Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuvujisha siri tena?Wanasiasa wa Upinzani walimtumia kuvujisha siri za Nchi na wajumlishwe na Kabendera
binafsi sijaelewa umeandika nini, na ninamashaka ata km nawe unaelewa
Hata mimi sijaelewa mkuu!binafsi sijaelewa umeandika nini, na ninamashaka ata km nawe unaelewa
siri gani alizivujisha mkuuKuvujisha siri za serikali yoyote duniani ni sawa na kuisaliti nchi husika.
Afanyae mchezo huo adhabu yake ndogo kabisa ni kukaa jela maisha yake yote,mara nyingi hua ni death sentence tu.
Naiomba serikali isifanye ajizi kwa yoyote yule atakaebanika kuhujumu serikali kwani atakua kahujumu nchi kwa ujumla.
Serikali hupatikana kwa njia ya uchaguzi hivyo afanyae hujuma huathiri ufanisi kwa wananchi walioiweka serikali hiyo na nchi kwa ujumla
Kwani yeye alikuwa TISS au kwenye kikao cha mawaziri au ulinzi na usakama? Siri hiyo kaipataje na kapewa na nani kama sio nyinyi wenyewe kama ni kweli?Kuvujisha siri za serikali yoyote duniani ni sawa na kuisaliti nchi husika.
Afanyae mchezo huo adhabu yake ndogo kabisa ni kukaa jela maisha yake yote,mara nyingi hua ni death sentence tu.
Naiomba serikali isifanye ajizi kwa yoyote yule atakaebanika kuhujumu serikali kwani atakua kahujumu nchi kwa ujumla.
Serikali hupatikana kwa njia ya uchaguzi hivyo afanyae hujuma huathiri ufanisi kwa wananchi walioiweka serikali hiyo na nchi kwa ujumla
Wale wazungu mabalozi wanaokujaga kuisikiliza kesi walikuwepo?
Kijana amesababishia mateso mzazi wake
Kwa kufurahia pesa za mabeberu na wanasiasa wasioitakia mema Nchi yetu
Mnajifanya wazalendo kumbe unafiki mtupu.