Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Wao wanadhani ulinzi ni kuangaika kutafuta IP za watu wanaokosoa serikari mitandaoni.Hata IGP hakutakiwa kwenda nje.
Hata Lt. Gen. Shimbo hakutakiwa kwenda China. Yani serikali sijui inaona haina cha kupoteza, inalala tu ikijiaminisha wale ni rafiki zetu.
Akili zao zinawatosha wao wenyewe.