Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

Hapo ndipo tunaposhindwa kumuenzi Mwalimu Nyerere. Kumuondoa Snitch mmoja kwa afadhali ya Wengi ni jambo jema sana. Kama kweli wamekosa na ikathibitika watiwe korokoroni Maisha yao yote kuliko kuwaachia huru. Shetani hawezi kukengeuka na kuwa Malaika. Tujitafakari sana kabla ya ushabiki wa kuwaachia vibaraka wa aina hiyo.
 
Hapo ndipo tunaposhindwa kumuenzi Mwalimu Nyerere. Kumuondoa Snitch mmoja kwa afadhali ya Wengi ni jambo jema sana. Kama kweli wamekosa na ikathibitika watiwe korokoroni Maisha yao yote kuliko kuwaachia huru. Shetani hawezi kukengeuka na kuwa Malaika. Tujitafakari sana kabla ya ushabiki wa kuwaachia vibaraka wa aina hiyo.
Akili zilizodumaa za watu fukara wako bize kupambana na watu kuliko maendeleo
 
Siri za Serikali
Kusaliti Nchi

Mbona hueleweki?
Kuvujisha siri za serikali yoyote duniani ni sawa na kuisaliti nchi husika.
Afanyae mchezo huo adhabu yake ndogo kabisa ni kukaa jela maisha yake yote,mara nyingi hua ni death sentence tu.

Naiomba serikali isifanye ajizi kwa yoyote yule atakaebanika kuhujumu serikali kwani atakua kahujumu nchi kwa ujumla.

Serikali hupatikana kwa njia ya uchaguzi hivyo afanyae hujuma huathiri ufanisi kwa wananchi walioiweka serikali hiyo na nchi kwa ujumla

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mabeberu kwa kusaidia kuachiwa kwa kabendera,endeleeni kutetea haki za watanzania wanaoteseka kisa mwehu mmoja kapewa rungu!
du yaani wewe unatakiwa uwe ndni kwa uhujumu uchumi ''mwehu''???
 
Back
Top Bottom