Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Tujifunze kuheshimu sheria
Wanasiasa waliomtumia wamemwacha peke yake
Foolish
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tujifunze kuheshimu sheria
Wanasiasa waliomtumia wamemwacha peke yake
kwanini wasiingilie na ya kina mboweTunawashukuru sana Wazungu kwa kuingilia kesi hii ya uongo
Tujifunze kuheshimu sheria
Wanasiasa waliomtumia wamemwacha peke yake
Ukombozi una gharama kubwa sana kama hauamini kamuulize MandelaSimaanishi hizo pesa.
Kitendo cha kubakia rumande kwa muda mrefu hata kuzuiwa kumzika mama yake pia ni gharama kubwa Sana.
Kuvujisha siri za serikali yoyote duniani ni sawa na kuisaliti nchi husika.
Afanyae mchezo huo adhabu yake ndogo kabisa ni kukaa jela maisha yake yote,mara nyingi hua ni death sentence tu.
Naiomba serikali isifanye ajizi kwa yoyote yule atakaebanika kuhujumu serikali kwani atakua kahujumu nchi kwa ujumla.
Serikali hupatikana kwa njia ya uchaguzi hivyo afanyae hujuma huathiri ufanisi kwa wananchi walioiweka serikali hiyo na nchi kwa ujumla
Tujifunze kuheshimu sheria
Wanasiasa waliomtumia wamemwacha peke yake
If you really believe that this case has anything to do with legitimate legal procedures then you will believe if the chief perpetrator of this charade tells you your mother is a donkey.
This is a two way trafic. Mfumo uliojitokeza kwa kasi awamu hii wa kubambikizia raia kesi uachwe na raia waheshimu sheria. Kama raia ana haki, basi hiyo haki iheshimiwe na ionekane kuheshimiwa.Tujifunze kuheshimu sheria
Wanasiasa waliomtumia wamemwacha peke yake
tayari walishaingiliakwanini wasiingilie na ya kina mbowe
Vipi visivyojulikana sasa
Unajua kosa lake hasa ni lipi? Uliza kwa wana lumumba wenzako wanaojua watakuelezaTujifunze kuheshimu sheria
Wanasiasa waliomtumia wamemwacha peke yake