Eric Shigongo, njoo hapa nikufundishe maana ya vita ya kiuchumi

Eric Shigongo, njoo hapa nikufundishe maana ya vita ya kiuchumi

Yaani mtu anakupa fedha kwa ajili ya bajeti ya serikali yako, maana makusanyo yako ya kodi na vyanzo vingine havikidhi bajeti yako yaani ina deficit budget afanye na vita na wewe kwa lini, tuache fikra potofu kabisa zisizo na ukweli wowote, tunapewa dawa, mikopo, misaada mbalimbali halafu wafanye vita na sisi huo ni UONGO MKUBWA.
 
Yaani mtu anakupa fedha kwa ajili ya bajeti ya serikali yako, maana makusanyo yako ya kodi na vyanzo vingine havikidhi bajeti yako yaani ina deficit budget afanye na vita na wewe kwa lini, tuache fikra potofu kabisa zisizo na ukweli wowote, tunapewa dawa, mikopo, misaada mbalimbali halafu wafanye vita na sisi huo ni UONGO MKUBWA.
Hawa si kwamba ni vichaa.
Wanajua maana ya vita ya kiuchumi ila wanaact tu wakijua Watanzania ni wapumbavu.
 
Makampuni ya kimataifa. Vita ya kiuchumi huwa hasa kati ya makampuni ya kimataifa. Mfano ujenzi wa bwawa kubwa la umeme la Mwalimu nyerere tuiingia vita ya kiuchumi sababu mataidfa makubwa hayautaki huo mradi .Hawataki tujitosheleze kwa umeme kwa nini? Tuendelee kununua umeme kwenye mitambi ya makampuni yao ya kimataifa iliyoko nchini!!!

Sababu tukijitosheleza kwa umeme wetu mitambo yao kazi haina na dola haziendi kwao tena!!
Umeme wa gas ambao ni wa uhakika kuliko maji umeishia wapi au haukuwa na 10% .Mzungu akuonee wivu kwa lipi,mtu usiyeweza hata kujenga choo huku wanafunzi wanakaa chini.
 
Babati nzuri nina kipaji cha ualimu ingawa mimi ni Askari kwa fani.

Vita ya kiuchumi maana yake ni mgongano wa kiuchumi unaotokea baina ya mataifa mawili. Wakati mwingine msuguano huu unaweza kutokea baina ya mataifa mengi lakini yenye pande mbili zilizoungana direct or inderect zenye nguvu sawia kiuchumi au zenye nguvu zinazokaribiana.

Pande hizi huungana ili kuunganisha nguvu kwa lengo la kuangusha upande mmoja.
Lengo la vita hii ni kundi moja au kila kundi kutaka kukaa peak(kileleni).

China and US ukisema zina vita ya kiuchumi sawa. Tanzania na Zimbabwe ukisema zina vita ya kiuchumi huenda ukawa sawa maana tunakaribiana kiuchumi.

Sasa je, ni nchi gani ya kibeberu inafight na Tanzania kukaa peak? Na inapigana vita ya kiuchumi na Tanzania kwa manufaa yapi?
Tukisema labda Kenya ndio wanaopigana nasi na si mabeberu. Je, Tunagombea soko lipi, na hii vita imeanza lini, je, kwanini iibuke kipindi cha Magufuli?.

Mabeberu na Tanzania wanapigania
Soko la dhahabu, mahindi, korosho au?
Kama ulipata Ubunge kwa njia za haramu ni heri utulie ule pesa taratibu na si kuendelea kujipendekeza.

View attachment 1725992
Sandals Ali:

Shika Bunduki hiyo ndivyo stahili na stahiki ya ubongo wako. Akili za yako haiwezi kunyambua hiki kinachoendelea. Vuvu lako ni Dogo Sana litapasuka.

Narudia tena komaa na Bunduki mwanangu haya mengine achana nayo...
 
Umeme wa gas ambao ni wa uhakika kuliko maji umeishia wapi au haukuwa na 10% .Mzungu akuonee wivu kwa lipi,mtu usiyeweza hata kujenga choo huku wanafunzi wanakaa chini.
mitambo ya umeme inayotumia gesi ya kinyerezi inatumia gesi ya wapi?

Mitambo mingi ya viwandani inatumia gesi direct .Hawahitaji umeme wa gesi wanahitaji gesi yenyewe na wanapewa

Hujui kuwa kuna viwanda kibao vinatumia gesi sasa hivi na gesi imeshaanza kufungwa gesi ya majumbani ya mabomba kama ya maji na hilo hujui?

Uko Tanzania hii au ubelgiji unaonyesha huko informed
 
Vita ya kiuchumi ipo lakini mtanzania hawezi kushinda kwa sababu hana uhuru wa kweli. Mpaka tupate uhuru ndiyo tutaweza kupigana vita ya kiuchumi.
 
mitambo ya umeme inayotumia gesi ya kinyerezi inatumia gesi ya wapi?

Mitambo mingi ya viwandani inatumia gesi direct .Hawahitaji umeme wa gesi wanahitaji gesi yenyewe na wanapewa

Hujui kuwa kuna viwanda kibao vinatumia gesi sasa hivi na gesi imeshaanza kufungwa gesi ya majumbani ya mabomba kama ya maji na hilo hujui?

Uko Tanzania hii au ubelgiji unaonyesha huko informed
Ni bora kuboresha mabwawa yaliyopo kwa kuyaongezea uwezo mfano kutoa tope bwawani na kufunga mashine mpya za kisasa zitumiazo maji kidogo speed kubwa.
 
Babati nzuri nina kipaji cha ualimu ingawa mimi ni Askari kwa fani.

Vita ya kiuchumi maana yake ni mgongano wa kiuchumi unaotokea baina ya mataifa mawili. Wakati mwingine msuguano huu unaweza kutokea baina ya mataifa mengi lakini yenye pande mbili zilizoungana direct or inderect zenye nguvu sawia kiuchumi au zenye nguvu zinazokaribiana.

Pande hizi huungana ili kuunganisha nguvu kwa lengo la kuangusha upande mmoja.
Lengo la vita hii ni kundi moja au kila kundi kutaka kukaa peak(kileleni).

China and US ukisema zina vita ya kiuchumi sawa. Tanzania na Zimbabwe ukisema zina vita ya kiuchumi huenda ukawa sawa maana tunakaribiana kiuchumi.

Sasa je, ni nchi gani ya kibeberu inafight na Tanzania kukaa peak? Na inapigana vita ya kiuchumi na Tanzania kwa manufaa yapi?
Tukisema labda Kenya ndio wanaopigana nasi na si mabeberu. Je, Tunagombea soko lipi, na hii vita imeanza lini, je, kwanini iibuke kipindi cha Magufuli?.

Mabeberu na Tanzania wanapigania
Soko la dhahabu, mahindi, korosho au?
Kama ulipata Ubunge kwa njia za haramu ni heri utulie ule pesa taratibu na si kuendelea kujipendekeza.

View attachment 1725992
Shigongo mdogo wangu! Usiingilieni uani kwa mambo usiyoyajua. kama kweli unakijua ukisemacho, basi naomba unitajie beberu mmoja tu ambaye sisi tunatakiwa kuepukana naye au hatuna shirka naye.
 
Ni bora kuboresha mabwawa yaliyopo kwa kuyaongezea uwezo mfano kutoa tope bwawani na kufunga mashine mpya za kisasa zitumiazo maji kidogo speed kubwa.
Huna mkataba na Mungu kuwa mvua lazima inyeshe.Gas ipo itumike pia
 
Huyu Hana jipya kwani hata ubunge amepewa ktk kapu tu
 
Tatizo watu hawajasoma political economy ila wanarukia tu eti "vita ya uchumi". Tanzania tuna uchumi gani wa kuingia vitani na taifa lolote? Vita ya USA na China naielewa lakini siyo TZ. Kwani tunagombania soko gani la uchumi duniani? Tunataka kuteka soko gani duniani? Sisi hatuna hata mkandarasi mmoja Somalia, tuna ujasiri gani wa kusema tupo vitani, vita ya uchumi?
 
Mleta mada hata hicho kipaji cha ualimu huna na hujui chochote kuhusu vita za kiuchumi pamoja na uaskari wako.

Congo na Marekani hazifanani lakini kuna vita za kiuchumi za kuga mtu.

Libya au Iraq hazifanani kiuchumi na marekani hata robo lakini kuna vita za kiuchumi za kufa mtu zilizosababisha Gadaffi na Saddam Hussen kupinduliwa.

Vita ya kiuchumi yaweza lenga kushika soko la nchi hudsika au kukamata raslimali za nchi husika mfano waweza taka kuweka kibaraka wao Lisu mbelgiji ili wapore raslimali zetu.
Umetaja hizo nchi zilizokuwa na zilizo na vita ya uchumi. Mbona sasa hutaji sisi tunapigana na nani hiyo vita ya uchumi? Mnaishia tu kusema mabeberu. Kwa nini usitaje nchi tunayopigana nayo? Mbona umetaja Congo na Marekani; Libya na Iraq. Sasa mbona tutaji Tanzania na......?
 
Tatizo watu hawajasoma political economy ila wanarukia tu eti "vita ya uchumi". Tanzania tuna uchumi gani wa kuingia vitani na taifa lolote? Vita ya USA na China naielewa lakini siyo TZ. Kwani tunagombania soko gani la uchumi duniani? Tunataka kuteka soko gani duniani? Sisi hatuna hata mkandarasi mmoja Somalia, tuna ujasiri gani wa kusema tupo vitani, vita ya uchumi?
Political economy huilewi Vita ya kiuchumi hupigani nchi kwako unapigana nje ya mipaka kwanza.Mfano china inapata madini yake ya kutengeneza simu Congo na inaua masoko ya simu za marekani
Marekani itakachofanya ni kwenda kuvamia congo kuwa hakuna demokrasia!!! wanaikalia kimabavu ili china asipate material kule .Wanaweka utawala kibaraka ambai utaingia mikataba ya kuuzia tu madini kampuni za marekani kwa kisingizio kuwa Narekani hawataki wauze madini kwa china mvunja haki za binadamu na ambaye hadi leo hana vyama vingi!!! Sababu hilo likibaraka limewekwa na marekani madini yote yatauzwa kwa makampuni ya marekani na marekani inapiga marufuku kampuni za marekani kufanya biashara na china!!! case closed.China soko linakufa la simu zake Tanzania na TRA haipati kodi na ajira zinakufa!!!
 
Nadharia za kusingizia wazungu juu ya kushindwa kwetu zipo Afrika pekee.
.Mzungu ndie anakwambia piga watu risasi,bambika,teka,filisi.
.Ndie anakwambia nunua v8 badala ya trekta?
.ndie anakwambia nunua ndege zipark
.nunua wapinzani badala ya kununua madawati.
.pambana watu badala ya maendeleo?
 
Mtoa mada naona umeliangalia hili jambo kwa juu tu. namna Marekani na wenzake wanavyopigania kudhibiti rasilimali za Afrika 👇👇
 
Porojo tu hizi, hakuna taifa la Ulaya au Marekani linaloweza kuiona Tanzania kama tishio kwa uchumi wake, hiyo stigler tu mitambo yote inatoka kwao, hata nut tu hatuwezi kutengeneza wenyewe, mtoa mada yuko sahihi, tunajiaminisha na vitu ambavyo havina msingi wowote, ivi mkuu unajua bajeti ya afya na Elimu tunafadhiliwa kwa % ngapi? Sisi tukomae tu mdogo mdogo one day tutatoboa lakn siyo chini ya miaka 50
unawaza kivivu sana.
au unawaza kwa kurahisisha.
 
Back
Top Bottom