katika mapambano ingawa wahusika wakuu ni warusi na wamarekani?

Kaka mkubwa acha kukalili maisha na jua ya kwamba, mabeberu wanaweza kuwasaidia mahasimu wetu katika kupambana na Tanzania.
 
Kuna story yake mskumbuka inaitwa Dangerous document kwenye miaka ya 2006. Mhusika ni Dungen.
Ndani yake kulikuwa na vita ya kiuchumi kati ya Japan & China walioungana dhidi ya USA.
Lakini kwa hili, inaonesha hawatungi bali wanatafsiri story za watu. Aidha uwezo wa fikra ni tofauti na uandishi wao
 
Semeni wapiganapo mafahali wawili ziumiazo ni nyasi, Wakubwa wakipigana vita ya kiuchumi athari tunapata sisi, Tupigane vita ya kiuchumi kwa ubavu gani haswa? uchumi upi haswa? Huu wa propaganda za enzi za mwalimu kuwa tunautajiri wa maliasili kuliko nchi zote duniani!? wakati huo kuna nchi ina utajiri wa mafuta tu wenye thamani ya utajiri wetu wote.
 
Babati nzuri nina kipaji cha ualimu ingawa mimi ni Askari kwa fani.

Vita ya kiuchumi maana yake ni mgongano wa kiuchumi unaotokea baina ya mataifa mawili. Wakati mwingine msuguano huu unaweza kutokea baina ya mataifa mengi lakini yenye pande mbili zilizoungana direct or inderect zenye nguvu sawia kiuchumi au zenye nguvu zinazokaribiana.

Pande hizi huungana ili kuunganisha nguvu kwa lengo la kuangusha upande mmoja.
Lengo la vita hii ni kundi moja au kila kundi kutaka kukaa peak(kileleni).

China and US ukisema zina vita ya kiuchumi sawa. Tanzania na Zimbabwe ukisema zina vita ya kiuchumi huenda ukawa sawa maana tunakaribiana kiuchumi.

Sasa je, ni nchi gani ya kibeberu inafight na Tanzania kukaa peak? Na inapigana vita ya kiuchumi na Tanzania kwa manufaa yapi?
Tukisema labda Kenya ndio wanaopigana nasi na si mabeberu. Je, Tunagombea soko lipi, na hii vita imeanza lini, je, kwanini iibuke kipindi cha Magufuli?.

Mabeberu na Tanzania wanapigania
Soko la dhahabu, mahindi, korosho au?
Kama ulipata Ubunge kwa njia za haramu ni heri utulie ule pesa taratibu na si kuendelea kujipendekeza.

View attachment 1725992
Yeye alipodhulumiwa hela za sare na kofia alizosambaza ccm mwaka 2015 hadi akamwaga chozi hadharani alikuwa na vita ya uchumi na nani ?
 
Babati nzuri nina kipaji cha ualimu ingawa mimi ni Askari kwa fani.

Vita ya kiuchumi maana yake ni mgongano wa kiuchumi unaotokea baina ya mataifa mawili. Wakati mwingine msuguano huu unaweza kutokea baina ya mataifa mengi lakini yenye pande mbili zilizoungana direct or inderect zenye nguvu sawia kiuchumi au zenye nguvu zinazokaribiana.

Pande hizi huungana ili kuunganisha nguvu kwa lengo la kuangusha upande mmoja.
Lengo la vita hii ni kundi moja au kila kundi kutaka kukaa peak(kileleni).

China and US ukisema zina vita ya kiuchumi sawa. Tanzania na Zimbabwe ukisema zina vita ya kiuchumi huenda ukawa sawa maana tunakaribiana kiuchumi.

Sasa je, ni nchi gani ya kibeberu inafight na Tanzania kukaa peak? Na inapigana vita ya kiuchumi na Tanzania kwa manufaa yapi?
Tukisema labda Kenya ndio wanaopigana nasi na si mabeberu. Je, Tunagombea soko lipi, na hii vita imeanza lini, je, kwanini iibuke kipindi cha Magufuli?.

Mabeberu na Tanzania wanapigania
Soko la dhahabu, mahindi, korosho au?
Kama ulipata Ubunge kwa njia za haramu ni heri utulie ule pesa taratibu na si kuendelea kujipendekeza.

View attachment 1725992
Wazee hawaongopi, mwanadamu anabadilika kulingana na hali ya mazingira Leo nimeamini
 
Ajui chochote kuhusu mabeberu huu ni msamiati kwake ajikite kwenye fani yake ya kuuza udaku.
 
Babati nzuri nina kipaji cha ualimu ingawa mimi ni Askari kwa fani.

Vita ya kiuchumi maana yake ni mgongano wa kiuchumi unaotokea baina ya mataifa mawili. Wakati mwingine msuguano huu unaweza kutokea baina ya mataifa mengi lakini yenye pande mbili zilizoungana direct or inderect zenye nguvu sawia kiuchumi au zenye nguvu zinazokaribiana.

Pande hizi huungana ili kuunganisha nguvu kwa lengo la kuangusha upande mmoja.
Lengo la vita hii ni kundi moja au kila kundi kutaka kukaa peak(kileleni).

China and US ukisema zina vita ya kiuchumi sawa. Tanzania na Zimbabwe ukisema zina vita ya kiuchumi huenda ukawa sawa maana tunakaribiana kiuchumi.

Sasa je, ni nchi gani ya kibeberu inafight na Tanzania kukaa peak? Na inapigana vita ya kiuchumi na Tanzania kwa manufaa yapi?
Tukisema labda Kenya ndio wanaopigana nasi na si mabeberu. Je, Tunagombea soko lipi, na hii vita imeanza lini, je, kwanini iibuke kipindi cha Magufuli?.

Mabeberu na Tanzania wanapigania
Soko la dhahabu, mahindi, korosho au?
Kama ulipata Ubunge kwa njia za haramu ni heri utulie ule pesa taratibu na si kuendelea kujipendekeza.

View attachment 1725992
Vita ya kiuchumi ni pana kuliko maelezo yako uliyotoa.
Chukulia Saudi Arabia ni nchi namba 1 kwa military spending lakini hawauziwi silaha za kisasa zaidi
Nenda Iran pamoja na kuzalisha mafuta mengi (Nchi ya nne kwa crude oil duniani) lakini bado hawaruhusiwi kumiliki technolojia ya kusafisha mafuta duniani. Katika mahusiano ya kiuchumi mataifa yanasumbuka kuwa na Favourable Balance of trade hata na Nchi masikini.
Japo nchi yetu ni masikini lakini tunafanya kazi na wawekezaji wakubwa sana na makampuni yenye ushawishi wa hatari. Wakandarasi wakubwa wanapigiwa debe na nchi zao kupata tenda kwa bei ajabu ili wakalipe kodi kwao, watumie malighafi za kwao na kutuachia hela ya vibarua tu hapa bongo.
Nchi za 3rd World Country ni masikini kwa sababu pia mataifa tajiri yanapambana tubaki masikini daima na yaendelee kutunyonya.
Bidhaa zetu wanazotumia kama rasilimali wanatupangia bei ya chini wakati wao wanatuuzia finished goods kwa bei za hatari wanazojipangia.
Hata kuipa serikali ya Misri tenda ya kujenga Stiglers gorge na kuwaacha konoike inatosha kuchochea vita ya kiuchumi. Makampuni haya makubwa yanajiingiza kwenye michezo michafu kufadhili chaguzi na kuweka watu wao wajihakikishie influence mbele ya safari.
Leo hii Makampuni makubwa karibu yote yanaondoka au kwenda mahakamani.. Mikataba isiyo na maslahi inabadilishwa. Nakumbuka jinsi Acaccia walivopoteza thamani ya hisa kwa zaidi ya 50% kwa nini usiingie kwenye vita ya kiuchumi!?
 
Mleta mada hata hicho kipaji cha ualimu huna na hujui chochote kuhusu vita za kiuchumi pamoja na uaskari wako.

Congo na Marekani hazifanani lakini kuna vita za kiuchumi za kuga mtu.

Libya au Iraq hazifanani kiuchumi na marekani hata robo lakini kuna vita za kiuchumi za kufa mtu zilizosababisha Gadaffi na Saddam Hussen kupinduliwa.

Vita ya kiuchumi yaweza lenga kushika soko la nchi hudsika au kukamata raslimali za nchi husika mfano waweza taka kuweka kibaraka wao Lisu mbelgiji ili wapore raslimali zetu.
Punda wewe unajua nini?
Subiri 19/3/2021[emoji24][emoji24][emoji24][emoji3517][emoji3517][emoji3517]
 
Umejitahidi kuandika pumba nyingi. Next time jielimishe kuhusu vita ya kiuchumi.
 
Babati nzuri nina kipaji cha ualimu ingawa mimi ni Askari kwa fani.

Vita ya kiuchumi maana yake ni mgongano wa kiuchumi unaotokea baina ya mataifa mawili. Wakati mwingine msuguano huu unaweza kutokea baina ya mataifa mengi lakini yenye pande mbili zilizoungana direct or inderect zenye nguvu sawia kiuchumi au zenye nguvu zinazokaribiana.

Pande hizi huungana ili kuunganisha nguvu kwa lengo la kuangusha upande mmoja.
Lengo la vita hii ni kundi moja au kila kundi kutaka kukaa peak(kileleni).

China and US ukisema zina vita ya kiuchumi sawa. Tanzania na Zimbabwe ukisema zina vita ya kiuchumi huenda ukawa sawa maana tunakaribiana kiuchumi.

Sasa je, ni nchi gani ya kibeberu inafight na Tanzania kukaa peak? Na inapigana vita ya kiuchumi na Tanzania kwa manufaa yapi?
Tukisema labda Kenya ndio wanaopigana nasi na si mabeberu. Je, Tunagombea soko lipi, na hii vita imeanza lini, je, kwanini iibuke kipindi cha Magufuli?.

Mabeberu na Tanzania wanapigania
Soko la dhahabu, mahindi, korosho au?
Kama ulipata Ubunge kwa njia za haramu ni heri utulie ule pesa taratibu na si kuendelea kujipendekeza.

View attachment 1725992
Huyu ugoko nilikua namuheshim kumbe mburula kama wengine tu...kajidhalilisha mno
 
Back
Top Bottom