Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

Wale wazungu mabalozi wanaokujaga kuisikiliza kesi walikuwepo?
 
Sasa Anashitakiwa uhujumu uchumi. Yale yale hakuna dhamana. Au ndo wanataka alipe zile millions then awe huru ?Ila bora kulipa kuliko kukaa jela. Sasa akitoka nje atakuwa kajifunza. Maana zile hashtag free Kabendera sijui hata ziliishia wapi.

Eric ukitoka Baba tumia kalamu yako Intellingently huwezi pambana na watu wenye majeshi yote wewe ukiwa peke yako.
 
Kuvujisha siri za serikali yoyote duniani ni sawa na kuisaliti nchi husika.
Afanyae mchezo huo adhabu yake ndogo kabisa ni kukaa jela maisha yake yote,mara nyingi hua ni death sentence tu.

Naiomba serikali isifanye ajizi kwa yoyote yule atakaebanika kuhujumu serikali kwani atakua kahujumu nchi kwa ujumla.

Serikali hupatikana kwa njia ya uchaguzi hivyo afanyae hujuma huathiri ufanisi kwa wananchi walioiweka serikali hiyo na nchi kwa ujumla
siri gani alizivujisha mkuu
 
Kuvujisha siri za serikali yoyote duniani ni sawa na kuisaliti nchi husika.
Afanyae mchezo huo adhabu yake ndogo kabisa ni kukaa jela maisha yake yote,mara nyingi hua ni death sentence tu.

Naiomba serikali isifanye ajizi kwa yoyote yule atakaebanika kuhujumu serikali kwani atakua kahujumu nchi kwa ujumla.

Serikali hupatikana kwa njia ya uchaguzi hivyo afanyae hujuma huathiri ufanisi kwa wananchi walioiweka serikali hiyo na nchi kwa ujumla
Kwani yeye alikuwa TISS au kwenye kikao cha mawaziri au ulinzi na usakama? Siri hiyo kaipataje na kapewa na nani kama sio nyinyi wenyewe kama ni kweli?
 
Kuna mtu alikua anatembea na picha ya kabendera sijui alipotelea wapi mpaka mama wa kabendera anakufa alikua analaumu anakosa wakumtunza na kumuangalia kifedha alafu walio kua wanajiita wapenz wa kabendera kuliko kutafuta jins ya kumsaidia mama wa rafiki yao walikua ndio kwanza wanaenda uingereza na first class kumuongelea mpendwa wao kua anaonewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji119][emoji119][emoji119]
Screenshot_20200224-142221-picsay.jpeg
 
Back
Top Bottom