Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
-
- #61
Una akili timamu?wewe jamaa si mlinzi wewe ulisema wa manispaa mara leo unekua osikari?
uifipa bana mtu akitoa mawazo yake kama tu hamuyakubal bas nongwa.mlishundwa tu kupambana na akil kubwa za kina mde mapovu hayo kama yote.ulishawahi ona wapi darasa la pili anakuwa na akili kichwani
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Hawa si kwamba ni vichaa.Yaani mtu anakupa fedha kwa ajili ya bajeti ya serikali yako, maana makusanyo yako ya kodi na vyanzo vingine havikidhi bajeti yako yaani ina deficit budget afanye na vita na wewe kwa lini, tuache fikra potofu kabisa zisizo na ukweli wowote, tunapewa dawa, mikopo, misaada mbalimbali halafu wafanye vita na sisi huo ni UONGO MKUBWA.
Umeme wa gas ambao ni wa uhakika kuliko maji umeishia wapi au haukuwa na 10% .Mzungu akuonee wivu kwa lipi,mtu usiyeweza hata kujenga choo huku wanafunzi wanakaa chini.Makampuni ya kimataifa. Vita ya kiuchumi huwa hasa kati ya makampuni ya kimataifa. Mfano ujenzi wa bwawa kubwa la umeme la Mwalimu nyerere tuiingia vita ya kiuchumi sababu mataidfa makubwa hayautaki huo mradi .Hawataki tujitosheleze kwa umeme kwa nini? Tuendelee kununua umeme kwenye mitambi ya makampuni yao ya kimataifa iliyoko nchini!!!
Sababu tukijitosheleza kwa umeme wetu mitambo yao kazi haina na dola haziendi kwao tena!!
Sandals Ali:Babati nzuri nina kipaji cha ualimu ingawa mimi ni Askari kwa fani.
Vita ya kiuchumi maana yake ni mgongano wa kiuchumi unaotokea baina ya mataifa mawili. Wakati mwingine msuguano huu unaweza kutokea baina ya mataifa mengi lakini yenye pande mbili zilizoungana direct or inderect zenye nguvu sawia kiuchumi au zenye nguvu zinazokaribiana.
Pande hizi huungana ili kuunganisha nguvu kwa lengo la kuangusha upande mmoja.
Lengo la vita hii ni kundi moja au kila kundi kutaka kukaa peak(kileleni).
China and US ukisema zina vita ya kiuchumi sawa. Tanzania na Zimbabwe ukisema zina vita ya kiuchumi huenda ukawa sawa maana tunakaribiana kiuchumi.
Sasa je, ni nchi gani ya kibeberu inafight na Tanzania kukaa peak? Na inapigana vita ya kiuchumi na Tanzania kwa manufaa yapi?
Tukisema labda Kenya ndio wanaopigana nasi na si mabeberu. Je, Tunagombea soko lipi, na hii vita imeanza lini, je, kwanini iibuke kipindi cha Magufuli?.
Mabeberu na Tanzania wanapigania
Soko la dhahabu, mahindi, korosho au?
Kama ulipata Ubunge kwa njia za haramu ni heri utulie ule pesa taratibu na si kuendelea kujipendekeza.
View attachment 1725992
mitambo ya umeme inayotumia gesi ya kinyerezi inatumia gesi ya wapi?Umeme wa gas ambao ni wa uhakika kuliko maji umeishia wapi au haukuwa na 10% .Mzungu akuonee wivu kwa lipi,mtu usiyeweza hata kujenga choo huku wanafunzi wanakaa chini.
Ni bora kuboresha mabwawa yaliyopo kwa kuyaongezea uwezo mfano kutoa tope bwawani na kufunga mashine mpya za kisasa zitumiazo maji kidogo speed kubwa.mitambo ya umeme inayotumia gesi ya kinyerezi inatumia gesi ya wapi?
Mitambo mingi ya viwandani inatumia gesi direct .Hawahitaji umeme wa gesi wanahitaji gesi yenyewe na wanapewa
Hujui kuwa kuna viwanda kibao vinatumia gesi sasa hivi na gesi imeshaanza kufungwa gesi ya majumbani ya mabomba kama ya maji na hilo hujui?
Uko Tanzania hii au ubelgiji unaonyesha huko informed
Shigongo mdogo wangu! Usiingilieni uani kwa mambo usiyoyajua. kama kweli unakijua ukisemacho, basi naomba unitajie beberu mmoja tu ambaye sisi tunatakiwa kuepukana naye au hatuna shirka naye.Babati nzuri nina kipaji cha ualimu ingawa mimi ni Askari kwa fani.
Vita ya kiuchumi maana yake ni mgongano wa kiuchumi unaotokea baina ya mataifa mawili. Wakati mwingine msuguano huu unaweza kutokea baina ya mataifa mengi lakini yenye pande mbili zilizoungana direct or inderect zenye nguvu sawia kiuchumi au zenye nguvu zinazokaribiana.
Pande hizi huungana ili kuunganisha nguvu kwa lengo la kuangusha upande mmoja.
Lengo la vita hii ni kundi moja au kila kundi kutaka kukaa peak(kileleni).
China and US ukisema zina vita ya kiuchumi sawa. Tanzania na Zimbabwe ukisema zina vita ya kiuchumi huenda ukawa sawa maana tunakaribiana kiuchumi.
Sasa je, ni nchi gani ya kibeberu inafight na Tanzania kukaa peak? Na inapigana vita ya kiuchumi na Tanzania kwa manufaa yapi?
Tukisema labda Kenya ndio wanaopigana nasi na si mabeberu. Je, Tunagombea soko lipi, na hii vita imeanza lini, je, kwanini iibuke kipindi cha Magufuli?.
Mabeberu na Tanzania wanapigania
Soko la dhahabu, mahindi, korosho au?
Kama ulipata Ubunge kwa njia za haramu ni heri utulie ule pesa taratibu na si kuendelea kujipendekeza.
View attachment 1725992
Huna mkataba na Mungu kuwa mvua lazima inyeshe.Gas ipo itumike piaNi bora kuboresha mabwawa yaliyopo kwa kuyaongezea uwezo mfano kutoa tope bwawani na kufunga mashine mpya za kisasa zitumiazo maji kidogo speed kubwa.
Umetaja hizo nchi zilizokuwa na zilizo na vita ya uchumi. Mbona sasa hutaji sisi tunapigana na nani hiyo vita ya uchumi? Mnaishia tu kusema mabeberu. Kwa nini usitaje nchi tunayopigana nayo? Mbona umetaja Congo na Marekani; Libya na Iraq. Sasa mbona tutaji Tanzania na......?Mleta mada hata hicho kipaji cha ualimu huna na hujui chochote kuhusu vita za kiuchumi pamoja na uaskari wako.
Congo na Marekani hazifanani lakini kuna vita za kiuchumi za kuga mtu.
Libya au Iraq hazifanani kiuchumi na marekani hata robo lakini kuna vita za kiuchumi za kufa mtu zilizosababisha Gadaffi na Saddam Hussen kupinduliwa.
Vita ya kiuchumi yaweza lenga kushika soko la nchi hudsika au kukamata raslimali za nchi husika mfano waweza taka kuweka kibaraka wao Lisu mbelgiji ili wapore raslimali zetu.
Political economy huilewi Vita ya kiuchumi hupigani nchi kwako unapigana nje ya mipaka kwanza.Mfano china inapata madini yake ya kutengeneza simu Congo na inaua masoko ya simu za marekaniTatizo watu hawajasoma political economy ila wanarukia tu eti "vita ya uchumi". Tanzania tuna uchumi gani wa kuingia vitani na taifa lolote? Vita ya USA na China naielewa lakini siyo TZ. Kwani tunagombania soko gani la uchumi duniani? Tunataka kuteka soko gani duniani? Sisi hatuna hata mkandarasi mmoja Somalia, tuna ujasiri gani wa kusema tupo vitani, vita ya uchumi?
unawaza kivivu sana.Porojo tu hizi, hakuna taifa la Ulaya au Marekani linaloweza kuiona Tanzania kama tishio kwa uchumi wake, hiyo stigler tu mitambo yote inatoka kwao, hata nut tu hatuwezi kutengeneza wenyewe, mtoa mada yuko sahihi, tunajiaminisha na vitu ambavyo havina msingi wowote, ivi mkuu unajua bajeti ya afya na Elimu tunafadhiliwa kwa % ngapi? Sisi tukomae tu mdogo mdogo one day tutatoboa lakn siyo chini ya miaka 50