Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Kiingereza Cha hovyoYou can do nothing with my opinions,you have to take the charge
Atakua mpambanaji feki basi, kumbe ni mbinafsi, si alijigamba kuwa amejitolea na yupo tayari kwa lolote?Kukiri kosa hakumaanishi umetenda kosa ni umepima kipi bora ukubali ili ununue Uhuru wako au usote ndani ukisubiria haki yako
Tito nabii au???ππππBado tito
Atakua mpambanaji feki basi,kumbe ni mbinafsi,si alijigamba kuwa amejitolea na yupontayari kwa lolote?
Mbona Rugemalira hajakiri kosa?
Unadhani kukiri ndio kwamba kafanya?Wakati mwingine unafunika Kombe tu
Sent using Jamii Forums mobile app