Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

Vyamavingi,
Hii nchi heshima ya Mhimili wa Mahakama na tasnia ya sheria zimechafuliwa sana. Bahati mbaya katika historia ya Tanzannia fani ya Sheria ndiyo fani ya kwanza kuanzishwa UDSM ikiwa chini ya University of East Africa. Aidha Wanasheria wakongwe na waliobobea katika eneo la mziwa makuu walisoma Dar es Salaam.

Tungetegemea tuwe mfano (point of reference, centre of ecxcellence au Think tank) wa sheria kwa eneo la Afrika Mshriki na kati. Lakini tumegeuka kituko cha nchi zote, hatuheshimu utawala wa sheria, tunakandamiza haki za raia, tunajiondoa kwenye mikataba ya kimataifa tuliyoridhia zamani. inatia hasira sana. DPP amekuwa nanguvu kuliko Jaji Mkuu
 
wakatanta,
Eti kuvujisha siri yaani mnamawazo ya zama za nyerere nyerere, kuna siri ipi wasioyoijua hao wakati tunatumia vifaa vyote vya mawasiliano kuanzia simu,internet, satellite nk ambavo saver ziko kwao kuanzia mazungumzo,text,nk wanatap.

Wanaposema credible information unaelewa maana yake.Tungekuwa tuna mifumo yetu ya mawasiliano isiyolink na nje hapo sawa.Hivi kipi wakitakacho wakakikosa hao eti siri kuna siri gani bongo.
 
abdulhamis,
Wakati yote hayo yanatokea,jitu lililokuwa linamtesa kabendera liko tu ikulu yetu takatifu linainajisi na mikono yake iliyojaa damu!Shame
 
Hapo ndipo tunaposhindwa kumuenzi Mwalimu Nyerere. Kumuondoa Snitch mmoja kwa afadhali ya Wengi ni jambo jema sana. Kama kweli wamekosa na ikathibitika watiwe korokoroni Maisha yao yote kuliko kuwaachia huru. Shetani hawezi kukengeuka na kuwa Malaika. Tujitafakari sana kabla ya ushabiki wa kuwaachia vibaraka wa aina hiyo.
mabeberu kuna mahala wamebinya inabidi utawala waacchie kidizain flan
 
Mungu ni mwema Informer,
IMG-20200223-WA0066.jpeg
E]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasiasa wa Upinzani walimtumia kuvujisha siri za Nchi na wajumlishwe na Kabendera
Kusema kuna dictator mpya kaibuka africa mashariki ni siri ya nchi?
Kuandika kuna watu wanatekwa na kuuliwa na wasiojulikana hii nayo ni siri ya nchi.
Hivi ka shithole kama Tanzania kinaweza kuwa na siri gani ambazo nchi za mabeberu hawawezi kuzijua.
 
Too little too late mama amekufa
Mkuu iko hivi maji yamewafika shingoni. Walikuwa hawana namna lazima wamuachie sasa kwa sababu ni wajinga wanataka kuwaaminisha serikali imemuonea huruma mdanganyike 2020 muwapigie kura.

Hao wanaowaita mababeru wamewakalia Shingoni na bado wataachia wengi lakini damage kubwa imeshafanyika kama Taifa.

Kuna mtu kasema wataita maji mmaa!
 
Tujifunze kuheshimu sheria

Wanasiasa waliomtumia wamemwacha peke yake
Wacheni unafiki hakuna kosa moja aliloonekana nalo mumeona aibu kwa sababu mabeberu washawashtukizia munawapiga watu risasi muna wateka watu na munawakamata waandishi wa habari kisa munakosolewa sasa mumeona mushashtukiziwa kama muna wabinya watu Uhuru wao wakuongea na munabinya Uhuru wa vyombo vya habari kwasababu hamutaki kukosolewa mtoto wa Nabii kapigwa block USA kwa kosa LA kutoa uhai wa watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni shinikizo,muchague mawili mmshikilieni mkose misaada au mwachieni huru mpokeee misaada. Hapa unapima uzito
 
Huo ndio ukweli wanasiasa wamemsababishia mateso makubwa huyu kijana

Alikuwa Ndio kalamu yenu Wapinzani kuichafua Nchi

Bahati mbaya hakujua anaowatumikia kuwa hawaaminiki wanageuka muda wowote

Mara alfu moja nimwamini kipofu lkn sio Viongozi wa vyama vya upinzani Nchini Tanzania

Muda wa kula wanakuwa wapo kimya mirija ya kula ikizibwa mwajifanyia kuwapenda Wananchi

Mpambane na hali yenu kwanza kuchagua Upinzani Tanzania ni kuleta vita tu

Tunaendelea kuzienzi tunu za Waasisi wa Taifa letu nyie wenye tamaa ya madaraka hatuwataki

Wanasiasa wengi wa Upinzani ni waongo
Kwa akili zako ndogo lazima uone hivi. Kalagabaho
 
Back
Top Bottom